Serikali kuifutia leseni kampuni ya simu ya Manji

Serikali kuifutia leseni kampuni ya simu ya Manji

Masuala ya Kibiashara tuspende sana kuyahusianisha na imani ni vyema masuala ya imani yakawa treated kiimani na ya kibiashara yakawa treated kibiashara. ..let's be really na kuweka mambo kwenye mizan za kitaalam zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kutenganisha ni maamuzi yako.. ila sie tunafahamu kiimani huwa inakumba kila kitu refer Nabii Ayoub alikuwa Tajiri sana kisha akapoteza mali zote na akaugua sana akafiwa na ndugu wote na watoto mkewe akimuambia akufuru yeye aligoma... Mwenyezi Mungu akampa maisha mapya tena mazuri na umri mrefu wa kuishi watoto wengi tena Manji akatubu tu ukifungiwa ridhki duniani na mbinguni pia unafungiwa
 
Nionavyo mimi apo kuna ajira nyingi sana zitapotea kama kuna makosa Kampun ambayo kwa jina inaitwa (My Cell)kama skosei. .. ipigwe faini ata kama ni kubwa kama tunavyofanya kwenye migodi ili maisha yaendelee tusije tukazalisha vibaka atakayeumia zaidi si Manji ila ni wafanyakazi..Manji atakua na pesa nyingi tu nje za Family group ambazo ksheria mtu hawez kuztreat kama za kwake ila ni za kwake kwa upande mwingine. ..

rejea ICC walipohoji utajiri wa Uhuru Kenyata jibu likawa kua zile si mali za Uhuru bali ni za Kenyata/Mama Ngina family property ambapo kisheria family Group of company si mali ya mtu japo kiualisia anakua na maslahi makubwa ndani yake. .wataalam wetu waliangalie ili suala kwa jicho la tatu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaalamu gani aende/ashauri kinyume na Mkuu?

-Domhome-
 
Sasa kufungia biashara apa bongo wakat huko kwingine inafanya kazi itamsaidia nn baba jesca?

Apo anataka kutengeneza bifu jingine la wafukuzwa kazi sio. Waliopo hajawaajiri mwaka wa 2 Sasa, waliokuwepo serikalin kawafukuza, wa sekta binafsi nao anaona wanafaidi basi anayafunguia makampuni kazi ama anawasababisha wayafunge.

Idadi ya wasiokuwa na kazi inaongezeka, mianya ya ajira inaminywa kbs.

Afu faini za overspending zinaongezeka. Hii ndiyo tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
Utawala huu hakika.."umefitinika"

-Domhome-
 
Kutenganisha ni maamuzi yako.. ila sie tunafahamu kiimani huwa inakumba kila kitu refer Nabii Ayoub alikuwa Tajiri sana kisha akapoteza mali zote na akaugua sana akafiwa na ndugu wote na watoto mkewe akimuambia akufuru yeye aligoma... Mwenyezi Mungu akampa maisha mapya tena mazuri na umri mrefu wa kuishi watoto wengi tena Manji akatubu tu ukifungiwa ridhki duniani na mbinguni pia unafungiwa
Je kama ametubu tutajuaje? ilo ni suala la imani..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi kweli kweli. Tatizo ni nchi kuendesha na katiba zaifu na kutegemea utashi wa raisi. Kama ni mfanyabiashara Tanzania inabidi kujiuliza hili swali kila miaka kumi. Kwa stahili hii tutaendelea kuwa wa mwisho tuu.
"Chizi kapewa rungu"....

-Domhome-
 
manji awaombe msamaha waislamu la sivyo atakuwa apache alolo
Ni hisia zako kwani waislam ndo wanaotaka kumfilisi? Yaani ni kama huku kwetu uswahilini ambavo masikini utamani kuona wenye nazo wakifirisika.aliepewa kapewa masikini ataendelea kuwa masikini na hawezi shindana na tajiri ni mapito tu.Ni hulka tu za masikini ukipika nyama wananuna.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni funzo Kwa wafanyabiashara siasa za kiafrika huwa haziaminiki hasa kuegemea upande mmoja ni hatari sana upepo unapogeuka,sababu Africa imekumbwa na ugonjwa hatari sana wa mkoloni mweusi ambae ni kirusi kibaya zaid ya shetani,kuliko mkoloni mweupe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom