Serikali kuifutia leseni kampuni ya simu ya Manji

Serikali kuifutia leseni kampuni ya simu ya Manji

Kina Bill Gates wangefanyiwa hivi na serikali zao hii misaada wanayotupa tungeipata wapi?

Watakaopoteza ajira wakale wapi?

Anyway,madaraka yana mwisho.
Huna lolote unalo lifahamu zaidi ya kuwa kibendera
Hujui jana ulisema lipi
leo uongee lipi!!

Mnahitaji huruma siyo bure
mlicho kipinga jana leo hamkijui!!
 
TIGO kampuni inayomilikiwa na Yusuph Manji imefutiwa leseni ya biashara kwa majibu wa gazeti la mwananchi
Hivi uliisoma kweli hiyo habari ukaona ni tigo?
No wonder Mods wameona waiache huku huku chit chat...
Kasome tena hiyo habari....
 
Kina Bill Gates wangefanyiwa hivi na serikali zao hii misaada wanayotupa tungeipata wapi?

Watakaopoteza ajira wakale wapi?

Anyway,madaraka yana mwisho.
Unaangalia sura au unaangalia sheria?
Je ni kweli hii kampuni imevunja sheria?

Ukiangalia sura utakuwa na double standard sana..ando pale kitendo kikifanywa na mwana ccm anaitwa fisadi, akikifanya mwanachadema anaitwa kamanda.

Adhabu akipewa mwana ccm..anaisoma namba...akipewa chadema...anaonewa na ni maelekezo kutoka juu.

Yaani haya yanayomkuta Manji angekuwa ni chadema mwezio yowe lake lisingebebeka.

Acha double standard za kuangalia sura, fata sheria basi...sio yale mambo ya Lowassa akiwa ccm fisadi, wiki chache baadaye kamanda msafi, kisa nini...kuangalia sura.

Badili msingi wa hoja yako. Afu useme anaonewa au la.
 
Sasa kufungia biashara apa bongo wakat huko kwingine inafanya kazi itamsaidia nn baba jesca?

Apo anataka kutengeneza bifu jingine la wafukuzwa kazi sio. Waliopo hajawaajiri mwaka wa 2 Sasa, waliokuwepo serikalin kawafukuza, wa sekta binafsi nao anaona wanafaidi basi anayafunguia makampuni kazi ama anawasababisha wayafunge.

Idadi ya wasiokuwa na kazi inaongezeka, mianya ya ajira inaminywa kbs.

Afu faini za overspending zinaongezeka. Hii ndiyo tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa umeanza kuelewa....

Hiyo ndo CCM yako sasa...

Na hakuna wa kumshauri kwakuwa wote wanamwogopa
 
Hivi lile Dua baya aliloombewa manji na Waislam ndio matokeo yake haya? Duh ni laana mbaya inamkamua hadi aseme po
Masuala ya Kibiashara tuspende sana kuyahusianisha na imani ni vyema masuala ya imani yakawa treated kiimani na ya kibiashara yakawa treated kibiashara. ..let's be really na kuweka mambo kwenye mizan za kitaalam zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui kwanini naipenda sana hii Kauli " Siongei na Mbwa bali naongea na mwenye Mbwa hivyo mwambie aliyekutuma anitafute kwani anajua jinsi ya kunipata au aniite nitaenda kumuona acha kuwa na kiherehere na kujifanya unajua taratibu "

Msaada jamani hili lile Sinema ( Movie ) lenye Title ya PAY BACK lilichezwa na nani vile? Halafu mnaojua Kiingereza ( mliosoma ) hivi hilo neno la ' Pay Back ' lina maana gani hasa?

Na wale Wahenga waliposema kwamba ' ukilijua hili wenzako wanalijua lile ' walikuwa na maana gani hapa?
Visasi vinarudisha maendeleo nyuma...sana sana mnafurahia ajira za watanzania kuharibiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui kwanini naipenda sana hii Kauli " Siongei na Mbwa bali naongea na mwenye Mbwa hivyo mwambie aliyekutuma anitafute kwani anajua jinsi ya kunipata au aniite nitaenda kumuona acha kuwa na kiherehere na kujifanya unajua taratibu "

Msaada jamani hili lile Sinema ( Movie ) lenye Title ya PAY BACK lilichezwa na nani vile? Halafu mnaojua Kiingereza ( mliosoma ) hivi hilo neno la ' Pay Back ' lina maana gani hasa?

Na wale Wahenga waliposema kwamba ' ukilijua hili wenzako wanalijua lile ' walikuwa na maana gani hapa?
Bila kusahau kuwa ulimi uli kipooza kichwa
 
Huyu jamaa katembea na demu wa jamaa nini!?? Sio kwa visa hivi!!!
 
Unaangalia sura au unaangalia sheria?
Je ni kweli hii kampuni imevunja sheria?

Ukiangalia sura utakuwa na double standard sana..ando pale kitendo kikifanywa na mwana ccm anaitwa fisadi, akikifanya mwanachadema anaitwa kamanda.

Adhabu akipewa mwana ccm..anaisoma namba...akipewa chadema...anaonewa na ni maelekezo kutoka juu.

Yaani haya yanayomkuta Manji angekuwa ni chadema mwezio yowe lake lisingebebeka.

Acha double standard za kuangalia sura, fata sheria basi...sio yale mambo ya Lowassa akiwa ccm fisadi, wiki chache baadaye kamanda msafi, kisa nini...kuangalia sura.

Badili msingi wa hoja yako. Afu useme anaonewa au la.
[emoji1] [emoji1] mkuu nimependa hapo Fisadi akiwa CCM ila akiwa CHADEMA anaitwa KAMANDA.

Ila CHADEMA kwa mbwembwe sasa wanamaanisha KAMANDA wa UFISADI au

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom