Series (Special thread)

Series (Special thread)

Torrent Gani unatumia maana kwangu nyingi naona zinazingua
Natumia Thepiratebay, Torrentgalaxy, 1337x hizi sites 3 sijawahi kosa mzigo...Pia in addition natumia telegram...

Wengi wanapata shida ku download TORRENTS hasa kwa kutumia hizi TORRENT CLIENTS sijui BiTorrent, Fluid, uTorrent na nyingnezo... Mimi leo nawapa shortcut ya kudownload kwa IDM ya PC, Just tafuta Torrent file ako yenye SEEDERS wengi kulko LEECHERS hii sote tunajua ili Torrent iweze kudownloadika kwa uharaka zaidi lazima namba ya SE iwe kubwa kuliko LE. Yaani kwa lugha rahisi namba ya wanaoi share hiyo file (SEEDERS) LAZIMA iwe kubwa kuliko wanao ifikia/download (LEECHERS)....

Haya ukishafanya machaguzi yako ipi inakufaa copy link ya MAGNET link ya hiyo TORRENT then njoo upaste kwenye site ya webtor.io then itaload kwa secs kadhaa hii inategemeana na kasi ya mtandao wako baada ya hapo utaona sehemu imeandika download, itafanya miracles by then IDM ita pick na ku pop-up link ikiwa tayari kudownloadika kwa IDM.. Ukiona mapicha picha webtor inaload load bila mpangilio au ina suck just use VPN... Ndiyo njia natumia kila siku nashusha hata 15GB za movies kwa TORRENTS na hii njia.

Kudownload TORRENT kwa simu haina ugumu hata, Tumia app ya 1DM+ hii app ni amaizing inafanya kazi kama IDM ya PC uzuri ina download hadi TORRENTS vizuri kabisa huitaji kuweka app ya ziada, kama wewe ni mtundu wa kudadisi apps na simu unaweza ichokonoa kuongeza download speed.. Ina speed sana kwa kudownload file yoyote..
 
Natumia Thepiratebay, Torrentgalaxy, 1337x hizi sites 3 sijawahi kosa mzigo...Pia in addition natumia telegram...

Wengi wanapata shida ku download TORRENTS hasa kwa kutumia hizi TORRENT CLIENTS sijui BiTorrent, Fluid, uTorrent na nyingnezo... Mimi leo nawapa shortcut ya kudownload kwa IDM ya PC, Just tafuta Torrent file ako yenye SEEDERS wengi kulko LEECHERS hii sote tunajua ili Torrent iweze kudownloadika kwa uharaka zaidi lazima namba ya SE iwe kubwa kuliko LE. Yaani kwa lugha rahisi namba ya wanaoi share hiyo file (SEEDERS) LAZIMA iwe kubwa kuliko wanao ifikia/download (LEECHERS)....

Haya ukishafanya machaguzi yako ipi inakufaa copy link ya MAGNET link ya hiyo TORRENT then njoo upaste kwenye site ya webtor.io then itaload kwa secs kadhaa hii inategemeana na kasi ya mtandao wako baada ya hapo utaona sehemu imeandika download, itafanya miracles by then IDM ita pick na ku pop-up link ikiwa tayari kudownloadika kwa IDM.. Ukiona mapicha picha webtor inaload load bila mpangilio au ina suck just use VPN... Ndiyo njia natumia kila siku nashusha hata 15GB za movies kwa TORRENTS na hii njia.

Kudownload TORRENT kwa simu haina ugumu hata, Tumia app ya 1DM+ hii app ni amaizing inafanya kazi kama IDM ya PC uzuri ina download hadi TORRENTS vizuri kabisa huitaji kuweka app ya ziada, kama wewe ni mtundu wa kudadisi apps na simu unaweza ichokonoa kuongeza download speed.. Ina speed sana kwa kudownload file yoyote..
Duuh process ndefu sana,

Telegram ni mkombozi wangu
 
Duuh process ndefu sana,

Telegram ni mkombozi wangu

Umesoma maelezo nmechambua vitu vingi vingi ndo ukaona kama process ni ndefu but ni mambo ya ku copy na paste link tu hakuna cha process ndefu hapo.. Thus why unaweza amua kutumia telegram pia..
 
Mlioangalia Better Call Saul, mbona nipo season ya mwisho na mpaka sasa episode ya 10 hii sijawaona Walter White na Jesse Pinkman?
 
kwangu hizi ni moja filamu series za kizungu ambazo nimetazama na kunivutia

Merlin
prison break
seaker
game of thones
the walking dead
into the badland
SEE
Lord of yhe Rings
The Whitcher

na baadhi sizikumbuki ila hizo ndio bora wangu
 
kwangu hizi ni moja filamu series za kizungu ambazo nimetazama na kunivutia

Merlin
prison break
seaker
game of thones
the walking dead
into the badland
SEE
Lord of yhe Rings
The Whitcher

na baadhi sizikumbuki ila hizo ndio bora wangu
Prison Break haitachuja kamwe...Movie ya akili sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom