Baharia mweuc
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 654
- 761
Mim naangalia kwa subtitles mzee na ukiishusha yenyewe ina subtitles tayari.Wanaongea English au mpaka subtitles? Maana nimejaribu kuchek info zake naona language ni Arabic & Hebrew.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mim napenda kusikia sauti za waigizaji wenyewe na sio za watu wengine