Serikali kuifutia leseni kampuni ya simu ya Manji

Serikali kuifutia leseni kampuni ya simu ya Manji

Sky.... hebu edit habari yako.... alafu haijafutiwa bali inasemekana inaweza kufutiwa
Then ni jambo lisilowezekana kirahisi kuifungia tigo cz imeajiri maelfu na inaiingizia serikali kodi kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo bora iendelee kufanya ndivyo sivyo kwakuwa tu imeajiri watu wengi na serikali inakusanya kodi kubwa kutoka hiyo kampuni,unaijua kampuni ya mafuta iliyokuwa inaitwa BP,umeshajiuliza iko wapi...?
 
hili suala watu walilisema sana kuwa kinachofata ni kutaifishwa hii kampuni ambayo yeye ni majority shareholder
 
Hio Kampuni ya Manji iliyofutiwa leseni na Tcra inaitwa MYCELL.Kwani Tigo wao si ni MILLCOM au mimi ndio sielewi labda?

In white-collar crime, there are ink stains instead of bloodstains.
 
TIGO kampuni inayomilikiwa na Yusuph Manji imefutiwa leseni ya biashara kwa majibu wa gazeti la mwananchi
Manji ana leseni ya kampuni ya simu inaitwa MyCell.Toka apewe leseni hiyo zaidi ya miaka kumi ana mnara mmoja tu! Japo anatakiwa aroll out network nchi nzima!.So ni Mycell ndo inataka futiwa leseni na sio Tigo
 
Back
Top Bottom