Nilisikia redioni akiwaomba masheikh kusali na kuliombea taifa dhidi ya Corona, ni sala tu kwa kwenda mbeleKenya Rais Uhuru Kenyata ameteua tume/watu wa kushughulika na corona tu. Hapa kwetu hivi ana mikakati gani ama yupo bussy na Membe?
Kenya Rais Uhuru Kenyata ameteua tume/watu wa kushughulika na corona tu. Hapa kwetu hivi ana mikakati gani ama yupo bussy na Membe?
Kufa ni bureTume ongeza idadi Ya wachina Kuingia Nchini Kutoka 30 kwasiku hadi 100 Nazaidi
Hatuna habareee Kwani Kufa Bei gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Watalii toka China wataenda kuangalia kima hao hawaambukizwi korona, sie tuko chonjo kwa kila Jambo kuanzia Ebola membe surua tetekuwanga mafua ya ndege polio miwayaKenya Rais Uhuru Kenyata ameteua tume/watu wa kushughulika na corona tu. Hapa kwetu hivi ana mikakati gani ama yupo bussy na Membe?
Tuna Askari wa miavuli🤣🤣 tena kweli nimekumbuka na wale wanaopasua matofali kwa mikono, bila kusahau wale wanaoweza kumtorosha kiongozi mashuhuri kutoka kwenye hatari🤣🤣🤣Tuna jeshi imara wataisambaratisha hiyo Corona kwa virungu mpaka ijute kwanini ulipotelea huku.
Na wale Askari wa mbwa, wataifurumusha hiyo Corona itwangwe mabomu.Tuna Askari wa miavuli🤣🤣 tena kweli nimekumbuka na wale wanaopasua matofali kwa mikono, bila kusahau wale wanaoweza kumtorosha kiongozi mashuhuri kutoka kwenye hatari🤣🤣🤣
Kenya Rais Uhuru Kenyata ameteua tume/watu wa kushughulika na corona tu. Hapa kwetu hivi ana mikakati gani ama yupo bussy na Membe?