SDG
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 7,631
- 8,068
What I believe anachoigiza mmarekani kwenye movies na series ni part ya utendaji wa TAASISI ZAKE,Wale jamaa ni next level and hapo bado kuna confidential instruments za security unajua
What I believe anachoigiza mmarekani kwenye movies na series ni part ya utendaji wa TAASISI ZAKE,Wale jamaa ni next level and hapo bado kuna confidential instruments za security unajua
Mkuu nikitaka ku download kupitia PC nipe madirection basi.Pole Sana ndugu unakosa utamu huko mbeleni
Tumia 1337x.to au freshseries.netMkuu nikitaka ku download kupitia PC nipe madirection basi.
OkTiss(usalama wa taifa) huwa basic job Yao ni kumlinda rais wa JMT pamoja na kuhakikisha wanazuia mambo mabaya kabla hayajatokea(to prevent)vitu vibaya kabla havijatokea..(spy) kuspy vitu viovu..
Cia,fbi,seals,us marshals nk wenzetu wako na vyombo vingi sanaa vya usalama ambapo vpo ambavyo venyewe vinadeal na uchumi-kuhakikisha maadui hawaugusi na kuushusha kivyovyote...
But cia sio usalama wa taifa....
Usalama wao wa taifa ambao wanamlinda rais wanaitwa secret services as usual
Breaking bad is the best tv series of all time, jitose hautajutia.Hapana mkuu, vipi inavutia nijitose?
Usumbufu ulizidiKwann mase mlifunga pm??
Jitose aseee..inaanza kizeee ila mbele aseee ni motoHapana mkuu, vipi inavutia nijitose?
Hah unajua vjna wanavutiwa na avatar hzooo simchezoUsumbufu ulizidi
Poa nitaijaribuJitose aseee..inaanza kizeee ila mbele aseee ni moto
Sawa mkuu.Breaking bad is the best tv series of all time, jitose hautajutia.
Hah unajua vjna wanavutiwa na avatar hzooo simchezo
Na + espy ndo mnatamba humu jukwaani mostly
Afu nipe mrejeshoSawa mkuu.
Usijali, ngoja niishushe kwanza.Afu nipe mrejesho
Yeah iko freshwadau kuna yeyote anaeanbalia 'Valor' ? , ipo poa
Mi naiangalia ina story nzuriwadau kuna yeyote anaeanbalia 'Valor' ? , ipo poa