Shindano: Uandishi wa Mtandaoni wenye kuleta tija (Stories of Change)

Kulikua na tatizo la watu kushindwa kupiga kura kwa wanaotumia app, sijui kama lilishatafutiwa ufumbuzi.

Vinginevyo, ni mwanzo mzuri kwa JF kugusa jamii kwa namna tofauti. Hongereni sana.
 
SIRI YA MAFANIKIO KATIKA MAISHA.

mafanikio.ni riziki ama malengo unayoyafikia baada ya kufanya jambo lolote katika utafutaji maishani mwako na hayo mafanikio yanaweza kugusa nyanja zote za maisha kama vile kiuchumi,kijamii,kiutamadani n.k

HOJA ZA KUKUSAIDIA UFANIKIWE MAISHANI NI HIZI HAPA:
1.Elimu
2.ajira
3.mtaji
4.fursa
5.nguvu kazi
6.ujuzi na ubuunifu
7.kutokata tamaa
8.nidhamu katika kazi

1.ELIMU
Ukihitaji kufanikiwa na kuendana na sayansi na technolojia ya sasa unahitaji kupata elimu ili uweze kuendana na kasi ya utafutaji pia elimu itasaidia kujifunza namna mbali mbali za utafutaji na fursa kadha wa kadha na hiyo pia upande wa serikali inatakiwa kuanzisha elimu maalumu ambazo zitatolewa kwa kulenga kazi ama fursa husika kwa maana kuanzisha mitaala ambayo itakuwa rafiki na yenye manufaa kwa watakao somea ,hivyo elimu ni jambo la msingi na muhimu sana unapohitaji kubadirika.

2.AJIRA.
hili pia na jambo la muhimu sana ili jamii iweze kubadilika kimaendeleo na kupiga hatua kimaisha hapa tunalenga serikali mojakwamoja inatakiwa itengeneze ajira ama kazi tofauti tofauti ambapo wale walio pata elimu za kada mbalimbali waweze kupata ajira kutoka serikalini pia serikali inajukumu la kuweka mazingira wezeshi kwa sekta binafsi ili kuongeza wigo mpana wa kuwepo kwa ajira nyingi zaidi ,na kwa wale ambao hawaja soma pia wanahitaji kujiajiri kwa sababu wanauwezo kuendesha shughuli mbalimbali mfano ujasiriamali hivyo ajira ndio kila kitu bila hivyo mtu aujamii haiwezi kubadilika hivyo ni jambo la msingi sana
 
SIRI YA MAFANIKIO KATIKA MAISHA.

mafanikio.ni riziki ama malengo unayoyafikia baada ya kufanya jambo lolote katika utafutaji maishani mwako na hayo mafanikio yanaweza kugusa nyanja zote za maisha kama vile kiuchumi,kijamii,kiutamadani n.k

HOJA ZA KUKUSAIDIA UFANIKIWE MAISHANI NI HIZI HAPA:
1.Elimu
2.ajira
3.mtaji
4.fursa
5.nguvu kazi
6.ujuzi na ubuunifu
7.kutokata tamaa
8.nidhamu katika kazi

1.ELIMU
Ukihitaji kufanikiwa na kuendana na sayansi na technolojia ya sasa unahitaji kupata elimu ili uweze kuendana na kasi ya utafutaji pia elimu itasaidia kujifunza namna mbali mbali za utafutaji na fursa kadha wa kadha na hiyo pia upande wa serikali inatakiwa kuanzisha elimu maalumu ambazo zitatolewa kwa kulenga kazi ama fursa husika kwa maana kuanzisha mitaala ambayo itakuwa rafiki na yenye manufaa kwa watakao somea ,hivyo elimu ni jambo la msingi na muhimu sana unapohitaji kubadirika.

2.AJIRA.
hili pia na jambo la muhimu sana ili jamii iweze kubadilika kimaendeleo na kupiga hatua kimaisha hapa tunalenga serikali mojakwamoja inatakiwa itengeneze ajira ama kazi tofauti tofauti ambapo wale walio pata elimu za kada mbalimbali waweze kupata ajira kutoka serikalini pia serikali inajukumu la kuweka mazingira wezeshi kwa sekta binafsi ili kuongeza wigo mpana wa kuwepo kwa ajira nyingi zaidi ,na kwa wale ambao hawaja soma pia wanahitaji kujiajiri kwa sababu wanauwezo kuendesha shughuli mbalimbali mfano ujasiriamali hivyo ajira ndio kila kitu bila hivyo mtu aujamii haiwezi kubadilika hivyo ni jambo la msingi sana
 
SIRI YA MAFANIKIO KATIKA MAISHA.

mafanikio.ni riziki ama malengo unayoyafikia baada ya kufanya jambo lolote katika utafutaji maishani mwako na hayo mafanikio yanaweza kugusa nyanja zote za maisha kama vile kiuchumi,kijamii,kiutamadani n.k

HOJA ZA KUKUSAIDIA UFANIKIWE MAISHANI NI HIZI HAPA:
1.Elimu
2.ajira
3.mtaji
4.fursa
5.nguvu kazi
6.ujuzi na ubuunifu
7.kutokata tamaa
8.nidhamu katika kazi

1.ELIMU
Ukihitaji kufanikiwa na kuendana na sayansi na technolojia ya sasa unahitaji kupata elimu ili uweze kuendana na kasi ya utafutaji pia elimu itasaidia kujifunza namna mbali mbali za utafutaji na fursa kadha wa kadha na hiyo pia upande wa serikali inatakiwa kuanzisha elimu maalumu ambazo zitatolewa kwa kulenga kazi ama fursa husika kwa maana kuanzisha mitaala ambayo itakuwa rafiki na yenye manufaa kwa watakao somea ,hivyo elimu ni jambo la msingi na muhimu sana unapohitaji kubadirika.

2.AJIRA.
hili pia na jambo la muhimu sana ili jamii iweze kubadilika kimaendeleo na kupiga hatua kimaisha hapa tunalenga serikali mojakwamoja inatakiwa itengeneze ajira ama kazi tofauti tofauti ambapo wale walio pata elimu za kada mbalimbali waweze kupata ajira kutoka serikalini pia serikali inajukumu la kuweka mazingira wezeshi kwa sekta binafsi ili kuongeza wigo mpana wa kuwepo kwa ajira nyingi zaidi ,na kwa wale ambao hawaja soma pia wanahitaji kujiajiri kwa sababu wanauwezo kuendesha shughuli mbalimbali mfano ujasiriamali hivyo ajira ndio kila kitu bila hivyo mtu aujamii haiwezi kubadilika hivyo ni jambo la msingi sana
Hizo Nondo hawaandiki hapa.
Nenda jukwaa la stories of change ndipo utiririke.
 
Ni wazo zuri kabisa. Ila kama mshindi atapatikana kwa kupigiwa kura; basi rikiboy na maudhui yake 'kimasihara' atashinda asubuhi.

Jamii ya Watanzania inapenda zaidi burudani na mizaha kuliko mijadala na maudhui serious.

Mkuu UMESEMA UKWELI KABISA
 
Back
Top Bottom