Wanatoa combination bila walimu wa kufundisha hizo combination hii nchi kila mtu kavurugwa.Kwani tatizo la elimu yetu ni uchache wa tahasusi/combination?
Wamemshirikisha nani na wapi kuamua hatma ya vijana wetu?
Hii kwa sasa imetekwa nyara na genge baya kuliko wakoloni.
Mkuu sio kwamba kulikuwa na kamati iliyotembea mikoani na wilayani kukusanya maoni ya mabadiliko ya sera ya elimu ya 2024 toleo la 2023? Pia kupitia mitandao ya jamii. Kamati hiyo ilikuwa ikiratibiwa na TIE na waziri wa elimu. Au mimi ndio nachanganya mambo?Kwani tatizo la elimu yetu ni uchache wa tahasusi/combination?
Wamemshirikisha nani na wapi kuamua hatma ya vijana wetu?
Hii kwa sasa imetekwa nyara na genge baya kuliko wakoloni.
Diploma ni kwa waliosoma masomo ya Sayansi tuKwenye kipengele cha diploma niki search vyuo naambiwa no results match, msaada tafadhali mwenye kufamu.
Hivi Geography na languages zina correlate vipi? Namaanisha why HGK, HGK, HGF? Kwangu bora HKL, HKF, HLF where L = Literature in English.
Unazama kwenye lugha kweli kweli!
Sababu pia kigezo Cha kusoma sports science lazima ufaulu biologyMbona hushangai BIOLOGY kuwekwa tahasusi ya MICHEZO?!!
WHY?Eti kiswahili, french, Chinese.... Dah huu sasa ni upuuzi
Ongeza maelezo ili tuelewe kwenye mitaala kunashida gani. Kwa ulivyo andika huja bainisha tatizo lolote.
Ongeza maelezo ili tuelewe kwenye mitaala kunashida gani. Kwa ulivyo andika huja bainisha tatizo lolote.
Nadhani bado tutaona mengi zaidi