Series (Special thread)

Series (Special thread)

.hahahaha mjomba umeangalia ad season ya ngap ile jiwe mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu hajui kiingereza wew unabishana nae wa nin mzee wakati kashazoea series za kuanza tu watu wanarusha mikuki na ngumi juu.
Check kipande iko cha The place is under new management (Peaky Blinders)

 

Attachments

  • VID-20200328-WA0328.mp4
    7.7 MB
started stranger things yesterday, finally o_o
glad to watch it after all the hype calmed down a little, you know
nice series i should say
finished season 1 in one go
 
started stranger things yesterday, finally o_o
glad to watch it after all the hype calmed down a little, you know
nice series i should say
finished season 1 in one go
kama umeipenda stranger things utaipenda na Dark season 1&2
 
Mtu hajui kiingereza wew unabishana nae wa nin mzee wakati kashazoea series za kuanza tu watu wanarusha mikuki na ngumi juu.
Check kipande iko cha The place is under new management (Peaky Blinders)

View attachment 1461660
Mkongwe.
Nimegundua mimi na wewe tunafanana katika aina ya series tunazozikubali, safi sana. Dark umeshaicheki?
 
Mkuu... Ozark ni hatari ile kitu,kuna siku uliiongelea hapa, nikasema Ozark imepoa, ukaniuliza imepoa kivipi? Mbona iko poa tu.... Juzi kati nmeanza nayo tena.. Sasa hivi nipo ya tatu... Yale mambo ya Kwenye Ozark ni uhalisia mtupu aisee... Ile familia ina balaa lake

Bonge la mzigo!!!
Link tafadhali mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom