Kipi ni bora wanyama pori au Watanzania waishio pembezoni mwa hifadhi za taifa?

koryo1952

JF-Expert Member
Mar 7, 2023
386
765
Kipi ni bora, wanyama pori au watanzania wanaoishi pembezoni mwa Hifadhi za Taifa. Hapa nitatoa mifano miwili.

(1) Wananchi wanaoishi pembe zoni wa Hifadhi ya Serengeti Wilayani Tarime.Ikumbukwe kuwa wananchi kila kukicha wanaongezeka na ardhi haiongezeki. Beacons ziliwekwa miaka 1962 kuonyesha mipaka halali ya Hifadhi ya Serengeti.

Ingekuwa ni busara Serikali ikaheshimu mpaka uliowekwa mwaka 1962 na wakashirikisha wananchi kwa kila hatua. Pili kama watu wameongezeka basi ni busara kwa Serikali kasogeza mpaka mpya ndani kabisa ya Hifadhi. Ukubwa Hifadhi ya Serengeti ni kama nchi ya Rwanda.

Sasa kipi ni bora kuheshimu wanyama pori kuliko binadamu. Jukumu nambari moja ni kuheshimu watu na siyo wanyama. Serikali yetu ni sikivu na mpaka uliopo basi usogezwe ndani kabisa ya Hifadhi ili wananchi wapate maeneo ya kulima. Tujali wananchi kwanza na siyo wanyama pori.

(2) Eneo la Nyatwali Wilayani Bunda. Serikali imeanza kufanya utaratibu wa kuwahamisha wananchi wa Kata ya Nyatwali ili wapishe wanyama pori. Kipi ni bora wanyama pori au binadamu. Wazo hili lilianza wakati wa utawala wa Magufuli na alipopelekewa wazo hili la kuwahamisha wananchi alikataa katakata na wananchi wakafurahi sana. Eneo hili linatambulika kama kata na ina vijiji vitatu vilivyoandikishwa kisheria.

Awamu ya sita ilipoingia madarakani ikabariki wazo hili na sasa ni dhahiri kabisa wananchi wanahamishwa bila kupenda. Kinachosikitisha ni malipo wanayopewa ili kuhama.

Kwanza waliwaeleza wananchi kuwa kwa ekari moja malipo yatakuwa shillingi milioni nne. Juzi wamekuja kusainisha watu malipo yao na kila ekari ni shillingi millioni mbili tu kinyume na makubaliano ya hapo awali. Ni masikitiko makubwa wananchi kuonewa na wanyama pori kuonekana wana thamani kuliko binadamu.

Hata kama wananchi watahama basi malipo yao yawe malipo ambayo ni mazuri. Mwisho kipi ni bora, binadamu au wanyama pori?.
 
Kipi ni bora, wanyama pori au watanzania wanaoishi pembezoni mwa Hifadhi za Taifa. Hapa nitatoa mifano miwili. (1) Wananchi wanaoishi pembe zoni wa Hifadhi ya Serengeti Wilayani Tarime.Ikumbukwe kuwa wananchi kila kukicha wanaongezeka na ardhi haiongezeki. Beacons ziliwekwa miaka 1962 kuonyesha mipaka halali ya Hifadhi ya Serengeti. Ingekuwa ni busara Serikali ikaheshimu mpaka uliowekwa mwaka 1962 na wakashirikisha wananchi kwa kila hatua. Pili kama watu wameongezeka basi ni busara kwa Serikali kasogeza mpaka mpya ndani kabisa ya Hifadhi. Ukubwa Hifadhi ya Serengeti ni kama nchi ya Rwanda. Sasa kipi ni bora kuheshimu wanyama pori kuliko binadamu. Jukumu nambari moja ni kuheshimu watu na siyo wanyama. Serikali yetu ni sikivu na mpaka uliopo basi usogezwe ndani kabisa ya Hifadhi ili wananchi wapate maeneo ya kulima. Tujali wananchi kwanza na siyo wanyama pori. (2) Eneo la Nyatwali Wilayani Bunda. Serikali imeanza kufanya utaratibu wa kuwahamisha wananchi wa Kata ya Nyatwali ili wapishe wanyama pori. Kipi ni bora wanyama pori au binadamu. Wazo hili lilianza wakati wa utawala wa Magufuli na alipopelekewa wazo hili la kuwahamisha wananchi alikataa katakata na wananchi wakafurahi sana. Eneo hili linatambulika kama kata na ina vijiji vitatu vilivyoandikishwa kisheria. Awamu ya sita ilipoingia madarakani ikabariki wazo hili na sasa ni dhahiri kabisa wananchi wanahamishwa bila kupenda. Kinachosikitisha ni malipo wanayopewa ili kuhama. Kwanza waliwaeleza wananchi kuwa kwa ekari moja malipo yatakuwa shillingi milioni nne. Juzi wamekuja kusainisha watu malipo yao na kila ekari ni shillingi millioni mbili tu kinyume na makubaliano ya hapo awali. Ni masikitiko makubwa wananchi kuonewa na wanyama pori kuonekana wana thamani kuliko binadamu. Hata kama wananchi watahama basi malipo yao yawe malipo ambayo ni mazuri. Mwisho kipi ni bora, binadamu au wanyama pori?.
Tunahitaji kuona anayeweza kusongesha taifa letu mbele,kama animal/mnyama anaweza kufanya yenyewe manufaa kuliko mtu,ni bora tumpe mnyama nafasi kwani atatusogeza mbele,kuliko mtu atakaye turudisha nyuma🤔.Naomba pia ni sikie kutoka kwa wakulingwa🤔.Kipi bora?
 
