emmanuel mruma
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,777
- 1,719
Hakuna cha dua wala nn hio dua ilikua inasubiri magufuli aingie,...mbna sumaye na watu wengi tu wamefutiwa umiliki makampuni kadhaa yamefutiwa leseni kwaio ni dua za waislamu hizoii eeeeehNilisikia dhurma ya kiwanja alikichukua akawalipa wasiohusika na kesi akashinda kiujanja janja wakamsihi sana arejeshe akagoma wakampa ukweli akaujua lakini akakomaa.. akaombewa Dua baya akaona poa halimfanyi kitu kumbe huwa Dua mbaya zinatabia tofauti inaweza ikawa wakati huo huo au baadae kukupata au unapozidisha maovu ndio inachanganya kama now
Sent using Jamii Forums mobile app