Series (Special thread)

Series (Special thread)

Mshkaji mmoja aliingia France na dingi yake wakitokea Senegal. Dingi yake akawa chaffauer wa mzee mmoja hivi Don. Huyu mzee alikua anamiliki necklace flan yenye thamani ya mamilioni ya pesa, akajamframe dingi yake mshkaji Kama ameiiba, mzee akafungwa jela halafu kule jela akajinyonga Ila kabla alimwambia mwanae kwamba Hana hatia. 25yrs late kwamba Assane Bubakar Diop anatafuta justice kwa kile walimfanyia dingi yake. Jamaa Ni genius hatari
poa kaka ngoja ntaicheki
 
poa kaka ngoja ntaicheki
.
Screenshot_2021-01-15-11-30-47-33.jpg
 
Mshkaji mmoja aliingia France na dingi yake wakitokea Senegal. Dingi yake akawa chaffauer wa mzee mmoja hivi Don. Huyu mzee alikua anamiliki necklace flan yenye thamani ya mamilioni ya pesa, akajamframe dingi yake mshkaji Kama ameiiba, mzee akafungwa jela halafu kule jela akajinyonga Ila kabla alimwambia mwanae kwamba Hana hatia. 25yrs late kwamba Assane Bubakar Diop anatafuta justice kwa kile walimfanyia dingi yake. Jamaa Ni genius hatari
Inavutia na mm acha niicheki.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Last Kingdom kiukweli nmeshindwa kuielewa alieangalia yote anipe review kidogo.
Inahusiana na kuzaliwa kwa ufalme wa England. King Alfred of Wessex ana ndoto ya kuwa na kingdom moja itwayo England ambayo itaunganisha kingdom zote ambazo zinaongea kingereza na wana dini ya kikristo.

Kwa upande mwingine kuna hawa Danes ambao ni watu ambao hawajastarabika na hawana dini wala kingdom maalum. Wao ni wanahama hama kutafuta chakula na makazi. Katika utafutaji wa chakula na makazi ndio inasababisha mapigano ya hapa na pale kwasababu wanavamia kwenye vijiji ambavyo viko chini ya kingdom flani. Wao pia ni watu wa visasi, wakipigwa kwenye vita wanatudi kujipanga tena watarudi kupigana.

Kuna Kingdom ambazo hazitaka kabisa kuwa na hiyo one kingdom (England) chini ya watu wa Wessex wakiamini wenyewe ni powerful na wanajiweza.

Kwahiyo kwa kifupi inahusiana na vita vya ufalme kuweza kufikia one great kingdom England. Ni mzuri ukitulia kuingalia. Kwasababu haishi matukio.
 
Halafu kuna chuma kinaitwa the Widow ..inazungumzia mwanamke mmoja kutoka Scotland anaenda kumtafuta mumewe Congo uko anakutana na kisanga ..kumbe mwishowe anakuja kugundua mumewe kaoa toto la kitutsi dah...anarudi kwao Scot kwa uchungu mzito aise ..ila ni bonge ya series ..huko kuna unyama wa kutosha mzee..

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Tamu sana hii,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom