Shule bora za Serikali, enzi hizo

Shule bora za Serikali, enzi hizo

kipindi hicho kaka,sio leo,hata wakati huo,mimi nasoma,sikupita kati ya hizo shule,nimepita private,college DIT nikakutana na waliopita hizo shule,niliwakimbiza vibaya,DIV ONE zao ziliishia getini,UDSM nikakutana nao tena,mwendo ukawa uleule,

lipindi hicho hizo shule zilikuwa bora sana,kwa sababu serikali ilikuwa inajari sana,leo hii 2015,shule zipo nyingi zenye miundombinu bora sana yakumuwezesha kijana kufaulu vizuri kama akijituma,
 
yani msomi kama wew umekalia kuangalia umepita shule gani akati huna ela??? mim naamini shule ni shule na kuafaulu ni kwa mtu mwenyewe na elimu inatusaidia kuondoka na ujinga na kupata vipesa mkono uende kinywani na ujuzi wa kazi sioni kingine cha zaidi fikirieni mbali kidog ebu laiti ungekuwa umesoma hizo shule alafu unakaa nyumbani na vyeti vyako alafu pesa inakuja hapo sawa lakin umepitia hizo shule alafu unasota mtaani???? seriouslyyyy any way usije ukasema sijasoma shule moja wap hapo juu mana najua utakazia kwenye point of weakness wabongo ndo walivyo
 
hujui unachoongea kijana, unasoma shule gani? Majina ya hizo shule huwezi linganisha na shule unayosoma nasikia huko mnakula kwa bufee, madarasa yana ac

Ni kweli sijui ninachoongea. Maana watu mnapiga story za 1980 wakati wengine hata tulikuwa hatufikiriwi kama tutazaliwa.

Ila nimepata somo kubwa sana. Kama wanafunzi wa secondary wa miaka ya 70 na 80 tunao humu Basi waliosoma miaka hiyo wakati hizo shule zinatamba watakuwa ni watu ambao kwanza hawana akili, watakuwa na upunguani pia wamepigwa kimaisha. Haiingii akilini mtu usome miaka hiyo na ukilinganisha na participation yenu hapa JF inaonyesha dhahiri MAISHA MAZURI Yamewapitia pembeni. POLENI SANA TENA POLENI SANA SANA

SASA NIMEELEWA KWANINI JF WENGI HAMUIPENDI CCM SABABU MNAIJUA NDANI NJE TANGU KUANZISHWA KWAKE MLIPOPITIA NA MLIPO LEO.

Poleni sana, yote maisha. Ila from today muwe makini coz nimeshaona wengi humu VIBABU ilsa nyuma ya keyboard mnaact kama vijana. JIKUBALINI Ili sisi vijana wa kizazi cha leo tujifunze kwenu.
 
Mawenzi imekukosea nini mkuu ? Kama kuna mtu anamkumbuka Sango na Msuya waje haraka jamaa wanatuignore
 
Shule yangu mkwawa, bweni Makongoro West , headmaster Mr. MBAO, second Mr Tende, Wali maharage kwa mzee Chuwa na Nelkon.
RIP Nelkon.

ha ha ha mzee chuwa ha ha duh complex, I wish nirudi back those days...shabani robert...Mgohamwenda.
 
lyamungo secondary school mbona haipo.........ni moja ysa shule za zamani nimeshuhudia mtu amemaliza mwaka 1963 academic master alikuwa ananionyesha cheti chake bado hajaja kukichukua na bado kimehifadhiwa.

Hata mimi nimeshangaa mleta mada anaisahau shule kongwe kama hii mkuu.
Nimesoma pale A-level 2005-2007 nimekaa bweni la Amri Abeid na Lumumba na nimetoka pale na One yangu saaafi ya point 8 straight to Udsm. Hebu mleta mada wacha utani bana edit post yako weka hii camp ya Lyamungo.
 
Ni kweli sijui ninachoongea. Maana watu mnapiga story za 1980 wakati wengine hata tulikuwa hatufikiriwi kama tutazaliwa.

Ila nimepata somo kubwa sana. Kama wanafunzi wa secondary wa miaka ya 70 na 80 tunao humu Basi waliosoma miaka hiyo wakati hizo shule zinatamba watakuwa ni watu ambao kwanza hawana akili, watakuwa na upunguani pia wamepigwa kimaisha. Haiingii akilini mtu usome miaka hiyo na ukilinganisha na participation yenu hapa JF inaonyesha dhahiri MAISHA MAZURI Yamewapitia pembeni. POLENI SANA TENA POLENI SANA SANA

SASA NIMEELEWA KWANINI JF WENGI HAMUIPENDI CCM SABABU MNAIJUA NDANI NJE TANGU KUANZISHWA KWAKE MLIPOPITIA NA MLIPO LEO.

Poleni sana, yote maisha. Ila from today muwe makini coz nimeshaona wengi humu VIBABU ilsa nyuma ya keyboard mnaact kama vijana. JIKUBALINI Ili sisi vijana wa kizazi cha leo tujifunze kwenu.

Dogo shika adabu
 
Ni kweli sijui ninachoongea. Maana watu mnapiga story za 1980 wakati wengine hata tulikuwa hatufikiriwi kama tutazaliwa.

Ila nimepata somo kubwa sana. Kama wanafunzi wa secondary wa miaka ya 70 na 80 tunao humu Basi waliosoma miaka hiyo wakati hizo shule zinatamba watakuwa ni watu ambao kwanza hawana akili, watakuwa na upunguani pia wamepigwa kimaisha. Haiingii akilini mtu usome miaka hiyo na ukilinganisha na participation yenu hapa JF inaonyesha dhahiri MAISHA MAZURI Yamewapitia pembeni. POLENI SANA TENA POLENI SANA SANA

SASA NIMEELEWA KWANINI JF WENGI HAMUIPENDI CCM SABABU MNAIJUA NDANI NJE TANGU KUANZISHWA KWAKE MLIPOPITIA NA MLIPO LEO.

Poleni sana, yote maisha. Ila from today muwe makini coz nimeshaona wengi humu VIBABU ilsa nyuma ya keyboard mnaact kama vijana. JIKUBALINI Ili sisi vijana wa kizazi cha leo tujifunze kwenu.


Umenena , sie ndio tunaijua hii tz na siasa zake ndio maana tutakuambia huyu sio huyu ndio, ninyi mnajua siasa za Wema sepetu sijui team nani sie tuliosoma vizuri neno team halipo kwenye kamusi yetu-tupo analytical. mmekosa elimu nyie vijana wa feza girls mariana girls
 
Hapo shule zilikuwa tatu Mzumbe(wibo Tanzania one) ilboru na kibaha wengine wote vilaza tu.
 
Enzi hizo Azania tulikuwa na head master Kisamo na wasaidizi wake mzee Meja na Amos a.k.a Kicheche na waalim wengine kama madam Mbise,Sinzo,Mwanga,mr Mdoe,Rwegoshora and others,shule ilikuwa inatisha kielimu na kimichezo.
 
Mkuu mbona wew ni km Intake yetu ivii!! mwanyigu apo mkuu wa shule apa dengeya malez apo ngimba uku shura na chula. Nouma sn tunakula 'katala'. katoka mwanyigu akaja Mwita zen tukamaliza na mama zenda

Umenikumbusha mbali sana ndugu yangu enzi za katala, kubeba mbao msitu wa ndovu, chipsi za mia mia chaugingi. Dah kumbukumbu nzuri. NJOSS hoyee.
 
Back
Top Bottom