OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,931
- 25,245
Wanataka kufanya tuone ni hali ya kawaida tu, halaf unakuta character za hivyo anapewa mtu mweusi, inaboa sana!!Sijui wanaona raha gani kuweka hayo mambo!
Transcend au Treadstone?Hahaha Tafuta kitu cha Transcend hutojuta mkuu....ni mkono na nusu..
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Nimeicheki mpaka season 7Kuna yoyote humu kaangalia Marvel Agent of Shield..? Nimeipenda.
Ila kama hujaangalia muvi za Captain America na Ironman/Thor kiasi fulani itakuchanganya
Ya 2014?Hahaha Tafuta kitu cha Transcend hutojuta mkuu....ni mkono na nusu..
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Ni ya mwaka jana ni mashine ya kuotea mbali..Ya 2014?
Nimesearch tela yake sijaipata youtube naomba link
Kwa kupotezea muda sio kusema itafanya mapigo ya moyo yaende kasi kama ilivyokuwa 24 na prison break au hata hiyo ya gangs of londonNaomba recommendation ya blacklist nataka niishushe apa..
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Yeah yeah hiyo hiyo Mr Q nilikosea jina ..ni Treadstone..usikose hichi kigongo..nafuta pia ile series ya mermaids kali kinoma..Transcend au Treadstone?
Kama ni hiyo nimeshaitizama. Na irecomend kwa mwingine ambaye hajawaiYeah yeah hiyo hiyo Mr Q nilikosea jina ..ni Treadstone..usikose hichi kigongo..nafuta pia ile series ya mermaids kali kinoma..
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Aha umetisha cheki chuma mpya inaitwa zerozerozero ni balaa nusu hiiKama ni hiyo nimeshaitizama. Na irecomend kwa mwingine ambaye hajawai
Nataka inibambe siyo nipoteze Muda mkuuKwa kupotezea muda sio kusema itafanya mapigo ya moyo yaende kasi kama ilivyokuwa 24 na prison break au hata hiyo ya gangs of london





Nimeimaliza first season. Sikupenda dogo alivyo uwawa kwa kubamizwa kichwa sakafuniAha umetisha cheki chuma mpya inaitwa zerozerozero ni balaa nusu hii
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Ni mzuri kiasi chake inafundisha kuwa na connection mjini ambayo likitokea la kutokea unaweza kuitumia kutatua mambo yako mzee mzima vonnection zake zipo mpaka nje ya nvhi anayoishi
nafikir ni mojq ya movement mana sas hiv hakun series lqzim iwe na usagaj na ushoga yan in 20 yrs to come mtakuwa mnaona kawaida tuMovie za sasa nyingi zina ushoga.. Wewe angalia movie ushoga waachie wao...