Series (Special thread)

Series (Special thread)

series nazopendaga kuangalia zinahusu magenge ya uhalifu, umafia, madawa, n.k

hizi ni series ambazo nazikubali mno, yaani hazikuniboa, zilinifanya niwe hooked vibaya mno. (chini kuna list ya zilizoniboa )

  1. BREAKING BAD
  2. NARCOS (toleo la pablo na toleo la mexico)
  3. SNOWFALL
  4. GODFATHER OF HARLEM
  5. LA CASA DE PAPEL (Mobey heist)
  6. PEAKY BLINDERS
  7. GOMMORAH
  8. THE OZARKS
  9. MC MAFIA
  10. POWER (tolea la mwanzo, toleo la book ii na book iii)
  11. EL CHAPO
  12. TOP BOY
  13. BAD BLOOD
  14. ANIMAL KINGDOM
  15. YELLOW STONE
  16. BANSHEE
Za ziada, ni kali ila siwezi kuzichanganya na hizo mashine za juu
  1. Gangs of london
  2. Sons of anarchy

Hizi nlizicheki ila hazikunipa mzuka

-Queen of the south (kwa maoni yangu hii series biashara ya madawa wameifanya ionekane lelemama ambayo hata mdada mweny roho nyepesi anakuwa don)

- Just call saul (iko poa sema iliniboa tu, ni kama series ya ziada ya maisha ya mwanasheia wa breaking bad)

- (ni nzuri lakini kwa visu nliyoweka hapo juu haiwezi kulingana nazo)

- The wire (ni series nzuri ila imekaa kizamani, )

-The sopranos (story ndefu sana, yani hadi jambo litokee wana complicate sana, hata sikumaliza)

- Lily hammer (hii ni naona kuna vi comedy flani, haipo serious kwenye uhalifu)

Series hizi sio za umafia kama nlizozitaja ila zina nafasi ya kipekee mno, ni kile kipindi nimeanza kucheki series, hizi series zilinibamba mno.

1.prison break - unasubiri nini kama bado hujaicheki??
2. 24 - jack baur siji kumsahau
3. lost - bonge moja la adventure.


kuhusu wakorea nmecheki series zao kibao tu nilizikubali iris, city hunter na jumong ii, wakorea nao wanajitahidi ila huwezi kuweka series zao kwenye midude niliyoweka huko juu labda kama unataka series za kuwapa dada zako huwa naona wanazikubali.
Homeland na The Americans hazipo?
 
Homeland na The Americans hazipo?
haziwezi kukidhi viwango vya list hio aisee 😂 😂 ninazo

1630615527120.png
 
series nazopendaga kuangalia zinahusu magenge ya uhalifu, umafia, madawa, n.k

hizi ni series ambazo nazikubali mno, yaani hazikuniboa, zilinifanya niwe hooked vibaya mno. (chini kuna list ya zilizoniboa )

  1. BREAKING BAD
  2. NARCOS (toleo la pablo na toleo la mexico)
  3. SNOWFALL
  4. GODFATHER OF HARLEM
  5. LA CASA DE PAPEL (Mobey heist)
  6. PEAKY BLINDERS
  7. GOMMORAH
  8. THE OZARKS
  9. MC MAFIA
  10. POWER (tolea la mwanzo, toleo la book ii na book iii)
  11. EL CHAPO
  12. TOP BOY
  13. BAD BLOOD
  14. ZERO ZERO ZERO
  15. ANIMAL KINGDOM
  16. BANSHEE
Za ziada, ni kali ila siwezi kuzichanganya na hizo mashine za juu
  1. Gangs of london
  2. Sons of anarchy
  3. Yellow stone

Hizi nlizicheki ila hazikunipa mzuka

-Queen of the south (kwa maoni yangu hii series biashara ya madawa wameifanya ionekane lelemama ambayo hata mdada mweny roho nyepesi anakuwa don)

- Just call saul (iko poa sema iliniboa tu, ni kama series ya ziada ya maisha ya mwanasheia wa breaking bad)

- (ni nzuri lakini kwa visu nliyoweka hapo juu haiwezi kulingana nazo)

- The wire (ni series nzuri ila imekaa kizamani, )

-The sopranos (story ndefu sana, yani hadi jambo litokee wana complicate sana, hata sikumaliza)

- Lily hammer (hii ni naona kuna vi comedy flani, haipo serious kwenye uhalifu)

Series hizi sio za umafia kama nlizozitaja ila zina nafasi ya kipekee mno, ni kile kipindi nimeanza kucheki series, hizi series zilinibamba mno.

