kisana kiki
JF-Expert Member
- Dec 24, 2016
- 266
- 287
Nyingine ni Boru zitafuteni hizo, hamtajuta 








Kuna Series nyingine inaitwa Ozark, trust trust hatari![]()
The homeland![]()
Dogo hii sio sehem ya muzikiHarmonize feat Sarkodie - DM chick LYRICS
Poa poaDogo hii sio sehem ya muziki
Inahusu Nini mkuuKuna Series nyingine inaitwa Ozark, trust trust hatari![]()
Hivi billions ni nzuri?Homeland imeisha na utamu....Showtime wapo vzr sana kwny series hata ukiangalia Billions sio mchezo
Cha kike..Harmonize feat Sarkodie - DM chick LYRICS
Hivi billions ni nzuri?
Mkuu mimi niliishia ile proad ananyongwa, nilihisi ndio mwisho kwani imeendelea?? Je ile iliyoishia jack proad ananyongwa ni season ya ngapi?Pole sana, ile ya Berlin! Peter Quinn amekufa kwenye season ya 06.
S06
Uchaguzi umefanyika USA, amechaguliwa rais mwanamke Elizabeth Keane,Dar Adal na genge lake ndani ya CIA wanamchezesha kanabanzo huyu rais mteule kwa kutokukubaliana na sera zake, kitu ambacho baadae aliamua kuwafunga wote. Siku ya iliyopangwa kumuua huyu mama Carrier pamoja na Peter wanamtorosha kwenye gari kutoka hotel aliyokuwa anakaa maana alikuwa bado hajaapishwa, ndiyo ilikuwa siku ya mwisho kumwona Peter kwenye homeland.
S05
Baada ya Saul na timu yake kumuua yule double agent wa Russia Allison Carr aliyekuwa CIA station chief Berlin,aliyekuwa anatoroshwa kwenye gari kutoka Berlin kwenda Moscow, baada ya kupewa siri na (arch bishop) the head of Russia intelligence in Berlin station.
S07
Russia wamelipiza kwa kutengeneza machafuko ndani ya USA kama yale ya Ukraine kwa kutumia madhaifu ya rais Elizabeth Keane, Saul amegundua hilo na kumtafuta arch bishop ambaye alikuwa nje ya kampuni kutokana na ule msala wa kuvujisha zile nyaraka za Allison Carr.
Pata nafasi uitafute, hasa upate copy safi yenye picture quality 720 au 1080 full hd, bar watakusahau kwa muda.
The Americans pia imerudi, zile shughuli za KGB vs FBI miaka hiyo.
Daaah mkuu umeishia mbali sana, ile nadhani ni season three kama sikosei. Sasa huku mbele ndo Homeland ilikuja kuwa tamu, binafsi nilianza kuifadi kuanzia season four.Mkuu mimi niliishia ile proad ananyongwa, nilihisi ndio mwisho kwani imeendelea?? Je ile iliyoishia jack proad ananyongwa ni season ya ngapi?
Ebwanaeee, shukran mkuu, mm niliielewa sana na mpk prody ananyongwa nilijua ndio mwisho wa series kumbe vitu vimeshushwa zaidi ngoja niandae bando.Daaah mkuu umeishia mbali sana, ile nadhani ni season three kama sikosei. Sasa huku mbele ndo Homeland ilikuja kuwa tamu, binafsi nilianza kuifadi kuanzia season four.
Kule mwanzo kwa kina Sergeant Brody walikua wananiboa kimtindo.
Komaa nayo mkuu, imefika season 7.Ebwanaeee, shukran mkuu, mm niliielewa sana na mpk prody ananyongwa nilijua ndio mwisho wa series kumbe vitu vimeshushwa zaidi ngoja niandae bando.
Nmeiangalia nzuri...Hii 7 seconds nayo ni nzuri ukiamua kutulia nayo![]()
Mkuu mimi niliishia ile proad ananyongwa, nilihisi ndio mwisho kwani imeendelea?? Je ile iliyoishia jack proad ananyongwa ni season ya ngapi?
Natafuta mtu mmoja anipe homeland kuanzia season one mpaka mwisho +the american
Msaada wajameni