Serikali yatoa tahadhari ya Virusi Corona, yasema hakuna mgonjwa Tanzania

ukimtoa Angela Kairuki anaefuata kwa urembo ni huyu mama Ummy Mwalimu....... nimeongelea mawaziri tu jamani!
 
Huo ugonjwa ukiingia chadema Chama kitabaki kitupu hakina mwanachama hata mmoja
 
Huu ugonjwa kumbe unaenezwa kwa kupiga chafya ,

wapiga chafya hameni nchi haraka

Polisi na jeshi simamieni Hilo zoezi Kama nauli hawana wabebeni kwenye maloli ya jeshi
 
ALERT! ALERT! coronovirus already spreaded to Mombasa a Chinese is undergoing treatment at mombasa Hospital. He has infected the Doctors and Nurses and whoever was handling him.

Kindly be aware of any handshakes. Or a crowded place where a person is coughing or sneezing... It's contagious. Drink lots of water ni keep yourself and children hydrated Avoid foods sold on the streets... Especially children whose immune system is low. Pass this message to others prevention is better than cure

Jr
Acha kupotosha watu. Mombasa hakuna aliyeambukizwa hata 1.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
nilitaka kujua
mikakatiya kuzuia isiingie ikoje, na ile ya kupambana nayo ikitokea imeingia.

Najiuliza kwa sababu naona kila sehemu duniani wanajiandaa, Pia wachina lukuki kila kona ya nchi hii inaweza kutokea bahati mbaya mdudu huyo akaingia.

Tunajiandaaje kama raia mmojamoja
kama serikali
kama taasisi mbalimbali
 
Serikali inaangalia tu pesa...nchi za wenzetu zilotuzidi kila kitu mpaka akili wao wanawazuia wachina ila sisi tunawakaribisha kwa wingi kw tamaa za kisiasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_20200226_221911.jpg
 
Habari wanajamvi,
Nimekaa nikafikiri sana, nimekosa majibu!

Hebu tusaidiane kidogo hivi, je ni busara serikali yetu kuendelea kuruhusu wasafiri kutoka mashariki ya mbali ASIA na ULAYA kwa kigezo cha utalii tu?

Maana kwa Habari zisizo rasmi kirusi hiki si rafiki wa joto (hawasurvive kwenye joto)
Naliona wimbi la watu wakija Africa hata Wale waliohathilika na COVID 19.

Sasa je ni busara kwa nchi yetu kuendelea kuruhusu safari za nje ya nchi kuingia au kutoka.
Wakati hatuna taarifa rasmi ya kuhusu tabia za kirusi.
Na je pesa ya utalii ni bora kuliko maisha ya watu?

Tatu je kuna hatua gani serikali imechukua kama taadhali kuhusu hivi virusi, au bado tunasikilizia?
- Kwanini serikali isitoe mwongozo kama ilivyo kuwa kwa virusi vya Ebola.

Mashuleni, vyuoni na vyombo vya habari, mabandiko mbalimbali yalikuwa yakielimisha watu kama kinga ili watu wawe na uelewa kidogo.

Je kwanini serikali isifunge mipaka kwa Muda. Kwasababu taarifa zisizo rasmi Bado airport zetu zinatumika kuingia na kutoka bila kujali msafiri anaenda au anatoka wapi.

La mwisho Serikali haijifunzi kwa irani ambao msafiri mmoja amesababisha maambukizo ya mamia na vifo vya makumi. Na kama inajifunza inachukua hatua gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale mliokua vipanga mashuleni/vyuoni hizo research zenu zililenga kutafiti nini? Maganda ya korosho? Mbona tangu Ebola mpaka corona sioni anaetikisa hata lip ya mdomo kusema wanaangalia uwezekano wa kuvumbua/gundua dawa ya magonjwa kama hayo? Ok mtasema kuwa hamna sampuli. Vipi ugonjwa unaosababishwa na Mbu hata ka chanjo kameshindikana?
 
Wale mliokua vipanga mashuleni/vyuoni hizo research zenu zililenga kutafiti nini? Maganda ya korosho? Mbona tangu Ebola mpaka corona sioni anaetikisa hata lip ya mdomo kusema wanaangalia uwezekano wa kuvumbua/gundua dawa ya magonjwa kama hayo? Ok mtasema kuwa hamna sampuli. Vipi ugonjwa unaosababishwa na Mbu hata ka chanjo kameshindikana?
Mazingira si rafiki, wanafunzi wanamaliza vyuo hamna Ajira.
Nakama ajira zipo hamna vitendea kazi.
Kila Tafiti inaitaji fungu. Kujitoa kwa akili zote.
Sasa kama Hata fungu hamna unafanya ili iweje.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada naona una hamu ya kubambikizwa kesi ya uhujumu uchumi.
 
Wale mliokua vipanga mashuleni/vyuoni hizo research zenu zililenga kutafiti nini? Maganda ya korosho? Mbona tangu Ebola mpaka corona sioni anaetikisa hata lip ya mdomo kusema wanaangalia uwezekano wa kuvumbua/gundua dawa ya magonjwa kama hayo? Ok mtasema kuwa hamna sampuli. Vipi ugonjwa unaosababishwa na Mbu hata ka chanjo kameshindikana?
wazungu wenyewe wameshindwa kupata dawa ya virus wa aina yoyote senbuse wabongo wanaosoma kwa kukariri?
 
Back
Top Bottom