Bonyeza hii linkSamahani naomba kuuliza, hiyo makala ukishaiandika unaipost wapi ili uwe mmoja kati ya wanaoshinda
SoC01 - “Asbestos” kemikali yenye madhara makubwa kiafya iliyosahaulika katika mazingira yetu
ASBESTOS NI NINI? Asbestos ni madini yanayochimbwa ardhini kama madini mengine. Kwa miaka iyoyopita asbsestos ilikuwa na bei nzuri katika soko la dunia kwa sababu ilikuwa na matumizi mengi katika viwanda. Tanzania asbestos inapatikana Ikorongo (Musoma), mbembe (Morogoro), Rubeho(Mpwapwa) na...
www.jamiiforums.com