Series (Special thread)

Series (Special thread)

Kwa sasa napata wakati mgum wa Ku download series,kipindi cha nyuma nilikuwa nashusha kwa PC kupitia limetorrent lkn sasa inagoma,msaada site ya kudownload series wadau

Sent using Jamii Forums mobile app

Pakua telegram kwenye pc yako then pitia hizo links nilizoweka hapo juu. Telegram ina downloading speed kubwa sana kuliko terent
 
Hii imekaaje wakuu??
Screenshot_20200412-213738.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kitu hata mm nimejiuliza, series inakua kama ya kikorea sasas

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu wameufanya upande wa serikali kuwa wa kiboya sana. Yaani vitengo vyote vya serikali hakuna hata mtu mmoja wa kum-challenge Proffesor?? Naikubali Money Heist ila hii season 4 ni kama wameishiwa story. Wamerudia yale yale ya season 1.Ila Gandia ndiye alieleta changamoto kidogo. Zaidi ya hapo sijaielewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu wameufanya upande wa serikali kuwa wa kiboya sana. Yaani vitengo vyote vya serikali hakuna hata mtu mmoja wa kum-challenge Proffesor?? Naikubali Money Heist ila hii season 4 ni kama wameishiwa story. Wamerudia yale yale ya season 1.Ila Gandia ndiye alieleta changamoto kidogo. Zaidi ya hapo sijaielewa

Sent using Jamii Forums mobile app
Netflix wanatabia ya kuua actors wazuri kwenye siries zao sijui kwanini, wameniuzi Sana walivyo muondoa Nairobi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Season 4 imekuwa ya kiboya sana ..
Mi mwenyewe Gandia kanifurahisha sana..
Halafu wameufanya upande wa serikali kuwa wa kiboya sana. Yaani vitengo vyote vya serikali hakuna hata mtu mmoja wa kum-challenge Proffesor?? Naikubali Money Heist ila hii season 4 ni kama wameishiwa story. Wamerudia yale yale ya season 1.Ila Gandia ndiye alieleta changamoto kidogo. Zaidi ya hapo sijaielewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimetafuta humu sikuona special thread kwa ajili ya series ila movies.

Kwa wale wapenzi wa series tujadili hapa series tulizoona na ilivutia,pia wengine ambao hatujui baadhi ya series tunaweza kupata hapa majina ya series mpya.

Kwa upande wangu hizi ni baadhi ya series nilizongalia na zimenifurahisha.

1.Leverage
2.Breaking bad
3.Prison break
4.Burn Notice
5.Lost
6.Revolution
7.How to make it in America
8.How I met your mother
9.Martin
10.Community
11.Walkind dead

Hizo ni baadhi tu..


UPDATES ZA SERIES TOFAUTI KUTOKA KWA WACHANGIAJI KWENYE THREAD.
New tv series nnazozipenda.

1.The last kingdom
2.Narcos
3.Quantico
4.blindspot
5.The bastard executioner
6.Limitless

7. Jessica Jones
8.The Returned
9.Tyrat
10.Power
Mkuu ivi prison break imefika season ya ngap?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom