Mkiambiwa Lissu ni Profesa wa Sheria muwe mnaelewa...
Hii kesi ya Tundu Lissu ingekuwa inasikilizwa kwenye mahakama za wenzetu kama Marekani au UK ile siku ya kwanza tu kusomwa mbele ya hakimu/judge, basi ingetupiliwa mbali...
Yaani angeshtakiwa leo, kisha anatoa somo la sheria mahakamani na...
Profesa Anna Tibaijuka
Waziri wa zamani na mbunge mstaafu, Prof. Anna Tibaijuka, amemjibu Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, akisisitiza kuwa wanaodai Mheshimiwa Rais hawezi kuingilia au kutafuta ufumbuzi wa kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, kwa sababu...
Kesi ya Lissu inagharama kubwa sana hadi sasa na inaiingiza hasara serikali kila upande kuanzia ndani ya nchi hadi nje ya nchi yaani serikali inaingia hasara kubwa kwa gharama za kuendesha kesi hii,⁰ gharama za maaskari vikosi kwa vikosi, gharama za mafuta ya magari yanayo sindikiza msafara wa...
Hakika kesi ya Lissu imetusanua Watanganyika. Kwamba serikali ya Tanzania imejaa uozo kila sehemu. Kwamba sheria, kanuni na taratibu haziheshimiwi wala hazifuatwi ama kwa makusudi au kwa kutozijua! Ni fedheha kubwa kwa serikali kuwa na watendaji na watumishi ambao hawajui sheria, kanuni na...
Kwa waliosoma cross examination ya Lissu dhidi ya Bwana Jela wa Ukonga, ni wazi wataona jinsi serikali nzima ya Samia imekuwa ikimfanyia Lissu kila aina ya ukandamizaji, ubaguzi, uonevu, unyanyasaji, unyapaa na kumbana akiwa mahabusu. Bwana Jela wa Ukonga amehojiwa na Lissu kwa namna ambayo...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema waandishi wa habari wamezuiwa kuingia katika ukumbi wa Mahakama Kuu kuripoti mwenendo wa kesi inayohusu vikwazo vya kumwona Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu, akiwa mahabusu.
Taarifa hiyo imetolewa kupitia ukurasa rasmi wa chama...
Mzee wangu upo humu na ninajua unapenda sana kutembelea hili Jukwaa nitakachokiandika hapa sio kipya maana nishakuambia mara kadhaa.
Nilimwambia Mzee Kila nikipima Upepo naona kabisa SAMIA hamuachii Lissu atasota nae hadi amalize mda wake 2030.
Atapokea vitisho ila hatolegeza na why hatolegeza...
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Stephen Wasira, hivi karibuni amesikika akisema kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ndiye anayechangia kucheleweshwa kwa kesi yake ya uhaini kwa kuwasilisha mapingamizi mara kwa mara.
Akizungumza katika kipindi cha Dakika 45 cha ITV Julai 20, 2026, Wasira pia...
Nikiri kwamba mara hii natumia MOYO badala ya UBONGO kuandika uzi huu.
Mashinikizo ya ndani na nje ya nchi hayawezi kuifanya Tanzania ipindisje au iachane na Katiba yake, sheria, mila, taratibu na utamaduni wake wa kuliendesha taifa letu. Hakuna mtiti wa nje wala wa ndani unaoweza kumuondolea...
Katibu Mkuu wa Shura ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, ameitaka Mahakama ya Rufani Tanzania kuhakikisha inatenda haki kwa usawa katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu.
Akizungumza na MwanaHALISI Digital Julai 16...
Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Wakili Dkt. Rugemeleza Nshala, amesema mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu ameiambia mahakama kuwa amekaa mahabusu kwa siku 139 tangu Februari 24, 2026 hadi Julai 3, 2026 bila kesi yake kusikilizwa.
Soma: Tundu Lissu: DPP anilipe fidia...
Serikali ya Tanzania imesisitiza kuwa suala la Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, linaendelea kushughulikiwa na vyombo vya sheria bila kuingiliwa na mamlaka za kisiasa.
Kauli hiyo imetolewa katika ufafanuzi rasmi wa Serikali kuhusu rasimu ya Azimio la Bunge la Ulaya kuhusu Mpango wa...
Kukiwa na vuguvugu la maandamano tar 7 July, 2026
Na kesi ya Lissu kuahirishwa parefu Hadi tar 6 July, 2026
Zingatia hizo tarehe..why tar 6?
Je unaweza kusema waja kule wanawaza Nini?
Au wanapanga Nini😊
Soma pia Kesi ya Uhaini dhidi ya Tundu Lissu iliyopangwa kusikilizwa Juni 11, 2026...
Hakuna mtanzania anaefurahia huu utawala kwa amani. Wengi wanafurahia kwa shingo upande na unafiki.
Angalia hata hao wanaCCM makabwela ambao hudanganywa kwa baiskeli na tisheti safari hii hawautaki huu utawala wa CCM.
Kesi ya Lissu inazidi kuligawa taifa sababu kila mtanganyika mwenye akili...
Rufaa iliyokatwa na upande wa mashtaka (mawakili wa serikali) katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Tundu Antipas Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa tarehe 11-06-2026. Majaji watatu wa Mahakama ya Rufani wamepangwa kusikiliza rufaa hiyo.
Swali ni Je, watatenda haki...
Wakati CHADEMA ikianza operesheni ya “Katiba Mpya Free Lissu” katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, tayari hofu imeshatanda serikalini, ambapo Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imeiandikia baria ikitaka ijieleze kwa nini isifungiwe au kutozwa faini.
Miongoni mwa makossa wanayotakiwa kujieleza ni...
Mbunge wa Lahn-Dill nchini Ujerumani, Mheshimiwa Johannes Volkmann wa chama cha CDU ameihoji Serikali ya nchi hiyo kwamba, inachukua hatua gani kwa Tanzania kutokana na mauaji ya raia katika uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 na kuhusu kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, aliyosema inakiuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.