Sifa 13 za nyumba ya Billionaire Marehemu Mengi

Sifa 13 za nyumba ya Billionaire Marehemu Mengi

Mtu mpe sifa yake ,Jiwe amefiwa na dada yake hata sidhani kama barabara ilionyeshwa ya kwenda kwake ingawa ya lami na amekuwa mbunge na waziri Zaidi ya miaka 25 hivi .Mimi nabangaiza pale machame nimeweka na mimi mjengo wangu jamani nikisikia shida za awamu ya tano naenda kupunzika kimya sina waaa (siendi dubai mimi) haaaaaa.Mangi !!!!!mie
 
Sina hizo M150 lakini kwenye ukweli na usemwe !!!!
150million mond angekuwa anapata kila wiki maana yake Kwa mwezi million mia sita na Kwa mwaka ni sawa billion 7.2 . Uwezo huo Diamond Hana wa kumiliki mipesa yote hiyo. Kwa miaka toka aanze kuwa staa unatakaa kutuaminisha anamiliki utajiri wa angalau 30-50 billion. Acha kulisha watu matongo Pori wewe. Kawadanganye wa vijijini wasiojua . Mali nyingi wanazoonyesha Mitandaoni nyingine sio zao
 
Narudia tena anapoishi pale Madale sio maeneo yaliyopimwa.. Wewe mswahili yule awe na nyumba za maana mjini hapa si tungekoma wakati anatembea na malaya tu mji mzima tunapata habari..
 
Sasa wewe unamfananisha Mangi na Tony Blair, Mangi issue nyingine Blair mfananishe na Bashite kama wapo
Tony Blair huwezi mfananisha hata na Rais wa Tanzania au wa nchi yoyote wa Africa kama Uingereza nchi moja peke yake ina Uchumi mkubwa kuzidi nchi zote za Africa combined . Unaanzaje kufananisha Bashite na Tony Blair. Acheni dharau
 
Wewe Regina mkubwa sana ni kama sikosei ni 1071 au 1970 hivi kwani alimaliza form four weruweru kama sikosei 1988 hivi
Mkuu kuna watu Jf wanafuata stori za vijiweni hawajui wengine wanaongea kwa kutambua.. Ragina eti ana 34[emoji16][emoji16]
 
Ndio maana mm nilisema haya mambo watu wanayakuza tu mitandaoni lkn usikute kiuhalisia wala mama wawili hana tatizo na familia ya mumewe na wanaelewana vzr tu.

Kwa kweli watakuwa wamekuelewa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
nyumba kali aisee.
Hii ndio maana ya Kuwa tajiri. Sio unakkuwa tajiri Dar huku kijijini unambuzi wanne na nyumba yenye ramani ya msumbiji.
 
Mmmh diamond atasubiri sana aiseee tena ikibidi aache kbs hayo mashauzi.
It is insanity kumlinganisha diamond na mzee Mengi.
If it took mengi more than 60 yrs kujenga nyumba Kama hii kwa utajiri wake mkubwa, jr unadhan diamond kwa miaka Yale 20+ kumiliki huo mjengo wa madale hastahili pongezi? Akijisifia je kakosea?

Kumbuka diamond sio tajiri Kama akina mengi rostam, mo dewj au manji. Yeye no oijana mdogo tu mwenye mfanikio kwenye sekta ya muziki Basi.
 
Kweli kuna matajiri na mabilionea tu...nani alikua anaijua hii nyumba ? Sio kina domo wakianza kujenga tu utasikia wanaitisha press conference kuwa anajenga mjengo [emoji3][emoji3][emoji23]
Sasa hapa huyo Mondi kafuata nini? Je umri wa Mondi unafanana hata kwa robo? Je aliyoyafanya mondi katika umri wake Dr Mengi alikuwa ameshayafanya kati umri huo? Chuki na wivu huwa ni ugonjwa hatari sana kwa fikra chanya.
 
Sasa hapa huyo Mondi kafuata nini? Je umri wa Mondi unafanana hata kwa robo? Je aliyoyafanya mondi katika umri wake Dr Mengi alikuwa ameshayafanya kati umri huo? Chuki na wivu huwa ni ugonjwa hatari sana kwa fikra chanya.
Povu povu povu
 
Aiseee Mzee ameishi bhana kweli huyu anahaki ya kuitwa baba mwenye nyumba sio hao wenu..
Ila ile tenzi no 22 Chorus yake imemaliza yote LISIFIWE KABURI LINALOZIDI YOTE
R.I.P Mzee
 
Kuna mtu anatafuta umaarufu kupitia jina la Diamond, anataka apate like nyingi na comment nyingi bila shaka ni yule binti aliyekuwa akicheza na baba Diamond kwenye ile nyimbo ya dudu la yoyoo.
It is insanity kumlinganisha diamond na mzee Mengi.
If it took mengi more than 60 yrs kujenga nyumba Kama hii kwa utajiri wake mkubwa, jr unadhan diamond kwa miaka Yale 20+ kumiliki huo mjengo wa madale hastahili pongezi? Akijisifia je kakosea?

Kumbuka diamond sio tajiri Kama akina mengi rostam, mo dewj au manji. Yeye no oijana mdogo tu mwenye mfanikio kwenye sekta ya muziki Basi.
 
Ni kweli, kakuacha ww uko hai lakini kwenye single room ya kupanga.
akili za kimaskininhuzikosi zimejaa wivu Mengi kafa kimwili ilankifikra bado yuko nasi na hata hao mapacha ndo mengi wadogo kwahiyo yupo kilicholala ni mwili tu
 
Kaeni mkao wa kula ninawaletea sifa 15 za nyumba yangu hivi karibuni
 
Back
Top Bottom