Sifa 13 za nyumba ya Billionaire Marehemu Mengi

Sifa 13 za nyumba ya Billionaire Marehemu Mengi

...chakwanza afadhali umekiri kuwa hiyo hela haingizi kwa wiki constantly...chapili ndugu maisha haya ya wasanii huko instagram ni tofauti kabisa na uhalisia...wamekuwa ni watu wa ku fake sana...hao wenyewe wakina mbosso juzi kati tu wanapiga picha kwenye nyumba za watu wamepanga wanataka kudanganya ni zao wamenunua...diamond kweli anahela but anachowaaminisha watu ni kuwa ye anamihela mingii sana kinyume na uhalisia....hawa wasanii ni waongo sana but tunaowajua hawatupi shida....kuna mmoja mkubwa sana tena maarufu mnooo mdogo wake ni rafiki angu kaajiriwa serikalini kazi ya kawaida tu but kutwa kumpigia simu dogo kumpiga mizinga....fungua sasa account yake insta umwone bataa anazokula....usiamini maisha ya mastaa wanayotaka kuiaminisha jamii wana maisha fulani utapotea
Mkuu tukubali tu anafedha japo si nyingi kama za mzee mengi n.k

Ni mwanamuziki mwenye pesa kuliko wenzake woteee naweza kuthubu kusema the whole E.A hakuna msanii anayemfikia kwa utajiri
 
Ndo gari ya ndoto zake ,na pia naongelea msanii anaesemekana ni tajiri na sio hao uliowataja,na pia uwe unaangalia vitu vya kufananisha
Alikuambia analipenda hilo gari?nionyeshe Rolls Royce ya Bill gates au sam walton
 
Mkuu tukubali tu anafedha japo si nyingi kama za mzee mengi n.k

Ni mwanamuziki mwenye pesa kuliko wenzake woteee naweza kuthubu kusema the whole E.A hakuna msanii anayemfikia kwa utajiri
0FE01B4B-A6A5-48B5-A8DE-DD398B6A52F6.jpeg
 
Anakaa mbezi gani? Au unaongelea ofisi za wasafi media?

Duuh hata bosi wako anapokas hujui sasa Una is hana nini na kujifanya wamjua I rest my case [emoji23][emoji23][emoji1607]
 
Ndo gari ya ndoto zake ,na pia naongelea msanii anaesemekana ni tajiri na sio hao uliowataja,na pia uwe unaangalia vitu vya kufananisha

Nilidhani unamuongelea mengi mkuu, nimefuta kauli
 
1.Imejengwa kwenye msitu bila kuharibu mazingira.2.Underground. 3.Bulletproof
4.Vioo vinabadili mwanga yaani ukitaka giza.
5.Underground ya Mwisho ni kwa ajili ya Usalama kama kumetokea shambulizi la silaha za kivita kama MABOMU.
Kufika hukoj ni kwa lift maalum ukiwa kwenye kila Floor. Kuna mahitaji yote ukiwa huko wakati VITA inaendelea huku Juu .
6.GETI TATU.geti ya kwanza unaingia .geti ya pili kukaguliwa na kupaki kama umekuja na gari.Hapa ndio parking. Geti la tatu kupakia kigari maalum kwenda kwenye NYUMBA.
7. PAZIA MAALUM hakuna grill.
8.Maji moto.Kipupwe n.k ni CENTRALIZED. 9.VIFAA VINGI NI SENSOR.
10.Security ni BALAA aliplan wakati anatishiwa maisha yake.
11.Solar na Umeme wa uhakika hata kama VITA inaendelea.
12. Helicopter kutua.13.Kuna vitu vingine sio vya kutaja kwa mfano swimming pool , Sound heatre n.k

Ilijengwa na contractor wa Israel.View attachment 1092163View attachment 1092164
Umeenda kuzika au kudadisi vitu vya watu?
 
Mkuu tukubali tu anafedha japo si nyingi kama za mzee mengi n.k

Ni mwanamuziki mwenye pesa kuliko wenzake woteee naweza kuthubu kusema the whole E.A hakuna msanii anayemfikia kwa utajiri
Unasema ana pesa kuliko wote E.A kwa sababu yeye ndo anavyowatangazia watu???....Fedha anazo but si kama anavyotaka kuwaaminisha watu...bahati mbaya africa hatuna utaratibu wa source za uhakika zinazoweka utajiri wa wasanii kama nje...leo hii ukisema unafuata maonesho ya instagram unaweza kudhani diamond anapesa kuliko hata wakina mo dewji..
 
Safi sana, nlikua namuelezea mtu apa
Na kwa Mila za wachaga kama wewe sio mtoto wa mwisho wa kiume unawadogo zako Inatakiwa uhame nyumbani ukajenge kwako pale nyumbani ni miliki ya mtoto mdogo wa kiume(wa mwisho). Kimila jeneza la Dr mengi aitakiwi kulala kwenye mji wa mdogo wake na endapo lingelala pale lingewekwa chini ya turubai. Ndio Maana uchagan kila mtu anajitahidi kuwa na kijumba chake awataki kuachia familia aibu siku wakitoa hapa Duniani na ukiona mchanga anazikiwa dar elewa kabisa huyo kijiji ajjawekeza hata nyumba ya tope..
 
Hata kwa nidhamu, amekuwa a family Man
Kweli. Pia alijitoa kusaidia makundi yaliyosahaulika kwenye jamii eg. Walemavu.
Na kwa Mila za wachaga kama wewe sio mtoto wa mwisho wa kiume unawadogo zako Inatakiwa uhame nyumbani ukajenge kwako pale nyumbani ni miliki ya mtoto mdogo wa kiume(wa mwisho). Kimila jeneza la Dr mengi aitakiwi kulala kwenye mji wa mdogo wake na endapo lingelala pale lingewekwa chini ya turubai. Ndio Maana uchagan kila mtu anajitahidi kuwa na kijumba chake awataki kuachia familia aibu siku wakitoa hapa Duniani na ukiona mchanga anazikiwa dar elewa kabisa huyo kijiji ajjawekeza hata nyumba ya tope..
SISI BUKOBA NI TOFAUTI KABISA JENEZA LINALALA HATA KWENYE NYUMBA ALIYOJENGA BABA YAKO NA WOTE ULIOZAA NAO WANALALA KWENYE HEMA KAMA WAKIMBIZI aibu iliyoje.
 
Unasema ana pesa kuliko wote E.A kwa sababu yeye ndo anavyowatangazia watu???....Fedha anazo but si kama anavyotaka kuwaaminisha watu...bahati mbaya africa hatuna utaratibu wa source za uhakika zinazoweka utajiri wa wasanii kama nje...leo hii ukisema unafuata maonesho ya instagram unaweza kudhani diamond anapesa kuliko hata wakina mo dewji..
Kiongozi tuachane na show off za IG tuzungumzie uwekezaji ni msanii gani kawekeza kama Mond?

Wasanii kwa ujumla sanaa za maigizo sanaa za kuimba na zingine zooote ni nani kawekeza kama Simba kiasi cha kumkamata Yule jamaa kawekeza kwenye rasilimali muhimu sana Ardhi aiseee mkuu ni maajabu ukija funuliwa
 
Mkuu tukubali tu anafedha japo si nyingi kama za mzee mengi n.k

Ni mwanamuziki mwenye pesa kuliko wenzake woteee naweza kuthubu kusema the whole E.A hakuna msanii anayemfikia kwa utajiri
Haumjui boby wine ndo maana umeongea upupu jamaa anamilik visiwa vinne ziwa victoria amejenga hotel za kitalii fuatilia alafu urudi
 
Duuh hata bosi wako anapokas hujui sasa Una is hana nini na kujifanya wamjua I rest my case [emoji23][emoji23][emoji1607]
😏😏😏 Naona hujui wapi anaishi ulisikia tu mahala
 
Back
Top Bottom