Mtu anapata uthubutu wa kudai anaweza kukuombea hadi ukafutiwa kesi, tunaona ni sawa na mabango yanawekwa barabarani?
Taifa letu ni kama halina uongozi. Wote Serikalini mnaona ni sawa hii? Tuweke matangazo similar to this mtaruhusu????
Hufika Kawe wakiwa na matumaini ya kupata huduma za kiroho, na kwa wengi wao matumaini hayo hutimia. Lakini kwa baadhi, safari hiyo hubadilika na kuwa mapambano ya kutafuta malazi, chakula na nauli ya kurejea nyumbani. Ni katika mazingira hayo ndipo huibuka simulizi ambazo hazisikiki jukwaani...
Kwa nini Mwamposa na mitume wenzake wa kileo wanaonekana matapeli na waamini wa dini na madhehebu mengine wakati ukifuatilia katika historia ya dini zote kubwa mbili utakuta kuna historia ndefu ya miujiza ya ajabu sana iliyofanyika kupitia mitume katika Uislamu na Ukristo?
Mifano michache...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mwanamke mmoja amejikuta akipata mimba ghafla bin vuu akiwa madhabahuni kwa Mtume Boniface Mwamposa, maarufu kama Bulldozer.
Bikira Mariamu alipata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu na kumzaa Yesu. Je, huyu mfuasi wa Mwamposa atamzaa Yesu wa pili?
Hebu...
Ukiona watu wengi hivi ujuwe umasikini ni mkubwa sana, pia elimu ni duni katika jamii. Ibada za kijinga kabisa kuhusu miujiza, ni utapeli kutumia shida na ujinga wawatu kama fursa hadharani.
Tungekuwa na Serikali inayojali, ingetafakari ni wananchi wa kiasi gani walio katika hali ya kukata...
Inadaiwa hapo ni kwa Mwamposa kwenye mkesha usiosahaulika, watu wamenunua udongo kikombe sh. 10,000.
Kwani hii imeandikwa kwenye kitabu gani cha Biblia wakuu?
Mkijua watu hawana habari na nyie kwanza niwafunue tu.
Mwamposa siku yoyote ni kama bushiri yule aliyejipigia pesa south africa na kukimbilia malawi.
Mwamposa uwezi kuona anauzunika na haya yanayoendelea ila ana lalamika kwa nini mchina mmoja kafa na ilitakiwa wapewe adhabu kali watuhumiwa...
Wabongo mbona hatujifunzi na utapeli wa dini? Wanaibuka wahuni wanawapiga hela majitu yamezubaa.
Leo Mwamposa anatangaza Keki ya Upako. Majitu yananua kwa bei kubwa kipande! Eti atapata mimba akila kipande hicho!
Ndiyo maana ukombozi wa TANGANYIKA unakuwa mgumu kwa aina ya watu kama hao!
Moja ya kitu alichofanyikiwa Jamaa ni kuwaamnisha Waumini wake wajinga wajinga kua
Uponyaji
Wokovu
Utajiri
Kufanikiwa
Ni Matokeo ya kutumia Mafuta, Udongo, Keki, na blah blaaah
Jamaa hafundishi kua "YESU Alikuja DUNIANI, akafa msalabani, na Kwamba KIFO chake kilitangaza uhuru dhidi ya Dhambi...
Hello
Hope mko salama..
Hii kitu inanikata sana unakutana na kijana mzuri tu ila unamuuliza anasali wapi anakwambia nasali kwa Mwamposa au nasali kwa Kuhani Musa..
Anyway sio mbaya kila mtu na imani yake ila kwa upande wangu sifurahishwi na wanaume wahumini wa makanisa hayo yanayo trend na...
KIJANA ANASWA AKIBA SADAKA KANISANI KWA KUTUMIA GUNDI KWENYE KIJITI JIJINI NAIROBI
Mtaa wa Githurai 45 ulijaa kicheko na mshangao baada ya kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la ‘Kevo’ kunaswa akitekeleza wizi wa aina yake ndani ya kanisa la mtaa huo. Kevo, ambaye mara nyingi huonekana akiwa wa...
Msomi uliyefikia kiwango hicho kama nilivyo taja juu na bado akili yako haijajua kupambanua nyeusi na nyeupe ni ipi wewe ni galasa Type1
Ni ajabu kwa kweli wafuasi wakubwa wa hawa manabii matapeli ni wasomi.
Mfano unaambiwa waumini/washiriki wa makanisa ya wahuni masanja mkandamizaji na...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mawaziri pamoja na viongozi wa dini mara baada ya hafla ya uapisho iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 18 Novemba, 2025.
Kiongozi wa dini yako umemuona?
Nabii wa wa kweli kama Elia, Samwel na Elisha walikuwa wanakemea maovu.
Utekaji, ufisadi kupendelea familia za watawala.,
Kama Mwamposa ni nabii wa kweli mbona aliomba na kumuwekea mikono Rais Samia lakini watanzania wamemkataa na kuleta vurugu?
Nabii wa kweli hawezi kufumbia ufisadi...
Clemence Mwandambo kupitia ukurasa wake wa Istagram amemjibu Boniface Mwambosa kwa kauli yake aliyoitoa kusema Maandamano yanaondoa utukufu wa Mungu.
Soma Pia: Mwamposa: Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu
Licha mimi siungi mkono maandamano lakini mimi nipo na Mwamposa anaposema Maandamano...
Mwamposa amesema maandamano yanaondoa utukufu wa Mungu!
Nina uhakika Mwamposa hata Bibilia hasomi kama tunavyojua wote wenye akili timamu kwa pamoja wetu kuwa huyu Mwamposa ni Tapeli.
Kwenye agano la kale tunasoma wana Waisraeli (Musa&Haruni)walimfuata mara kadhaa farao awape ruhusa waende...
Hauwezi kuwa mkristo halafu wakati huo huo ukawa mshabiki wa Rais @SuluhuSamia , NEVER.
Nasema hivi kwa sababu kuwa mkristo ni kuamini na kufuata aliyoyatenda na kuyaishi Yesu Kristo.
Yesu aliamini katika KWELI na aliisema KWELI mpaka ikamuingiza kaburini.
Kupitia maneno yake na matendo yake...
Naanza na hii
●kaingia mkataba na kampuninya ice drop kwamba awe anatumia maji yanayozalishwa kwenye kampuni hio kama majinya upako baada ya kuyaombea kwaio ice drop na A rise and sunshine ni trade partners
Uthibitisho unajionesha wazi maana kuna logo ya ice drop na hio ya mwamposa A rise and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.