GE2025 Sheikh aibua sakata la kesi ya Tundu Lissu kanisani kwa Mwamposa. Asema 'Mtu anasema tukinukishe, haya kukishanuka hapa wewe unaenda wapi?'

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Shekhe aibua sakata la kesi ya Tundu Lissu wakati wa uzinduzi wa jengo jipya la kanisa la Mwamposa.

"Mtu anasema tukinukishe, haya kukishanuka hapa wewe unaenda wapi?" anaeleza Shekhe Mohammed Mawinda


Your browser is not able to display this video.
 
Ruto:: Najenga Kanisa Ikulu kwa sababu Kanisa ndio Dunia ya Mungu wa mbinguni
 
Shekhe aibua sakata la kesi ya Tundu Lissu wakati wa uzinduzi wa jengo jipya la kanisa la Mwamposa.

"Mtu anasema tukinukishe, haya kukishanuka hapa wewe unaenda wapi?" anaeleza Shekhe Mohammed Mawinda
Yeye hapo hajui kuwa anaendeleza maneno yaleyale ya kunukisha? WaTanzania waliowengi wanasumbuliwa na rohoo mbaya pamoja na kutokujitambua.
Then baadae Lissu anaachiwa huru kwa mahakama kutokumkuta na hatia then atabadilisha kauli au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…