Serikali kuifutia leseni kampuni ya simu ya Manji

Serikali kuifutia leseni kampuni ya simu ya Manji

Sky.... hebu edit habari yako.... alafu haijafutiwa bali inasemekana inaweza kufutiwa
Then ni jambo lisilowezekana kirahisi kuifungia tigo cz imeajiri maelfu na inaiingizia serikali kodi kubwa
Alikwambia nani sababu hizo 'mbili ndogo ' (kwao) zina nguvu kuliko kisasi?
 
Kina Bill Gates wangefanyiwa hivi na serikali zao hii misaada wanayotupa tungeipata wapi?

Watakaopoteza ajira wakale wapi?

Anyway,madaraka yana mwisho.
Pesa za bill gates alizipata kwa halali lakini manji utajili wake umekua na kashfa nyingi za ufisadi(eg nssf) na dhuluma.
 
Dua gani hilo na kwa nini
Nilisikia dhurma ya kiwanja alikichukua akawalipa wasiohusika na kesi akashinda kiujanja janja wakamsihi sana arejeshe akagoma wakampa ukweli akaujua lakini akakomaa.. akaombewa Dua baya akaona poa halimfanyi kitu kumbe huwa Dua mbaya zinatabia tofauti inaweza ikawa wakati huo huo au baadae kukupata au unapozidisha maovu ndio inachanganya kama now
 
hatari sana. but mwenyehasara kubwa ni tanznia na wala siyo manji
 
Back
Top Bottom