Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,211
- 42,073
Toka limetokea sakata la kusaini mkataba wa DP world ambao wengi wameukosoa na kuonesha ni mmoja ya mkataba mbovu kabisa kuwai kutokea bado watu wengi wamekuwa wakijiuliza ni kweli Samia amesaini yeye mwenyewe mkataba wa aina hii?
Bahati mbaya au nzuri kila akipata nafasi amekuwa akikwepa kuzungumzia mkataba huu amabao kwa sahihi zinaonesha ni yeye aliyesaini lakini badala yake amekuwa akijificha kwenye ujenzi wa darasa,wafiwa watibiwe bure, mechi za Yanga na Simba!
Serikali inatakiwa kujua itafika kipindi atafunua mdomo wake kueleza na kujibu hoja zote maana kila anayemtuma anaeleza la kwake!
Serikali mekosa majibu sasa ameona awape shitaka la uhaini wanaopinga mkataba ule na masharti yake.
Serikali inatakiwa kujua shitaka la uhaini halitokuwa majibu ya mkataba mbovu wa Tanzania na DPW!
Shitaka la uhaini halitompa amani ya kutawala bali majibu juu ya Mkataba wa DPW ndio yatampa amani!
Shitaka la uhaini halitokufanya upendwe bali litakufanya uchukiwe na kuogopwa na wanaccm na wasio wana CCM!
Bado majibu ya kuhusu mkataba wa DPW yataendelea kuhitajika kutoka kwako si leo tuu hadi baada ya Utawala wako!
Bahati mbaya au nzuri kila akipata nafasi amekuwa akikwepa kuzungumzia mkataba huu amabao kwa sahihi zinaonesha ni yeye aliyesaini lakini badala yake amekuwa akijificha kwenye ujenzi wa darasa,wafiwa watibiwe bure, mechi za Yanga na Simba!
Serikali inatakiwa kujua itafika kipindi atafunua mdomo wake kueleza na kujibu hoja zote maana kila anayemtuma anaeleza la kwake!
Serikali mekosa majibu sasa ameona awape shitaka la uhaini wanaopinga mkataba ule na masharti yake.
Serikali inatakiwa kujua shitaka la uhaini halitokuwa majibu ya mkataba mbovu wa Tanzania na DPW!
Shitaka la uhaini halitompa amani ya kutawala bali majibu juu ya Mkataba wa DPW ndio yatampa amani!
Shitaka la uhaini halitokufanya upendwe bali litakufanya uchukiwe na kuogopwa na wanaccm na wasio wana CCM!
Bado majibu ya kuhusu mkataba wa DPW yataendelea kuhitajika kutoka kwako si leo tuu hadi baada ya Utawala wako!