1.prison break - unasubiri nini kama bado hujaicheki??
2. 24 - jack baur siji kumsahau
3. lost - bonge moja la adventure.


kuhusu wakorea nmecheki series zao kibao tu nilizikubali iris, city hunter na jumong ii, wakorea nao wanajitahidi ila huwezi kuweka series zao kwenye midude niliyoweka huko juu labda kama unataka series za kuwapa dada zako huwa naona wanazikubali.
Kama kwenye list yako hakuna Homeland, game of throne, basi ni list batili. Bado pia kuna nyingizo kali san hujaweka.
 
series nazopendaga kuangalia zinahusu magenge ya uhalifu, umafia, madawa, n.k

hizi ni series ambazo nazikubali mno, yaani hazikuniboa, zilinifanya niwe hooked vibaya mno. (chini kuna list ya zilizoniboa 😂 )

  1. BREAKING BAD
  2. NARCOS (toleo la pablo na toleo la mexico)
  3. SNOWFALL
  4. GODFATHER OF HARLEM
  5. LA CASA DE PAPEL (Mobey heist)
  6. PEAKY BLINDERS
  7. GOMMORAH
  8. THE OZARKS
  9. MC MAFIA
  10. POWER (tolea la mwanzo, toleo la book ii na book iii)
  11. EL CHAPO
  12. TOP BOY
  13. BAD BLOOD
  14. ZERO ZERO ZERO
  15. ANIMAL KINGDOM
  16. BANSHEE
Za ziada, ni kali ila siwezi kuzichanganya na hizo mashine za juu
  1. Gangs of london
  2. Sons of anarchy
  3. Yellow stone

Hizi nlizicheki ila hazikunipa mzuka

-Queen of the south (kwa maoni yangu hii series biashara ya madawa wameifanya ionekane lelemama ambayo hata mdada mweny roho nyepesi anakuwa don)

- Just call saul (iko poa sema iliniboa tu, ni kama series ya ziada ya maisha ya mwanasheia wa breaking bad)

- (ni nzuri lakini kwa visu nliyoweka hapo juu haiwezi kulingana nazo)

- The wire (ni series nzuri ila imekaa kizamani, )

-The sopranos (story ndefu sana, yani hadi jambo litokee wana complicate sana, hata sikumaliza)

- Lily hammer (hii ni naona kuna vi comedy flani, haipo serious kwenye uhalifu)

Series hizi sio za umafia kama nlizozitaja ila zina nafasi ya kipekee mno, ni kile kipindi nimeanza kucheki series, hizi series zilinibamba mno.

1.prison break - unasubiri nini kama bado hujaicheki??
2. 24 - jack baur siji kumsahau
3. lost - bonge moja la adventure.


kuhusu wakorea nmecheki series zao kibao tu nilizikubali iris, city hunter na jumong ii, wakorea nao wanajitahidi ila huwezi kuweka series zao kwenye midude niliyoweka huko juu 😂 😂 labda kama unataka series za kuwapa dada zako huwa naona wanazikubali.
Mkuu katika hizo series ulizozitaja kuna ambazo hazipatikani kabisa Netflix. Nazipataje??
 
series nazopendaga kuangalia zinahusu magenge ya uhalifu, umafia, madawa, n.k

hizi ni series ambazo nazikubali mno, yaani hazikuniboa, zilinifanya niwe hooked vibaya mno. (chini kuna list ya zilizoniboa )

  1. BREAKING BAD
  2. NARCOS (toleo la pablo na toleo la mexico)
  3. SNOWFALL
  4. GODFATHER OF HARLEM
  5. LA CASA DE PAPEL (Mobey heist)
  6. PEAKY BLINDERS
  7. GOMMORAH
  8. THE OZARKS
  9. MC MAFIA
  10. POWER (tolea la mwanzo, toleo la book ii na book iii)
  11. EL CHAPO
  12. TOP BOY
  13. BAD BLOOD
  14. ZERO ZERO ZERO
  15. ANIMAL KINGDOM
  16. BANSHEE
Za ziada, ni kali ila siwezi kuzichanganya na hizo mashine za juu
  1. Gangs of london
  2. Sons of anarchy
  3. Yellow stone

Hizi nlizicheki ila hazikunipa mzuka

-Queen of the south (kwa maoni yangu hii series biashara ya madawa wameifanya ionekane lelemama ambayo hata mdada mweny roho nyepesi anakuwa don)

- Just call saul (iko poa sema iliniboa tu, ni kama series ya ziada ya maisha ya mwanasheia wa breaking bad)

- (ni nzuri lakini kwa visu nliyoweka hapo juu haiwezi kulingana nazo)

- The wire (ni series nzuri ila imekaa kizamani, )

-The sopranos (story ndefu sana, yani hadi jambo litokee wana complicate sana, hata sikumaliza)

- Lily hammer (hii ni naona kuna vi comedy flani, haipo serious kwenye uhalifu)

Series hizi sio za umafia kama nlizozitaja ila zina nafasi ya kipekee mno, ni kile kipindi nimeanza kucheki series, hizi series zilinibamba mno.

1.prison break - unasubiri nini kama bado hujaicheki??
2. 24 - jack baur siji kumsahau
3. lost - bonge moja la adventure.


kuhusu wakorea nmecheki series zao kibao tu nilizikubali iris, city hunter na jumong ii, wakorea nao wanajitahidi ila huwezi kuweka series zao kwenye midude niliyoweka huko juu labda kama unataka series za kuwapa dada zako huwa naona wanazikubali.
List nzuri,zote nilizikubali...ongezea na;
SUBURRA
BERLIN STATION
FAUDA
THE BLACKLIST

Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom