Yale mabulungutu ya Dodoma, hahahahahaahaVisasi vinaendelea.
Yale mabulungutu ya Dodoma, hahahahahaahaVisasi vinaendelea.
Sky ukipata muda edit kidogo hii threadTIGO kampung inayomilikiwa na Yusuph Manji imefutiwa learning ya buashara kwa majibu wa gazeti la mwananchi
OKTIGO
Hiyo kampuni ni ipi?
Sky.... hebu edit habari yako.... alafu haijafutiwa bali inasemekana inaweza kufutiwaTIGO kampung inayomilikiwa na Yusuph Manji imefutiwa learning ya buashara kwa majibu wa gazeti la mwananchi
Yeah.
Ni kweli manji ndie mmiliki wa tigo au ni msimamizi mkuu wa tigo cz tigo imesambaa nchi nyingi na hapa tz ni kama tawi tu la tigoNyepesi nyepesi ni kuwa kuna kigogo anataka kujimilikisha Kampuni hiyo
Sio bashite kweli?Nyepesi nyepesi ni kuwa kuna kigogo anataka kujimilikisha Kampuni hiyo
Baba BashSio bashite kweli?
Nimepata tafsiri sahihi ya kuishi kama shetani, japo kiuhalisia shetani ni mtu wa bata sana!TIGO kampuni inayomilikiwa na Yusuph Manji imefutiwa leseni ya biashara kwa majibu wa gazeti la mwananchi