Mwananchi B
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 1,719
- 3,589
Ha ha haOpening theme Quisera sera whatever Will be, Will be, the future is not ours to see Quisera sera
A creepy Song
Ha ha haOpening theme Quisera sera whatever Will be, Will be, the future is not ours to see Quisera sera
FROM ipo poa, it worth watchingRandal ni Bipolar sio mzima yule, Jim atajuta kumuingiza kwenye utafiti wake, na akimuua tu Donna basi mji hautakua salama tena, watu watapanic ukizingatia na chakula kinaisha.
Qui sera sera.Opening theme Quisera sera whatever Will be, Will be, the future is not ours to see Quisera sera
naona he series inakuja na mambo mengi. Wacha tusubirie, huyu creature juzi kaunguzwa moto, but am sure kuna kitu nyuma ya paziaYes it's a new plan
Ila nimemiss sana yule smiley creature ila kuna watu wanajua aiseView attachment 2658915
Naam, hapo season 3 inatuhusu, yule nightmare creature waliyemuua nilikua namkubali sana muda wote yeye anatabasam huku anaua, nilisikita alivyokufa,
It's crazy.
Alafu ninachoipendea hii series ni kwamba huwezi jua mbele itakuaje aloo😋😋Naam, hapo season 3 inatuhusu, yule nightmare creature waliyemuua nilikua namkubali sana muda wote yeye anatabasam huku anaua, nilisikita alivyokufa,
It's crazy.
Nahisi nje kutakua na maisha ya kawaida. Na sijui kama mule ndani ya silo hamtatokea vuruguEp 7 imetoka, nina kimuhe muhe cha kutaka kujua outside of SILO kuna nini ila nahisi hadi ssn 1 inaisha story itabaki huko huko kwenye SILO
Kwa ilipoishia ep 8 mambo ni matamu, Jules sijui atawakwepa vipi Judicial maana sio kwa betrayal ile kutoka kwa Mayor, na kama nje ya SILO kupo kawaida mbona wote walioenda ku clean hawakurudi hadi yule Sheriff wa mwisho ni kama alivuta hewa mbaya akafa.Nahisi nje kutakua na maisha ya kawaida. Na sijui kama mule ndani ya silo hamtatokea vurugu
Naam, haitabiriki ni kusubiri tu hatma yake, maana Jim anahisi kama wamewekwa sehemu kujaribiwa akili zao na kuna watu wanawatizama, Randal anahisi ni game inachezwa na hao creatures sio halisi na hata waliokufa hawajafa, rejea alipomuuliza Sara kama kaka ake alikufa kweli au yupo hai, mambo niAlafu ninachoipendea hii series ni kwamba huwezi jua mbele itakuaje aloo
Asipokufa tuta prove mawazo ya Jim na Randal kua ni mind game wanachezewa.Me nahisi huyo hajakufa. Tunaweza kumuona baadae
Nimefurahi kuona nina mashabiki wenzangu maana nyumbani hua naiangalia peke yangu kila Mtu anaiogopaFROM ipo poa, it worth watching
No, inawezwkana vedio wanayoona ndani haina uhalisia. Na inawezekana ile hewa wanayowapa wakiwatoa nje ndo ina sumu. Ndiyo maana aliuliza kuna yoyote kati yao amejaribu kuvua mask? Sherif alipoanguka kwa mkewe wakatukatisha ahapakuendelea. Kuna yule jamaa anaekaa kwenye kitchen kuna sehemu anauliza mbona naona kama kuna light nje kila usiku ukiingia?. Hii serie ni kama series ya the 100 au kuna muvie imaitwa maze runnerKwa ilipoishia ep 8 mambo ni matamu, Jules sijui atawakwepa vipi Judicial maana sio kwa betrayal ile kutoka kwa Mayor, na kama nje ya SILO kupo kawaida mbona wote walioenda ku clean hawakurudi hadi yule Sheriff wa mwisho ni kama alivuta hewa mbaya akafa.
Hiyo series ipi?Kwa ilipoishia ep 8 mambo ni matamu, Jules sijui atawakwepa vipi Judicial maana sio kwa betrayal ile kutoka kwa Mayor, na kama nje ya SILO kupo kawaida mbona wote walioenda ku clean hawakurudi hadi yule Sheriff wa mwisho ni kama alivuta hewa mbaya akafa.
SILO inaitwaHiyo series ipi?
Hapo kwenye hewa wanayowapa ina sumu na mimi naamini, ni kweli hii ni kama the 100, ngoja tuone yajayoNo, inawezwkana vedio wanayoona ndani haina uhalisia. Na inawezekana ile hewa wanayowapa wakiwatoa nje ndo ina sumu. Ndiyo maana aliuliza kuna yoyote kati yao amejaribu kuvua mask? Sherif alipoanguka kwa mkewe wakatukatisha ahapakuendelea. Kuna yule jamaa anaekaa kwenye kitchen kuna sehemu anauliza mbona naona kama kuna light nje kila usiku ukiingia?. Hii serie ni kama series ya the 100 au kuna muvie imaitwa maze runner
Reason for cancellation?Najuta kudownload treadstone bila kuchek continuation yake. Mzigo kumbe ulikua cancelled Season 1 goddamnit!
Shukrani inaonesha ni nzuriSILO inaitwa