Sifa 13 za nyumba ya Billionaire Marehemu Mengi

Sifa 13 za nyumba ya Billionaire Marehemu Mengi

Akili za kijiweni hizi mbona kajenga Madale tena unserviyed area?
Diamond platnumz anafanya Show moja ya kimataifa kwa zaidi ya million 35 Hakuna utani katika hili.

Tatizo lako hukuelewa vizuri umekurupuka Si kila wiki anafanya international Shows, Show mbili tu alizozifanya South korea na Oman hela yake wewe mpaka unakufa hutowahi kuimiliki nauhakika huo hata kama umeajiriwa wizara ya fedha otherwise ukadange UK
 
Ndio maana mm nilisema haya mambo watu wanayakuza tu mitandaoni lkn usikute kiuhalisia wala mama wawili hana tatizo na familia ya mumewe na wanaelewana vzr tu.
Jack hana tatizo na familia watu tu wanazusha.

Mzee Mengi alishaweka mazingira sawa kwa watoto wake wote kabla hata hajamuoa jack. Watoto wote wana mijengo yao na biashara zao.
 
Hmm comrade, umejuaje kama ni bikra

Alafu yule wa kiume ndie mkubwa
hakuna aliyegusa pale, chuchu saaa 6, okay tuache hayo, aolewe na yeyote tu ial lazma awe mchagga wa marangu, hawa wengine chasaka wanakaa vibarazani na kuvaa nguo za dada zao hamna kitu,
 
Una uhakika? Naona umelala kama maiti umeamka kama mfu unakuja kuniandikia upupu hapa
Nina uhakika sana tena zaidi ya sana wwewe unategemea data za vigazeti vya udaku sisi tupo within a radius ukitaka mpaka dalali aliyemuzia lile eneo kwa kuungaunga namjua
 
Nina uhakika sana tena zaidi ya sana wwewe unategemea data za vigazeti vya udaku sisi tupo within a radius ukitaka mpaka dalali aliyemuzia lile eneo kwa kuungaunga namjua
Kiongozi mimi sisomi maneno ya magazeti ya udaku nipo kwenye chain aisee pole sana.

Sasa wewe msikilize huyo dalali wako hewa Diamond ana palace Sita hapa mjini ambazo wewe huzijui hata kidogo ya madale ni mfano na wala haina tatizo lolote iko approved na mamlaka zote.
 
Kiongozi mimi sisomi maneno ya magazeti ya udaku nipo kwenye chain aisee pole sana.

Sasa wewe msikilize huyo dalali wako hewa Diamond ana palace Sita hapa mjini ambazo wewe huzijui hata kidogo ya madale ni mfano na wala haina tatizo lolote iko approved na mamlaka zote.
Kwa kumsaidia weka picha za hizo palace sita. Si unaona picha ya Machame ndio imeleta huu mjadala. Tuwekee hizo palace.
 
Kwa kumsaidia weka picha za hizo palace sita. Si unaona picha ya Machame ndio imeleta huu mjadala. Tuwekee hizo palace.
Hii palace ya machame imeonekana na kufahamika kiasi hiki baada ya mzee kufariki, palace za Diamond atazionyesha mwenyewe najua unamjua alivyo.

Unaweza kuhisi natania ila hii comment iweke kama kumbukumbu haitochukua muda mrefu utaiona palace mojawapo utai_review hii comment
 
Back
Top Bottom