Baharia mweuc
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 654
- 769
NdioNi ep 5 tu basi?
NdioNi ep 5 tu basi?
Duuuh! Uko sijaingia kitambo niliachaga baana ya kuona quality mbovuMkuu hapatikn O2TvSeries.Com?????
sio Tokyo. Ni Nairobi.Alichapwa gun makini sana, sidhan km alisurvive...
Mkuuu ssa unatumia app gani kushusha kwa njia ya simu sie tunaotumia cm? Msaaada brother plzzzDuuuh! Uko sijaingia kitambo niliachaga baana ya kuona quality mbovu
View attachment 1904290
Narudi tena kuwakumbushaa hii kazi ni hatari sanaa
Kamaa unapenda series za madawa ya kulevya utaipenda na hii
Kama ulipenda Breaking bad , power na zinginezo hutoacha kuipenda hii jamaa anatumia akili sanaa
Ule uvumilivu wa series ya See season 2 umefikia tamati tayari na leo s02E01 ishatoka tayari
View attachment 1910930
Dunia hii ya Sasa iliangamizwa, kikaja kizazi ambacho walikuwa wote vipofu, isipokuwa wachache waliobarikiwa walikuwa wanaona, wale wanaoona walichukuliwa kama wachawi. Hivyo walikuwa wanauawa. Lakini waanaoona Ndio wakombozi wa hao vipofu hivyo lazima walindwe Sana Ili wasiuawe. Ni series nzuri Sana.Hii SEE imekaa vipi? Maelezo kidogo tafadhali.
Dunia hii ya Sasa iliangamizwa, kikaja kizazi ambacho walikuwa wote vipofu, isipokuwa wachache waliobarikiwa walikuwa wanaona, wale wanaoona walichukuliwa kama wachawi. Hivyo walikuwa wanauawa. Lakini waanaoona Ndio wakombozi wa hao vipofu hivyo lazima walindwe Sana Ili wasiuawe. Ni series nzuri Sana.
Mkuu naomba link ya telegram

Anhaa ipo hivi katika karne ya 21 vinatokea virus ambavyo vinaua binadamu wote isipokuwa watu million 2 tu ndio wanabaki na wanakosa uwezo wa kuona na wanakuwa sehemu mbalimbali au vijiji tofauti tofauti ila wanaishi vizuri huku wakiwa hawaoni sema sasa siku moja anakuja mwanamke anatoroka kutoka eneo au jamii nyingine anakuja kwenye kijiji cha Jason Momoa humu anajulikana kama baba Voss. Ubaya baba Voss hana uwezo wa kumpa mimba mwanamke so anamuoa huyo dada ambaye anakuja kwenye iko kijiji alikuwa tayari na ujauzito wa miezi tatu wa mwanaume ambaye anaona anaitwa Jerlamarel. Sasa kuna kijiji kingine cha malkia ambaye anamtafuta huyo Jerlamarel na anasikia kuna watoto wamezaliwa wanaona katika kijiji cha baba Voss. So wanawindwa hao watoto na baba Voss anatakiwa awalinde hao na jamii ya watu wake.Hii SEE imekaa vipi? Maelezo kidogo tafadhali.
Hahaha poa mkuu hii hapa Money HeistMkuu naomba link ya telegram
Its not over until its over...![]()
Anhaa ipo hivi katika karne ya 21 vinatokea virus ambavyo vinaua binadamu wote isipokuwa watu million 2 tu ndio wanabaki na wanakosa uwezo wa kuona na wanakuwa sehemu mbalimbali au vijiji tofauti tofauti ila wanaishi vizuri huku wakiwa hawaoni sema sasa siku moja anakuja mwanamke anatoroka kutoka eneo au jamii nyingine anakuja kwenye kijiji cha Jason Momoa humu anajulikana kama baba Voss. Ubaya baba Voss hana uwezo wa kumpa mimba mwanamke so anamuoa huyo dada ambaye anakuja kwenye iko kijiji alikuwa tayari na ujauzito wa miezi tatu wa mwanaume ambaye anaona anaitwa Jerlamarel. Sasa kuna kijiji kingine cha malkia ambaye anamtafuta huyo Jerlamarel na anasikia kuna watoto wamezaliwa wanaona katika kijiji cha baba Voss. So wanawindwa hao watoto na baba Voss anatakiwa awalinde hao na jamii ya watu wake.
Namzungumzia sean wallace wa Gangs of london.
Mkuuu Baharia mweuc nikitaka ku download series za Philippines je naweza tumia app gani?
Izo sijui mkuuMkuuu Baharia mweuc nikitaka ku download series za Philippines je naweza tumia app gani?
Mkuuu Torrent naipata kwa play store au naiapata wap? Mkuuu msaaada wakoI
Izo sijui mkuu