Chikaka mgiliki
Senior Member
- Mar 14, 2022
- 159
- 298
Kuna pimbi mmoja utamsikia kesho anasema tuna chuki na serekali ya huyu mama kwa mambo ya hivi kwanini usichukie wapinzani wamewekewa chakula mdomoni hawafai kuongea na chakula liko mdomoni Kuna mambo yanafanyika hadi unasema huyu mama kwa vile yeye ni mzanzibar anauza Mali za wabara kwakua akimaliza hatamu yake anarudi kula ulujo kisiwani.
M nashangaa Maguful alianzisha mbuga kule chato na ndan ya Tanzania watu wakapiga kelele mara hoo Magu anafanya vibaya kuwaamisha na yeye alifanya Ivo ili kuongeza utalii katika mikoa ya Kanda ya ziwa. Sasa sikia mama anawapeleka uraya bas shangilien maana ss Watanzania atueleweki Kwa Magu mlipinga bas shangilien kwa Mama tujue
M nashangaa Maguful alianzisha mbuga kule chato na ndan ya Tanzania watu wakapiga kelele mara hoo Magu anafanya vibaya kuwaamisha na yeye alifanya Ivo ili kuongeza utalii katika mikoa ya Kanda ya ziwa. Sasa sikia mama anawapeleka uraya bas shangilien maana ss Watanzania atueleweki Kwa Magu mlipinga bas shangilien kwa Mama tujue