Humo ndani unapata kujua harakati za Malcolm X na mshikaji wake Mohammed Alli... Mzigo umetulia sanaView attachment 1904290
Narudi tena kuwakumbushaa hii kazi ni hatari sanaa
Kamaa unapenda series za madawa ya kulevya utaipenda na hii
Kama ulipenda Breaking bad , power na zinginezo hutoacha kuipenda hii jamaa anatumia akili sanaa
nimeiangalia mpaka episode 4, huyo mzee ni mafia aliyepitiliza.Humo ndani unapata kujua harakati za Malcolm X na mshikaji wake Mohammed Alli... Mzigo umetulia sana
Ujue iyo series niliangalia episode moja tu nikaachana nayo nikasema ngoja nitaicheck nikakaa kama miezi 4 hivi nikaja kucheck aiseee nikabidi nimgoogle huyo jamaa sura yake maana alikuwa gangster mwenye akili nyingi sana enzi za uhai wakeHumo ndani unapata kujua harakati za Malcolm X na mshikaji wake Mohammed Alli... Mzigo umetulia sana
Check na hii link bronimeiangalia mpaka episode 4, huyo mzee ni mafia aliyepitiliza.
kuna mzigo wa yellowstone kuna mdau aliusifia sana humu ndani, nilibahatika kuiangalia lakini nikakutana na majanga ya kuganda ovyo kwa videos hatimaye nikaisamehe (kana msaada wa link ya uhakika nakaribisha msaada)
usisahau kunishushia list ya series nyengine utakapopata nafasi
Hahah ulifanya kama mimi mzee, mwanzoni nilikuwa naichukulia poa sana, ila baadae nimeipa heshima, bonge moja la mzigo wa kimafia, Bumpy mwenyewe original alikuwa mafia sana, nilipitia makala yake moja YoutubeUjue iyo series niliangalia episode moja tu nikaachana nayo nikasema ngoja nitaicheck nikakaa kama miezi 4 hivi nikaja kucheck aiseee nikabidi nimgoogle huyo jamaa sura yake maana alikuwa gangster mwenye akili nyingi sana enzi za uhai wake
Kuna series nyingine ni mpya Inaitwa Hit and Run, ni yule mshikaji wa series ya Fauda,, imetulia unaweza kwenda nayo pia na hii Sneaky Pete,Icenimeiangalia mpaka episode 4, huyo mzee ni mafia aliyepitiliza.
kuna mzigo wa yellowstone kuna mdau aliusifia sana humu ndani, nilibahatika kuiangalia lakini nikakutana na majanga ya kuganda ovyo kwa videos hatimaye nikaisamehe (kana msaada wa link ya uhakika nakaribisha msaada)
usisahau kunishushia list ya series nyengine utakapopata nafasi
ngoja niziweke pendingKuna series nyingine ni mpya Inaitwa Hit and Run, ni yule mshikaji wa series ya Fauda,, imetulia unaweza kwenda nayo pia na hii Sneaky Pete,Ice
Mimi nasubiri mzigo utimie episodes zote 10 niushusheHahah ulifanya kama mimi mzee, mwanzoni nilikuwa naichukulia poa sana, ila baadae nimeipa heshima, bonge moja la mzigo wa kimafia, Bumpy mwenyewe original alikuwa mafia sana, nilipitia makala yake moja Youtube
Sasa hivi nipo nayo season 2,imechangamka sana mzee
Sneaky Pete hivi ni nzuri? Mbona kama imejaa comedy tu.. niliangalia episode mbili nikaacha.Kuna series nyingine ni mpya Inaitwa Hit and Run, ni yule mshikaji wa series ya Fauda,, imetulia unaweza kwenda nayo pia na hii Sneaky Pete,Ice
Mi mwenyewe nimeangalia episode 2 nikaachana nayo, ebu ngoja niicheki tenaUjue iyo series niliangalia episode moja tu nikaachana nayo nikasema ngoja nitaicheck nikakaa kama miezi 4 hivi nikaja kucheck aiseee nikabidi nimgoogle huyo jamaa sura yake maana alikuwa gangster mwenye akili nyingi sana enzi za uhai wake
Hahahaha inakatisha tamaa mwanzo ila ukitulia inakutekaMi mwenyewe nimeangalia episode 2 nikaachana nayo, ebu ngoja niicheki tena
Sneaky Pete iko poa Mkuu, hata hii hit n run nayo ni nzuriSneaky Pete hivi ni nzuri? Mbona kama imejaa comedy tu.. niliangalia episode mbili nikaacha.
Hiyo hit & run nayo imenishinda kuimaliza.
Ngoja nitulie nizichekiSneaky Pete iko poa Mkuu, hata hii hit n run nayo ni nzuri