Sifa 13 za nyumba ya Billionaire Marehemu Mengi

Sifa 13 za nyumba ya Billionaire Marehemu Mengi

Mimi sijui ila nimeshawahi kusikia akijitapa ..bank balance yake..mijengo mpaka south na anapush ndinga kali
Mmmh diamond atasubiri sana aiseee tena ikibidi aache kbs hayo mashauzi.
 
14. Hata uwe na nini vyote tutaviacha duniani..Vanity upon Vanity...
15. maandiko yenyewe yaliandika kuwa sisi ni mavumbi na mavumbini tutarud

Ila maandiko hayo hayo pia yaliandika kuuchukia umaskini....

tupambane tu mkuu tuishi vizuri kabla hatujarudi mavumbini, maana wengi wetu bado tupo hai lakini umaskini wetu unatufanya tunaishi kwenye mavumbi angali bado tupo hai.
 
wachagga ndvyo walivyo, angalia mzee Mremi mwenye DAr express, ananyumba kali kijijina na dar huko masaki na ndio maana wachagga wanarudi kwao krismass,
angalia ludovic utoh, angalia charles Kimei, yani hawa watu nawaonea wivu sana na ndio maana awamu ya 5 imewanyima vyeo kabisa wakiamini utajiri wao ni kwa kuwapa vyeo lakini wachagga ni unstoppable kama liverpool, salute kwao.


kila mtu anawaonea wivu kumbe kwao kuzuri, mtu unpata hamu ya kurudi nyumbani mda wowote, hebu linganisha na kule kwa ndugai dodoma kuna funza balaa, mbungo na hakuna hata kuvutia.

njoo igunga kwa rostam, hakuna miti, yaani ukienda chato ndio kabisa, mkapa kakimbia kwao kaenda kaskazini, Mwinyi kakimbia zanzibar yupo masaki,
Mkuu hapo kwa Mwinyi futa kauli huyo mzee kule Zanzibar yupo vizuri ana mji mzuri tu kama ule wa Mikocheni
 
Yaani kwa kweli wako kimyaaa...wengine wanasingizia ramadhan wanaacha uswahili kwanza. Maana kuna waliosema hatakanyaga machame

Shame on them
Ndio maana mm nilisema haya mambo watu wanayakuza tu mitandaoni lkn usikute kiuhalisia wala mama wawili hana tatizo na familia ya mumewe na wanaelewana vzr tu.
 
Miaka ijayo wale jamaa wa kuweka X wakiweka wataweza kulipa kweli?

Hiyo nyumba alikuwa anaishi nani?

Ila mjini kuzuri kama Mengi mwenyewe alikimbia kijijini huko..

Mansion kama hiyo sio ya kuishi watu wawili haipendezi inaogopesha aiseee
Unakuta watoto wapo shule,wewe safari mke kabaki nyumbani na house boy na walinzi wht next.....
Big up mzee mengi mungu akufutie makosa yako yote.
 
Back
Top Bottom