Series (Special thread)

Peaky Blinders ni kali kinoma mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mwenyewe nilishusha season 3 kwanza nikaanza na season 1 ile naangalia episode ya kwanza nikachoka nikaweka pending so nikatafuta siku nitulie niangalie vizuri aisee nikamaliza season 2 na leo nikikaa poa naimaliza ya s03 na kushusha s04 na s05
Watu wengi humu wakikwambia series imepoa waulize kwanini? Utaona anatoa sababu za kijinga na mtazamo wake yeye na sio mbaya ka yeye anavyomaanisha na pia nimegundua watu wanaangalia matukio ya series na sio mazungumzo na story nzima ya series
So kwangu mimi PEAKY BLINDERS ni moja ya series kali na napenda movements ya Tommy Shelby mule ana ndugu vilaza ila anawapanga hadi kua watu tishio waliowahi kutokea Uingereza miaka ya nyuma (Ni historian ya kweli)
 
Guys!!!
Hivi huwa mnatazamaje series!?
Mbona ukitazama kwa utulivu ni rahisi sana kujua kwanini jamaa hawakumtumia Gavana wa benki kujua ilipo Panic room.
Kama umetazama vizuri utaelewa kuwa Gavana ni mtu mwenye msimamo mkali, hayupo tayari kuwasaidia jamaa kukamilisha lengo lao (yaani yupo tayari hata kupoteza maisha), mara ya kwanza walijaribu kumuomba/kumlazimisha awasaidie kufungua "chemba" iliyokuwa na nyaraka za siri za Serikali lakini ilishindikana, tena ilibaki kidogo tu Gavana apoteze maisha.
Profesa alikuwa anajua kuwa Gavana hayuko tayari kuwapa ushirikiano, ndio maana aliamua kuumiza kichwa mwenyewe.

Kama series nyepesi kama hii inawashinda kuelewa, vipi mkitazama series ya Lost au series ya Westworld!?
Nadhani mtaishia njiani wazee!!!
West world naona wengi wanaisifia ila imenishinda ep1 kabisa,naona matukio yanajirudia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio mikuki ni mikikimikiki ile naona kama ipo kicomedy flan hiv yule mzee mda mwingine anazingua
Zile issue za drugs za kina Gustavo Frings na wenzake pamoja na DEA unazionaje? Ww mkuu labda unapenda kuona muda wote watu wanapigana na kukimbizana na stunts za ajabu ajabu. Breaking bad iko full package mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wew ni muangaliaji mzuri wa muvi ukisema breaking bad ni mbaya basi wew umeanza kufuatilia muvi juzi breaking bad inakuonesha matukio halisi ambay yanatokea kwenye maisha ya kila siku kaachini kwa makini alaf anza upya kuiangalia mpk mwisho
Sio mikuki ni mikikimikiki ile naona kama ipo kicomedy flan hiv yule mzee mda mwingine anazingua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo bado ujamtaja mtu kama gustavo muhuni muuaji alafu ukimuone kama mchungaji vile
Nakuomba sana endelea nayo kibishi lakini pia tazama kwa umakini..
Season 1umetambulishwa yafuatayo:
1. wahusika..mzee mwenyewe na kijana wake
2.wameanza kutengeneza madawa adimu Sana marekani (blue meth)
3.polisi wako makini wamegundua Kuna madawa aina mpya inayokubalika Sana marekani..wanaanza kutafuta mtandao wake..anayeongoza msako wa kimya kimya Ni shemeji mzee..(fatilia uone shemeji polisi anavyomsaka mme wa Dada yake bila kujua..pili mzee wa madawa atafanyajeje kumzima polisi-shemeji
4.umeanza kuona familia ikianza kuyumba kutokana na mwenendo wa mzee kujihusisha na wahuni..

Mbele Kuna mengi Sana huyu mzee alijikuta kwenye mtego mbaya Sana wa madawa (mauwaji..ubabe.kusakwa na polisi..kusakwa na wahuni hasa wa mexico..familia kuingia kwenye matatizo n.k

Endelea na breaking bad..ujifunze mambo mengi Sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo bado ujamtaja mtu kama gustavo muhuni muuaji alafu ukimuone kama mchungaji vile

Sent using Jamii Forums mobile app
Uyo atakua anapenda kuangalia series za kikorea picha linaanza mapanga tayari sa hataweza Breaking Bad.
Breaking Bad ni mission ya mwalimu wa kawaida wa chemist baada ya kugundua ana cancer so anapiga hesabu za kuwaachia familia yake pesa na ada za watoto hadi wanakua wakubwa so akiangalia anaona madawa ndo biashara ya kufikia malengo yake na pia inaendana na professional yake ila ubaya ni kwamba hana experience yoyote ya kufanya iyo buzness so atawezaje? Ndo hapo ilipopendwa Breaking bad na watu wengi na mzee kuzoa tuzo.

So katika kuangalia series jua kwanza series hii inahusu nini, uelewe maongezi yao na sio kuangalia matukio tu
 
Kama wew ni muangaliaji mzuri wa muvi ukisema breaking bad ni mbaya basi wew umeanza kufuatilia muvi juzi breaking bad inakuonesha matukio halisi ambay yanatokea kwenye maisha ya kila siku kaachini kwa makini alaf anza upya kuiangalia mpk mwisho

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nitake radhi nimeanza kuangalia movie toka miaka ya 90 sema movie kila mtu ana hobie yake wewe unaweza kuona nzur mwingine akaona mbaya mfano mimi nimefatilia POWER,na NARCOS mpaka mwisho lakin kuna jamaa yangu huwa nampa yeye kashindwa kuzimaliza.hata movie ni hivyo hivyo sema hii jins inavyo pewa prom sio kama ilivyo.
 
