Series (Special thread)

Series (Special thread)

Bado episode 1 tu FROM iende break hadi season ijayo yena.

Ndio series pekee ambayo huwa naangalia huku nacheki muda maana kama huwa inaisha haraka sana.
 
FROM hata ingekuwa ina runtime ya masaa mawili naangalia na bado nitaona imeisha haraka. Harold Perrineau ( Boyd ) apewe tuzo aisee jamaa alichanganyikiwa wakati ile damu ya mzee Martin ipo mwilini mwake dah.
Keny na mama yake ikabidi waache kumkasirikia waanze kumuhurumia.
 
FROM hata ingekuwa ina runtime ya masaa mawili naangalia na bado nitaona imeisha haraka. Harold Perrineau ( Boyd ) apewe tuzo aisee jamaa alichanganyikiwa wakati ile damu ya mzee Martin ipo mwilini mwake dah.
Keny na mama yake ikabidi waache kumkasirikia waanze kumuhurumia.
Mkuu kuna yule mshikaji mmoja mawenge sana...!!! Jina limenitoka kidogo ila nae sio poa kaitendea haki sana hii series
 
Sisi wengine mwendo wa kobe ndiyo tunamalizia Season 1. Ila Donna nimemkubali sana yule bi. mkubwa
Dah kama upo ssn 1 basi sikuspoilie, maana ssn 2 ndio balaa zaidi, kuna balaa jipya limekuja linawafata hadi kwenye ndoto, kishakufa mmoja kwenye ndoto kwa hiyo sasa hivi hakuna kulala,

Doh! Spoiler
 
Bado episode 1 tu FROM iende break hadi season ijayo yena.

Ndio series pekee ambayo huwa naangalia huku nacheki muda maana kama huwa inaisha haraka sana.
Upo kama mimi, hua naona inaisha haraka sana kama ep 9 jamani naona maandishi i was like WTH!! Ndio hivyo tena tusubiri next week 🥲
 
Upo kama mimi, hua naona inaisha haraka sana kama ep 9 jamani naona maandishi i was like WTH!! Ndio hivyo tena tusubiri next week 🥲
Nimeicheki episode ya 9 mpk nimepata wenge jamaa Yako mwenye wenge kaliwa na cicada's,cicada zinakula watu kuna ndoto kuhusu mtoto,watu wanakufa ndotoni aloo
 
Inahusiana na nini?
Nilivyo sio mzuri wa kuelezea sasa
Yaan ni Mazombie lakini Mazombie yao sio Virus ni Fungas, kwa hiyo mji wote unapata hilo janga, waliopona waliwekwa sehemu ili wasiambukizwe,
Sasa kuna binti anaitwa Ellie yeye damu yake inasadikika ni cure wa hiyo fungas maana aling'atwa hakubadilika kwa hiyo jamaa anaitwa Joel anapewa kazi ya kumpeleka kwenye military hospital ili binti achukuliwe sample, hadi kufika hapo sio route ndogo ni purukushani nyingi wanazipitia hatimae wanafika na kugundua kumbe binti anatakiwa afe, yule mzee anakataa kukubali hiyo kitu anamtorosha na kuua wanajeshi wote..... Tunasubiri ssn 2 tujue hatma yao.
 
Nimeicheki episode ya 9 mpk nimepata wenge jamaa Yako mwenye wenge kaliwa na cicada's,cicada zinakula watu kuna ndoto kuhusu mtoto,watu wanakufa ndotoni aloo
Nilifurahi alivyoliwa alikua ananikera sana mtu gani anaambiwa haelewi,
Halafu hiyo supernatural mpya inaonesha ni very poweful hadi vile vi night creatures vinaogopa.
 
Nilivyo sio mzuri wa kuelezea sasa
Yaan ni Mazombie lakini Mazombie yao sio Virus ni Fungas, kwa hiyo mji wote unapata hilo janga, waliopona waliwekwa sehemu ili wasiambukizwe,
Sasa kuna binti anaitwa Ellie yeye damu yake inasadikika ni cure wa hiyo fungas maana aling'atwa hakubadilika kwa hiyo jamaa anaitwa Joel anapewa kazi ya kumpeleka kwenye military hospital ili binti achukuliwe sample, hadi kufika hapo sio route ndogo ni purukushani nyingi wanazipitia hatimae wanafika na kugundua kumbe binti anatakiwa afe, yule mzee anakataa kukubali hiyo kitu anamtorosha na kuua wanajeshi wote..... Tunasubiri ssn 2 hatma yao.
Kuna Kule njiani asee, kulikuwa ni noma
 
Nilivyo sio mzuri wa kuelezea sasa
Yaan ni Mazombie lakini Mazombie yao sio Virus ni Fungas, kwa hiyo mji wote unapata hilo janga, waliopona waliwekwa sehemu ili wasiambukizwe,
Sasa kuna binti anaitwa Ellie yeye damu yake inasadikika ni cure wa hiyo fungas maana aling'atwa hakubadilika kwa hiyo jamaa anaitwa Joel anapewa kazi ya kumpeleka kwenye military hospital ili binti achukuliwe sample, hadi kufika hapo sio route ndogo ni purukushani nyingi wanazipitia hatimae wanafika na kugundua kumbe binti anatakiwa afe, yule mzee anakataa kukubali hiyo kitu anamtorosha na kuua wanajeshi wote..... Tunasubiri ssn 2 tujue hatma yao.
Sipendi movie za mazombie ila kwa namna ya story yake ulivyonielezea inaelekea ni nzuri nitaitafuta shukrani sana
 
Sipendi movie za mazombie ila kwa namna ya story yake ulivyonielezea inaelekea ni nzuri nitaitafuta shukrani sana
Hutojutia na hayo mazombie hayajawekwa kiviile, zaidi story imebase kwa Ellie na Joel mwanzo walikua wanachukiana baadae wakatengeneza bound ya Baba na Mtoto maana Ellie alimpoteza Mama na Joel alimpoteza Binti yake, wanavyosaidiana, misuko suko humo safarini, wanavyopiga story, ni nzuri sanaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom