kesi ya lissu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Idugunde

    Mpaka sasa taifa lina mpasuko mkubwa sababu WanaCCM mtandao wamegeuza keki ya taifa kuea mali yao na kesi ya Lissu imeongeza chuki dhidi ya watawala

    Hakuna mtanzania anaefurahia huu utawala kwa amani. Wengi wanafurahia kwa shingo upande na unafiki. Angalia hata hao wanaCCM makabwela ambao hudanganywa kwa baiskeli na tisheti safari hii hawautaki huu utawala wa CCM. Kesi ya Lissu inazidi kuligawa taifa sababu kila mtanganyika mwenye akili...
  2. Mzalendo Uchwara

    Mmoja kati ya majaji waliopangiwa kesi ya Lissu aliwahi kutuhimuwa na Lissu kuwa aliteuliwa bila kuwa na vigezo. Je, watatenda haki?

    Rufaa iliyokatwa na upande wa mashtaka (mawakili wa serikali) katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Tundu Antipas Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa tarehe 11-06-2026. Majaji watatu wa Mahakama ya Rufani wamepangwa kusikiliza rufaa hiyo. Swali ni Je, watatenda haki...
  3. S

    Hilder Newton: Kesi ya Lissu kuendelea Juni 11, 2026

    Taarifa hii ni kwa mujibu wa Hilder Newton kupitia mtandao wa X
  4. Parabolic

    Vita ya kumaliza kesi ya Lissu katika giza la kufungiwa kwa CHADEMA

    Wakati CHADEMA ikianza operesheni ya “Katiba Mpya Free Lissu” katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, tayari hofu imeshatanda serikalini, ambapo Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imeiandikia baria ikitaka ijieleze kwa nini isifungiwe au kutozwa faini. Miongoni mwa makossa wanayotakiwa kujieleza ni...
  5. K

    Jaji mkuu : Maneno matupu kwanini kesi ya Lissu inachelewa

    Sasa tunamuona mtu wa porojo tu hana vitendo https://youtu.be/lyoVfSR3phI?si=IN5MIIeSdjM0qi3n
  6. Parabolic

    Mbunge Ujerumani ahoji bungeni mauaji ya Oktoba 29 Tanzania na kesi ya Lissu

    Mbunge wa Lahn-Dill nchini Ujerumani, Mheshimiwa Johannes Volkmann wa chama cha CDU ameihoji Serikali ya nchi hiyo kwamba, inachukua hatua gani kwa Tanzania kutokana na mauaji ya raia katika uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 na kuhusu kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, aliyosema inakiuka...
  7. S

    Eti mpaka leo kesi ya Lissu haijapangwa kusikilizwa! Hata mtoto wa darasa la kwanza atakuwa amedharau mahakama zetu

    Yaani wameshindwa kabisa kuficha udhaifu wao kiasi kwamba hata wale waliokuwa hawaamini kuwa hii kesi no ya mchongo, sasa watakuwa wameamini. Tundu Lissu anaingia katika kundi la watu maarufu wa kupigania haki za watu duniani huku wao wakiingia katika historia ya watawala waovu na...
  8. M

    Mwanza: Baadhi ya viongozi wamshauri Heche asisitize kesi ya Lissu ipelekwe haraka na si kuitisha maandamano

    Baadhi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Mwanza wameushauri uongozi wa juu wa chama hicho, hususan Makamu Mwenyekiti John Heche, kutafuta njia mbadala za kuharakisha kesi ya Mwenyekiti wao Tundu Lissu badala ya kuendelea kusisitiza maandamano. Viongozi hao...
  9. Manyanza

    Shahidi wa ziada kesi ya Lissu ASP Mahamba kumbe ni marehemu

    Wakuu huu ujumbe nimeuona kwenye ukurasa wa Malisa Gj kwenye mtandao wa thread. Umenitafakarisha sana. Hivi kwanini upande wa Jamhuri kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu wana mambo ya ajabu hivi? Akaandika Malisa Kada maarufu wa CCM wilaya ya Kinondoni, Mkamiti Mohamed amedai kuwa ACP Mohamed Said...
  10. Idugunde

    Jaji Masaju kama mahakama ni chombo huru kwa nini kiendelee kusikiliza kesi ya Lissu ambayo haina mashiko?

    Mahakama ina mamlaka ya kuondoa kesk pale inapoona hakuna mashiko ya kiushahidi. Leo hii mnalazimisha kusema kuwa watu mil 60 walioangalia video ya Lissu walihamasika kukinukisha na mahakama inapoteza muda kusikiliza ushahidi huu. Kwa nini mahakama yako isitumie busara na kuiondoa hii kesi kwa...
  11. Idugunde

    Idu nacheka ninapofuatilia kesi ya Lissu. Kwamba mtuhumiwa anawafundisha waendesha mashitaka nini cha kufuata kisheria!

