Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,396
Usiwe unaandika vitu usivyovijua.TIGO
Usiwe unaandika vitu usivyovijua.TIGO
Wewe mwenyekiti wa Bawacha taifa unajua kampuni yenyewe inayo ongelewa? unazijua sababu za kutaka kufungiwa?Kina Bill Gates wangefanyiwa hivi na serikali zao hii misaada wanayotupa tungeipata wapi?
Watakaopoteza ajira wakale wapi?
Anyway,madaraka yana mwisho.
hahahaha umevimbia maharage wewe...kama jambo hulijui sio lazima kuandika...TIGO
Yaani manji tajiri afu anawatapeli masikiniNilisikia dhurma ya kiwanja alikichukua akawalipa wasiohusika na kesi akashinda kiujanja janja wakamsihi sana arejeshe akagoma wakampa ukweli akaujua lakini akakomaa.. akaombewa Dua baya akaona poa halimfanyi kitu kumbe huwa Dua mbaya zinatabia tofauti inaweza ikawa wakati huo huo au baadae kukupata au unapozidisha maovu ndio inachanganya kama now
Angekuwa ni mmoja kati ya waajiriwa wa manji basi asingesubutu kusema hivyoHili swala sio la kufurahia,huu ni upumbavu wa kupora mali za watu walizotafta kwa miaka mingi kisa umepewa madaraka
Sent using Jamii Forums mobile app
Shetani ni mtu kumbe ee!!???Nimepata tafsiri sahihi ya kuishi kama shetani, japo kiuhalisia shetani ni mtu wa bata sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kikampuni cha mfukoni kinaitwa "MyCell" hakijawahi kuwa hata sokoni, nadhani hata yeye anajua kimeshamshinda anapigana kuichukua Tigo mahakamani.Wakuu ni kampuni gani ya simu?
Kina Bill Gates wangefanyiwa hivi na serikali zao hii misaada wanayotupa tungeipata wapi?
Watakaopoteza ajira wakale wapi?
Anyway,madaraka yana mwisho.
.Magufuri ye ndo mwenye serikali kwaniEti waislamu.... amuombe radhi magufuli kwani waislamu ndo wenye hii nchi au ndo wenye serikali
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa dhuluma kesi zikiisha lazima avae gwanda!
TIGO kampuni inayomilikiwa na Yusuph Manji imefutiwa leseni ya biashara kwa majibu wa gazeti la mwananchi
Awaombe radhi waislamu waliomuombea dua mbaya kama vile watu Wa Kibaha na Mvomero walivyomuombea dua mbaya Sumaye. Mrema yeye ilibidi awaombe radhi, angalau rasha rasha imemfikia.