Kipi ni bora, wanyama pori au watanzania wanaoishi pembezoni mwa Hifadhi za Taifa. Hapa nitatoa mifano miwili.

(1) Wananchi wanaoishi pembe zoni wa Hifadhi ya Serengeti Wilayani Tarime.Ikumbukwe kuwa wananchi kila kukicha wanaongezeka na ardhi haiongezeki. Beacons ziliwekwa miaka 1962 kuonyesha mipaka halali ya Hifadhi ya Serengeti.

Ingekuwa ni busara Serikali ikaheshimu mpaka uliowekwa mwaka 1962 na wakashirikisha wananchi kwa kila hatua. Pili kama watu wameongezeka basi ni busara kwa Serikali kasogeza mpaka mpya ndani kabisa ya Hifadhi. Ukubwa Hifadhi ya Serengeti ni kama nchi ya Rwanda.

Sasa kipi ni bora kuheshimu wanyama pori kuliko binadamu. Jukumu nambari moja ni kuheshimu watu na siyo wanyama. Serikali yetu ni sikivu na mpaka uliopo basi usogezwe ndani kabisa ya Hifadhi ili wananchi wapate maeneo ya kulima. Tujali wananchi kwanza na siyo wanyama pori.

(2) Eneo la Nyatwali Wilayani Bunda. Serikali imeanza kufanya utaratibu wa kuwahamisha wananchi wa Kata ya Nyatwali ili wapishe wanyama pori. Kipi ni bora wanyama pori au binadamu. Wazo hili lilianza wakati wa utawala wa Magufuli na alipopelekewa wazo hili la kuwahamisha wananchi alikataa katakata na wananchi wakafurahi sana. Eneo hili linatambulika kama kata na ina vijiji vitatu vilivyoandikishwa kisheria.

Awamu ya sita ilipoingia madarakani ikabariki wazo hili na sasa ni dhahiri kabisa wananchi wanahamishwa bila kupenda. Kinachosikitisha ni malipo wanayopewa ili kuhama.

Kwanza waliwaeleza wananchi kuwa kwa ekari moja malipo yatakuwa shillingi milioni nne. Juzi wamekuja kusainisha watu malipo yao na kila ekari ni shillingi millioni mbili tu kinyume na makubaliano ya hapo awali. Ni masikitiko makubwa wananchi kuonewa na wanyama pori kuonekana wana thamani kuliko binadamu.

Hata kama wananchi watahama basi malipo yao yawe malipo ambayo ni mazuri. Mwisho kipi ni bora, binadamu au wanyama pori?.
Mmekweisha panga kuuza wanyama wote awamu hii Acheni tu story kwa kutafuta uhalali

USSR
 
Wanyama wana faida zao na wananchi wana faida zao. Hapa cha msingi ni kubalance ili wote wawez ku co exist la si hivyo mapori yatafutwa kabisaaana wanadam wanaongezeka kwa speed kubwa zaid
 
Kipi ni bora, wanyama pori au watanzania wanaoishi pembezoni mwa Hifadhi za Taifa. Hapa nitatoa mifano miwili.