    Nakunywa zangu balimi huku nachanganya na Konyagi ndogo. Mtuhumiwa wa kosa la uhaini anatoa shule kwa mawakili wa serikali. Kwamba ushaidi mpya ni tofauti na ushahidi wa nyongeza. Hawa mawakili wa serikali wanalipwa mshahara kwa kodi za mkulima kama Idugunde
  12. Mkalukungone Mwamba

    Mahakama Kuu yasimamisha usikilizwaji wa kesi ya Lissu, baada ya Jamhuri kufungua shauri la mapitio

    Mahakama Kuu imesimamisha usikilizwaji wa kesi ya uhaini inayomkabili mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu baada ya Jamhuri kufungua shauri la mapitio Mahakama ya Rufani kupinga uamuzi wa mahakama hiyo kutupilia mbali notisi yake ya kuwasilisha ushahidi mpya katika kesi hiyo. Soma Pia: Tundu...
  13. Waufukweni

    Kesi ya Lissu: Mawakili wa Jamhuri hawajarudi kwenye chumba cha Mahakamani kuendelea na Kesi

    Wakuu Inadaiwa mawakili wa Jamhuri hawajaonekana na hawajarudi Mahakamani mpaka muda huu. Karani amesimama na kuseeleza kuwa kuna jambo limejitokeza anaenda kutafuta ufafanuzi kwa msajili wa mahakama na atarudi kuleta mrejesho. Mwenendo wa Kesi > Kesi ya Lissu: Mahakama yatupilia mbali ombi...
  14. Q

    Kesi ya Lissu: Mahakama yatoa uamuzi wa kutoruhusu ushahidi wa nyongeza.

    Jana Lissu alimwambia Katanga asimfundishe sheria. Jaji Ndunguru anasema, Mahakama imeona hoja inayopaswa kuamuliwa ni je notice hiyo ipo kwa mujibu wa sheria? Ili kurahisisha Mahakama imeona ili reproduce notice hiyo inavyosema. Anasoma notice inavyosema kwamba ni notice ya kuongeza...
  15. Waufukweni

    Kesi ya Lissu: Mahakama kujadili ombi Jamhuri kuongeza ushahidi wa ziada leo Februari 23, 2026

    Leo Februari 23, 2026 kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu inatarajiwa kuendelea Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam ambapo kwa leo upande wa mashtaka unatarajiwa kuwasilisha maombi ya ushahidi wa ziada kisha ushahidi kuendelea. Tayari Lissu...
  16. Q

    PostGE2025 Matokeo ya Kesi ya Lissu na Tume ya Chande YANAJULIKANA, anayetegemea tofauti labda haijui Tanzania

    Jamhuri imeshindwa kuthibitisha Uhaini wa Lissu, lkn Mahakama itakuja na maamuzi kuwa Lissu ana kesi ya kujibu. Kwa vile wanajua watashindwa kesi na mmoja wa mashahidi wa utetezi ni Samia Suluhu, kuliko kumdhalilisha Samia watasema DPP hana nia ya kuendelea na kesi. Tume ya Chande haina kazi ya...
  17. Mindyou

    PostGE2025 Brenda Rupia: Wanapoteza kodi za Watanzania kwa kesi ya mchongo. Mashahidi hawajui kesi inahusu nini

    Wakuu, Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (#CHADEMA), Brenda Rupia ameyasema hayo wakati akizungumza na Waandishi wa Habari, leo Februari 21, 2026.
  18. ngara23

    Wataalam wa sheria tusaidie kuhusu kesi ya Lissu, maelezo ya mahakamani yakitofautiana na Yale ya polisi inaweza kuathiri maudhui ya ushahidi?

    Binafsi Niko hapa kupata elimu kidogo juu ya mambo ya kisheria Nimeona kesi ya Lissu akiwahoji mashahidi upande wa serikali, ila zaidi amekuwa akiwahoji kuhusu utambulisho wao na maelezo Yao ya awali waliyotoa police, na dhahiri yameonekana Kuna tofauti kubwa Naomba kuuliza ikiwa police...
  19. McLaren

    Shahidi wa siri (P9) apata kigugumizi kuhusu kazi anayoifanya. Maelezo ya Polisi kasema mkulima, kizimbani kasema Fundi Umeme

    Wakuu, Mko wapi? Naona shahidi amepata kigugumizi huku. Alichoandika kwenye maelezo ya polisi na kile ambacho amejibu hapo kwenye kizimba cha siri ni vitu viwili tofauti. Soma Pia: Shahidi wa Kesi ya Lissu (P7): Nauli ya kuja mahakamani leo nimepewa na mwanamke wangu. Ndiye ananiweka mjini...
  20. Waufukweni

    Kesi ya Lissu: Shahidi Coplo Vicent akiri Mahakamani, hakuandika kituo anachofanyia kazi, kwenye Maelezo yake ya Polisi

    Mhe. Lissu anaendelea na Cross examination. Mhe.Lissu: Sasa shahidi naomba uwaeleze waheshimiwa Majaji kama niliyoyasoma yanalingana na maelezo yako ya police. Coplo Vicent: ndiyo yanalingana. Mhe.Lissu: Sasa shahidi naomba nikupitishe kwenye Maeneo ambayo nataka nikuhoji. Mheshimiwa Lissu...
Back
Top Bottom