Kama wew ni muangaliaji mzuri wa muvi ukisema breaking bad ni mbaya basi wew umeanza kufuatilia muvi juzi breaking bad inakuonesha matukio halisi ambay yanatokea kwenye maisha ya kila siku kaachini kwa makini alaf anza upya kuiangalia mpk mwisho

Sent using Jamii Forums mobile app
Sema ngoja nifatlie na ya pili nikiona hovyo naachana nayo mimi nashusha mzigo mwenyewe siomb link sijui nini kwaiyo movie au series yoyote ikitajwa zaidi ya mara 4 nashusha naingalia.series bora kwangu kwa haya mambo ni NARCOS
 
Uyo atakua anapenda kuangalia series za kikorea picha linaanza mapanga tayari sa hataweza Breaking Bad.
Breaking Bad ni mission ya mwalimu wa kawaida wa chemist baada ya kugundua ana cancer so anapiga hesabu za kuwaachia familia yake pesa na ada za watoto hadi wanakua wakubwa so akiangalia anaona madawa ndo biashara ya kufikia malengo yake na pia inaendana na professional yake ila ubaya ni kwamba hana experience yoyote ya kufanya iyo buzness so atawezaje? Ndo hapo ilipopendwa Breaking bad na watu wengi na mzee kuzoa tuzo.

So katika kuangalia series jua kwanza series hii inahusu nini, uelewe maongezi yao na sio kuangalia matukio tu
Mkuu mimi sio mpenz wa series za kikorea nazo siziwezi ila hiyo series mnaipa sana promo kwa wazee wa movie tuiskia tunajua bonge la dude lakini bado ngoja niangalie season2 nisihukum mapema.na matukio hayana uhalis mfano pale alipofata hela zake alizozulumiwa dogo anachukua punje moja anaitupa inalipuka kama bom mpaka meza zinatokea dirishani halafu yeye anatoka mzima na walokuwemo.
 
Mimi mwenyewe nilishusha season 3 kwanza nikaanza na season 1 ile naangalia episode ya kwanza nikachoka nikaweka pending so nikatafuta siku nitulie niangalie vizuri aisee nikamaliza season 2 na leo nikikaa poa naimaliza ya s03 na kushusha s04 na s05
Watu wengi humu wakikwambia series imepoa waulize kwanini? Utaona anatoa sababu za kijinga na mtazamo wake yeye na sio mbaya ka yeye anavyomaanisha na pia nimegundua watu wanaangalia matukio ya series na sio mazungumzo na story nzima ya series
So kwangu mimi PEAKY BLINDERS ni moja ya series kali na napenda movements ya Tommy Shelby mule ana ndugu vilaza ila anawapanga hadi kua watu tishio waliowahi kutokea Uingereza miaka ya nyuma (Ni historian ya kweli)
Mkuu... Ozark ni hatari ile kitu,kuna siku uliiongelea hapa, nikasema Ozark imepoa, ukaniuliza imepoa kivipi? Mbona iko poa tu.... Juzi kati nmeanza nayo tena.. Sasa hivi nipo ya tatu... Yale mambo ya Kwenye Ozark ni uhalisia mtupu aisee... Ile familia ina balaa lake

Bonge la mzigo!!!
 
Mimi mwenyewe nilishusha season 3 kwanza nikaanza na season 1 ile naangalia episode ya kwanza nikachoka nikaweka pending so nikatafuta siku nitulie niangalie vizuri aisee nikamaliza season 2 na leo nikikaa poa naimaliza ya s03 na kushusha s04 na s05
Watu wengi humu wakikwambia series imepoa waulize kwanini? Utaona anatoa sababu za kijinga na mtazamo wake yeye na sio mbaya ka yeye anavyomaanisha na pia nimegundua watu wanaangalia matukio ya series na sio mazungumzo na story nzima ya series
So kwangu mimi PEAKY BLINDERS ni moja ya series kali na napenda movements ya Tommy Shelby mule ana ndugu vilaza ila anawapanga hadi kua watu tishio waliowahi kutokea Uingereza miaka ya nyuma (Ni historian ya kweli)
Peaky Blinders ni "kitu" mzee wa kazi. Ni moja kati ya TV Series kali kabisa nilizowahi kuzitazama.
 
Sema ngoja nifatlie na ya pili nikiona hovyo naachana nayo mimi nashusha mzigo mwenyewe siomb link sijui nini kwaiyo movie au series yoyote ikitajwa zaidi ya mara 4 nashusha naingalia.series bora kwangu kwa haya mambo ni NARCOS
Sasa mkuu, Narcos inaonesha zaidi harakati za wauza madawa wale drug kingpins ili waendelee kuuza mizigo yao na harakati za law enforcement agencies plus military kuzuia hayo yasiendelee. At some point inaelezea matukio ambayo yaliwahi tokea mfano yanayomhusu Pablo.
Lakini breaking bad ina cover mambo mengi, siyo drugs peke yake. Yaani usiangalie breaking bad ukitegemea kuona vurugu kama za drugs related shows. Ukifanikiwa kuimaliza unakaribishwa tuendelee na better call Saul. (hii sasa ndo imepoa lkn ni kali sana)

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom