Aacha mashauzi ya kujidai kwamba yy ndio tajiri sana, mbona vijana wa level yake kina alikiba wana mijengo mizuri tu lkn hawana kelele za majigambo.It is insanity kumlinganisha diamond na mzee Mengi.
If it took mengi more than 60 yrs kujenga nyumba Kama hii kwa utajiri wake mkubwa, jr unadhan diamond kwa miaka Yale 20+ kumiliki huo mjengo wa madale hastahili pongezi? Akijisifia je kakosea?
Kumbuka diamond sio tajiri Kama akina mengi rostam, mo dewj au manji. Yeye no oijana mdogo tu mwenye mfanikio kwenye sekta ya muziki Basi.
Diamondi atajenga maana baba yake mengi kaonyesha njia mpe muda to.na mungu ampe umri wa baba yake mzee mengiIt is insanity kumlinganisha diamond na mzee Mengi.
If it took mengi more than 60 yrs kujenga nyumba Kama hii kwa utajiri wake mkubwa, jr unadhan diamond kwa miaka Yale 20+ kumiliki huo mjengo wa madale hastahili pongezi? Akijisifia je kakosea?
Kumbuka diamond sio tajiri Kama akina mengi rostam, mo dewj au manji. Yeye no oijana mdogo tu mwenye mfanikio kwenye sekta ya muziki Basi.
Kibanda Cha muuza vochaKaeni mkao wa kula ninawaletea sifa 15 za nyumba yangu hivi karibuni
see this another HATER .14. Hata uwe na nini vyote tutaviacha duniani..Vanity upon Vanity...
1.Imejengwa kwenye msitu bila kuharibu mazingira.2.Underground. 3.Bulletproof
4.Vioo vinabadili mwanga yaani ukitaka giza.
5.Underground ya Mwisho ni kwa ajili ya Usalama kama kumetokea shambulizi la silaha za kivita kama MABOMU.
Kufika hukoj ni kwa lift maalum ukiwa kwenye kila Floor. Kuna mahitaji yote ukiwa huko wakati VITA inaendelea huku Juu .
6.GETI TATU.geti ya kwanza unaingia .geti ya pili kukaguliwa na kupaki kama umekuja na gari.Hapa ndio parking. Geti la tatu kupakia kigari maalum kwenda kwenye NYUMBA.
7. PAZIA MAALUM hakuna grill.
8.Maji moto.Kipupwe n.k ni CENTRALIZED. 9.VIFAA VINGI NI SENSOR.
10.Security ni BALAA aliplan wakati anatishiwa maisha yake.
11.Solar na Umeme wa uhakika hata kama VITA inaendelea.
12. Helicopter kutua.13.Kuna vitu vingine sio vya kutaja kwa mfano swimming pool , Sound heatre n.k
Ilijengwa na contractor wa Israel.View attachment 1092163View attachment 1092164
Kwa sababu ya hii nyumba?Wale waliokuwa wanaanzisha nyuzi dhidi ya mama wawili kimyaaaaaa roho inawauma na mawazo yao ya uswahilini.
Hatari juu ya hatariii. Wahaya tujifunze haya ya Mzee wetu.Ruge alikua jasiri wa kuacha wajane na Mengi ni jasiri wa kuacha majumba ya kifahari.
Uhai hautafutwi unapewa tu kama zawadiHela au uhai?
Negativities zinatusumbua, mimi sijaona ubaya wa kile ulichoandikaSijui nyie mmenielewaje. Sihusiki
Glass proof?Hiyo namba 3, ni bulletproof au glass proof.....?
Yani humu wengi wanasoma kureply tu sio kuelewa Yan. manengelo we na ndevu zako. uwe unaelewaNegativities zinatusumbua, mimi sijaona ubaya wa kile ulichoandika
Wale waliokuwa wanaanzisha nyuzi dhidi ya mama wawili kimyaaaaaa roho inawauma na mawazo yao ya uswahilini.
Acha wivu wako utakufa hujawahi kumiliki hata 150 million ambazo mondi anazipata kwa wiki tu ohooooo! Roho mbaya inauwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We lazima utakuwa mond mwenyewe maana kila uzi ukisemwa kidogo tuu ushafika kujitetea
Rayvanny huyoWe lazima utakuwa mond mwenyewe maana kila uzi ukisemwa kidogo tuu ushafika kujitetea
Rayvanny huyo
😁nyumba kali aisee.
Hii ndio maana ya Kuwa tajiri. Sio unakkuwa tajiri Dar huku kijijini unambuzi wanne na nyumba yenye ramani ya msumbiji.