Dah!! Watu mna mikwara humu JFHao wanaofanya hayo wanakiuka sheria za nchi!Ikifika mahali hakutakuwa na kurudi nyuma,mtu akiona haki haipatikani katika utaratibu wa kawaida kinachofuata ni violence!Tutafika tu huko na watawala watakumbuka walipojikwaa!
Haki huzaa amani,uonevu huzaa maafa!
Jeshi la polisi lilitakiwa limuite huyu Bon awasaidie polisi ushahidi wa hao wahalifu.Ni swali tu nimeuliza baada ya kusoma tweet hii ya mmoja wa wagombea ndugu Boniface Jacob.
View attachment 1547469
Sawa,tuombee kheri!Dah!! Watu mna mikwara humu jf
Hapo anamuwinda amtandike bakora ya kichwa ili asilete kiwingu. Ccm ya jiwe ya kishamba sanaMgombea wa hadema Kongwa kavamiwa na watu wakamnyanganya begi ambalo lilikuwa na copy ya fomu. Hivyo original form ilikuwa salama. Kesho yake mgombea wa CDM akaipeleka kwa msimamizi ikapokelewa.
Ona kichekesho:
Job akaweka pingamizi kuwa FOMU ILIIBIWA SASA HII ULIYORUDISHA UMEIPATA WAPI?
Maana yake nini:
Job anajua fika kuwa fomu imechukuliwa ... hivyo aliwatuma yeye kufanya aborted kitendo hicho cha uvamizi!
umeona eh!Duh!
Dribbling skills za hali ya juu!
SI JOB KAWEKA PINGAMIZI KUWA FOMU IMEIBIWA HII KAIPATA WAPI? MKURUGENZI KAKUBALI , KAMUENGUA S........ TYPE!Lakini mbona wamemuengua na hilo zoba limepita bila kupingwa?
Haa! Kumbe ndio hivyo? Hivi hayo mapingamizi yanafanywaje? Yaani upumbavu wa maamuzi ya DED unaweza kupita bila kuhojiwa?SI JOB KAWEKA PINGAMIZI KUWA FOMU IMEIBIWA HII KAIPATA WAPI? MKURUGENZI KAKUBALI , KAMUENGUA S........ TYPE!
Ha haaaMgombea wa Chadema Kongwa kavamiwa na watu wakamnyanganya begi ambalo lilikuwa na copy ya fomu. Hivyo original form ilikuwa salama. Kesho yake mgombea wa CDM akaipeleka kwa msimamizi ikapokelewa.
Ona kichekesho:
Job akaweka pingamizi kuwa FOMU ILIIBIWA SASA HII ULIYORUDISHA UMEIPATA WAPI?
Maana yake nini:
Job anajua fika kuwa fomu imechukuliwa ... hivyo aliwatuma yeye kufanya aborted kitendo hicho cha uvamizi!
Bahati mbaya sana mada yangu imeungwa huku ...IGP ni mtoa miongozo na maamuzi hivyo kauli yake ni muhimuMajukumu ya IGP ni mengi mno zaidi ya uhalifu wa kisiasa. Wakati huku wanasiasa wanatendewa uhalifu, huko vijijini akina mama na watoto wanabakwa. Sasa huyo IGP atafuatilia lipi na aachane na lipi?
Inamana hao wagombea wa ACT waliotekwa wao sio wapinzani sio?Kuna wimbi limezuka yakwamba wagombea wa chadema wanatekwa na kunyang'anywa form za kugombea nafasi za ubunge na udiwani wanapoelekea kuzikabidhi kwa tume ya uchaguzi.
Kwanini ni chadema pekee na si vyama vingine?,jibu ni kwamba chadema inatafuta attention kwa nguvu, ndani ya nchi na nje katika jumuiya ya kimataifa kujionyesha wanaushawishi wakati si kweli hata kidogo.
Hili la kujiteka lipo ndani ya Chadema wenyewe.
Chadema hakina fedha za uchaguzi kuweka wagombea na wasimamizi au mawakala nchi nzima ,hili liko wazi, wanachofanya ni kutaka kuvuruga uchaguzi huu tu.
Hawakufanya vetting ya kutosha kwa wateule wa nafasi za udiwani ,ubunge na hata urais,wamekurupuka na hilo liko wazi kabisa.
Utachukuaje wagombea bila mchakato makini?, haya ndio matokeo yake . Wagombea wao Wanatelekeza nafasi zao kwa ukata ,chama hakina fedha ya uchaguzi , wakijua hawatashinda.
Wakitumia njia ya kujitoa wataonekana wasaliti kwa wafuasi wao
Njia wanayoitumia kwa sasa ni kuingia mitini kwa kisingizio cha kujiteka na huu ni upumbavu wa hali ya juu sana.
Naviomba vyombo vya ulinzi na usalama kwa kushirikiana na TCRS kubaini mwenendo huu ambao unaharibu taswira ya nchi yetu kwa makusudi kabisa.
Hili likiendelea kuachwa madhara yake ni makubwa huko mbeleni.
Basically mada yako ilimlenga zaidi IGP, naona kama wameipunguza uzito kuunga hapa ambapo nazungumzia utekaji wa wagombea na uporaji fomu uliokuwa unadaiwa kutokea lakini hatupati uthibitisho zaidi wa vyombo husika.Bahati mbaya sana mada yangu imeungwa huku ...IGP ni mtoa miongozo na maamuzi hivyo kauli yake ni muhimu