(1) Wananchi wanaoishi pembe zoni wa Hifadhi ya Serengeti Wilayani Tarime.Ikumbukwe kuwa wananchi kila kukicha wanaongezeka na ardhi haiongezeki. Beacons ziliwekwa miaka 1962 kuonyesha mipaka halali ya Hifadhi ya Serengeti.

Ingekuwa ni busara Serikali ikaheshimu mpaka uliowekwa mwaka 1962 na wakashirikisha wananchi kwa kila hatua. Pili kama watu wameongezeka basi ni busara kwa Serikali kasogeza mpaka mpya ndani kabisa ya Hifadhi. Ukubwa Hifadhi ya Serengeti ni kama nchi ya Rwanda.

Sasa kipi ni bora kuheshimu wanyama pori kuliko binadamu. Jukumu nambari moja ni kuheshimu watu na siyo wanyama. Serikali yetu ni sikivu na mpaka uliopo basi usogezwe ndani kabisa ya Hifadhi ili wananchi wapate maeneo ya kulima. Tujali wananchi kwanza na siyo wanyama pori.

(2) Eneo la Nyatwali Wilayani Bunda. Serikali imeanza kufanya utaratibu wa kuwahamisha wananchi wa Kata ya Nyatwali ili wapishe wanyama pori. Kipi ni bora wanyama pori au binadamu. Wazo hili lilianza wakati wa utawala wa Magufuli na alipopelekewa wazo hili la kuwahamisha wananchi alikataa katakata na wananchi wakafurahi sana. Eneo hili linatambulika kama kata na ina vijiji vitatu vilivyoandikishwa kisheria.

Awamu ya sita ilipoingia madarakani ikabariki wazo hili na sasa ni dhahiri kabisa wananchi wanahamishwa bila kupenda. Kinachosikitisha ni malipo wanayopewa ili kuhama.

Kwanza waliwaeleza wananchi kuwa kwa ekari moja malipo yatakuwa shillingi milioni nne. Juzi wamekuja kusainisha watu malipo yao na kila ekari ni shillingi millioni mbili tu kinyume na makubaliano ya hapo awali. Ni masikitiko makubwa wananchi kuonewa na wanyama pori kuonekana wana thamani kuliko binadamu.

Hata kama wananchi watahama basi malipo yao yawe malipo ambayo ni mazuri. Mwisho kipi ni bora, binadamu au wanyama pori?.
"Serikali ni sikivu mkuu", sioni tatizo lako ni lipi hapo.
Kumbuka, hayo siyo maneno yangu, ni maneno yako!
 
Kipi ni bora, wanyama pori au watanzania wanaoishi pembezoni mwa Hifadhi za Taifa. Hapa nitatoa mifano miwili.

(1) Wananchi wanaoishi pembe zoni wa Hifadhi ya Serengeti Wilayani Tarime.Ikumbukwe kuwa wananchi kila kukicha wanaongezeka na ardhi haiongezeki. Beacons ziliwekwa miaka 1962 kuonyesha mipaka halali ya Hifadhi ya Serengeti.

Ingekuwa ni busara Serikali ikaheshimu mpaka uliowekwa mwaka 1962 na wakashirikisha wananchi kwa kila hatua. Pili kama watu wameongezeka basi ni busara kwa Serikali kasogeza mpaka mpya ndani kabisa ya Hifadhi. Ukubwa Hifadhi ya Serengeti ni kama nchi ya Rwanda.

Sasa kipi ni bora kuheshimu wanyama pori kuliko binadamu. Jukumu nambari moja ni kuheshimu watu na siyo wanyama. Serikali yetu ni sikivu na mpaka uliopo basi usogezwe ndani kabisa ya Hifadhi ili wananchi wapate maeneo ya kulima. Tujali wananchi kwanza na siyo wanyama pori.

(2) Eneo la Nyatwali Wilayani Bunda. Serikali imeanza kufanya utaratibu wa kuwahamisha wananchi wa Kata ya Nyatwali ili wapishe wanyama pori. Kipi ni bora wanyama pori au binadamu. Wazo hili lilianza wakati wa utawala wa Magufuli na alipopelekewa wazo hili la kuwahamisha wananchi alikataa katakata na wananchi wakafurahi sana. Eneo hili linatambulika kama kata na ina vijiji vitatu vilivyoandikishwa kisheria.

Awamu ya sita ilipoingia madarakani ikabariki wazo hili na sasa ni dhahiri kabisa wananchi wanahamishwa bila kupenda. Kinachosikitisha ni malipo wanayopewa ili kuhama.

Kwanza waliwaeleza wananchi kuwa kwa ekari moja malipo yatakuwa shillingi milioni nne. Juzi wamekuja kusainisha watu malipo yao na kila ekari ni shillingi millioni mbili tu kinyume na makubaliano ya hapo awali. Ni masikitiko makubwa wananchi kuonewa na wanyama pori kuonekana wana thamani kuliko binadamu.

Hata kama wananchi watahama basi malipo yao yawe malipo ambayo ni mazuri. Mwisho kipi ni bora, binadamu au wanyama pori?.
Tena mna bahati sana. Mwingereza aliwahamisha Wamasai kwenye 1950s na kuwapeleka Ngorongoro. Naye JK Nyerere aliwahamisha Wachagga kutoka Kilimanjaro na kuwapeleka Turiani mkoa wa Morogoro kwenye 1960s. Nyie ni nani mnatishia nyau serikali??

Nitaishwishi Serikali na nyinyi mtoke kabisa hapo mpelekwe Handeni kwenye ardhi kubwa.

Nyinyi Wakyurya mnajisikia ni alina nani ambao hamuwezi kuhama. Kwani nini mlichonacho hapo ambapo mkipelekwa pengine hamtakipata.

Kumbukeni Ardhi ya Tanzania kikatiba ni mali ya Serikali na Rais ndiye amedhaminiwa kuisimamia. Nyinyi mnayo tu miliki ya kimila ambayo ana uwezo kui revoke kwa matumizi mengine. Wacheni UPUMBAVU wa kujifanya eti nyinyi wabishi kama mbunge wenu Chapombe Mwita Waitara
 
Kinacho nishangaza zaidi ni pale serikali inavyozidi kupanua mapori ya akiba na maeneo yaliyohifadhiwa, ni kwa ajili ya nani hasa kama wananchi wanazuiliwa kuyatumia kujinasua kutoka katika umasikini?

Au kuna hela za mabeberu tunapokea kwa kuhifadhi maeneo? Au tunadhani ni sifa kuwa na mapori mengi ya akiba?

Uhifadhi sio mbaya, lakini unapofikia hatua ya kuua watu wako masikini wanaoingia huko kutafuta kuni na mkaa kwa lengo la kuhifadhi 'mapori' ya akiba inadhihirisha jinsi tulivyo wapumbavu!
 
Wananchi wanaweza kuishi mijini au mbali na porini, sidhani kama hao wanyama wana hio Option

Binadamu ni kirusi, amejiaminisha kwamba kwenye Nature ana hati miliki ya kutekeza na kuchezea viumbe hai vingine vyote..., Anyway that will be his own undoing.....

We need to learn to co-exist...
 
Tena mna bahati sana. Mwingereza aliwahamisha Wamasai kwenye 1950s na kuwapeleka Ngorongoro. Naye JK Nyerere aliwahamisha Wachagga kutoka Kilimanjaro na kuwapeleka Turiani mkoa wa Morogoro kwenye 1960s. Nyie ni nani mnatishia nyau serikali??

Nitaishwishi Serikali na nyinyi mtoke kabisa hapo mpelekwe Handeni kwenye ardhi kubwa.

Nyinyi Wakyurya mnajisikia ni alina nani ambao hamuwezi kuhama. Kwani nini mlichonacho hapo ambapo mkipelekwa pengine hamtakipata.

Kumbukeni Ardhi ya Tanzania kikatiba ni mali ya Serikali na Rais ndiye amedhaminiwa kuisimamia. Nyinyi mnayo tu miliki ya kimila ambayo ana uwezo kui revoke kwa matumizi mengine. Wacheni UPUMBAVU wa kujifanya eti nyinyi wabishi kama mbunge wenu Chapombe Mwita Waitara
Soma yote. Hawajagoma wanacholalamika ni kupunjwa pesa ambazo walikubaliana hapo awali.
Nchi hii ina upumbavu sana
 
Back
Top Bottom