donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
Inafikia the boondocks?Ricky and morty 4 u wapenzi wa animations hutokuja kujilaumu
NB:;n katuni n ts so funny ila siyo ya kuangalia watt cz ya strong words
Inafikia the boondocks?Ricky and morty 4 u wapenzi wa animations hutokuja kujilaumu
NB:;n katuni n ts so funny ila siyo ya kuangalia watt cz ya strong words
Taken niliicheki s01e1,-4 nikaona ya kufikirika sanaaaa nikaona sio typ yangu....nikaachana nayo.Pakua Taken s01
Hiiiii ni inahusu nini??Hii hapa ndugu yangu inaitwa THE PUNISHER, imezalishwa na MARVEL nadhani unajuaga MARVEL mambo yao pia imetoka under NETFLIX so unapata episodes 13 zote ambazo ni complete season 1.
Hii series niliona juzi inatrend huko Twitter ndipo nikaipa concentration kidogo nimekuja kugundua sasa ni series Bora kabisa, hapo chini Kuna picha inaonyesha ratings zake zimematch na GAME OF THRONES na BREAKING BAD ya 9.5
![]()
Jamaa aliuliwa familia yake yote kilichofata mungu anajua humo, anakinukisha vibaya sana anafanya revenge.Hiiiii ni inahusu nini??
Ni kma games of throne???sio mpenzi??inaujasusi??my mood..
au ipo inahusu nn??nijuze mkuu
Inafikia the boondocks?[/QU
hii rick n morty iko so fun zaid ya boondoks +ina ratings nyingi sana tomatoInafikia the boondocks?
Ni moja kati mzigo niliokuwa nausubiri kwa hamu sana hatimaye upo hewani ngoja nimalizie kushusha hapa nitarudi na update baadaeHii hapa ndugu yangu inaitwa THE PUNISHER, imezalishwa na MARVEL nadhani unajuaga MARVEL mambo yao pia imetoka under NETFLIX so unapata episodes 13 zote ambazo ni complete season 1.
Hii series niliona juzi inatrend huko Twitter ndipo nikaipa concentration kidogo nimekuja kugundua sasa ni series Bora kabisa, hapo chini Kuna picha inaonyesha ratings zake zimematch na GAME OF THRONES na BREAKING BAD ya 9.5
![]()
Episodes guide: mnaona hapo chini episodes zina ratings za 9 out of 10,haya mambo hutokea kwenye GAME OF THRONES, STRANGER THINGS labda na HOUSE OF CARDS kwa series ambazo zinarushwa kwenye kizazi hiki nawashauri wote hii kitu ni tatizo itafteni alafu mtarudi na mrejesho hapa.
![]()

ina stahili 9.5.


Nomaaa sana dogo bonge la kipandee..Jamaa aliuliwa familia yake yote kilichofata mungu anajua humo, anakinukisha vibaya sana anafanya revenge.
Naweka msisitizo kinachofata baada ya kuuliwa familia yake ni Mungu anajua, itafte hiyo utarudi tuu hapa.
KEYWORD: MUNGU ANAJUA.
Pole Sana ndugu unakosa utamu huko mbeleniMan of Steel nmejaribu kuangalia the punisher s01e01 hata nusu sijafika ikaniboa...yaan naona jamaa siwaelewi kabisa....
Nmeona hapo Frank Castle (Punisher) Atakuwa Ni Yule Wa Kwenye DareDevil nini ???Hii hapa ndugu yangu inaitwa THE PUNISHER, imezalishwa na MARVEL nadhani unajuaga MARVEL mambo yao pia imetoka under NETFLIX so unapata episodes 13 zote ambazo ni complete season 1.
Hii series niliona juzi inatrend huko Twitter ndipo nikaipa concentration kidogo nimekuja kugundua sasa ni series Bora kabisa, hapo chini Kuna picha inaonyesha ratings zake zimematch na GAME OF THRONES na BREAKING BAD ya 9.5
![]()
Episodes guide: mnaona hapo chini episodes zina ratings za 9 out of 10,haya mambo hutokea kwenye GAME OF THRONES, STRANGER THINGS labda na HOUSE OF CARDS kwa series ambazo zinarushwa kwenye kizazi hiki nawashauri wote hii kitu ni tatizo itafteni alafu mtarudi na mrejesho hapa.
![]()
Yes. Story yake ilishaanza oneshwa kule.Nmeona hapo Frank Castle (Punisher) Atakuwa Ni Yule Wa Kwenye DareDevil nini ???
Taken n mpya au ya kitamboPakua Taken s01
Inapatikana 02tvseriesJamaa aliuliwa familia yake yote kilichofata mungu anajua humo, anakinukisha vibaya sana anafanya revenge.
Naweka msisitizo kinachofata baada ya kuuliwa familia yake ni Mungu anajua, itafte hiyo utarudi tuu hapa.
KEYWORD: MUNGU ANAJUA.
Mwanzo huoMan of Steel nmejaribu kuangalia the punisher s01e01 hata nusu sijafika ikaniboa...yaan naona jamaa siwaelewi kabisa....
Dah hii pole uliyonipa imeniingia sana nikaona ngoja nijikaze isiwe tabu....naona nmeanza kuelewa....ingawa bado sijawa impressed kivileee....acha niendelee kukomaa nayo.Pole Sana ndugu unakosa utamu huko mbeleni
Mbona ni nzuri na inaeleweka bila shida unajuwa hii Punisher ilikuwa ni movie ina part kama 3 sasa wameamua kutoa series kwahiyo story ni ileile haijabadilika.Dah hii pole uliyonipa imeniingia sana nikaona ngoja nijikaze isiwe tabu....naona nmeanza kuelewa....ingawa bado sijawa impressed kivileee....acha niendelee kukomaa nayo.
Mzigo upo vizuri tena sana hawajakosea kuipa rating kubwa hapa ndo napowakubali netflix kwangu ndo best channel kwa sasa![]()
Finally THE PUNISHER imetoka rates zake imdb ni 9.4/10.. usha ni soma uzuri? ina kimbizana na " THE GAME OF THRONES 9.5/10 na BREAKING BAD 9.5/10 " ambazo ndio series zinazo repotiwa kuwa series bora duniani Kuwai kutokea. Nime bahatika kuiona "BREAKING BAD" aiseeina stahili 9.5.
kwa wanao mjua vizuri JON BERNTHAL huyu jamaa ni moja ya actors ambao wako Furious sana, wenye hasira na asie penda ujinga ujinga .. one of my fabourite Action actors.
Kacheza kwenye DAREDEVIL,BABY DRIVER, WIND DRIVER, SHOT CALLER, THE GHOST, SICARIO, THE WOLF OF THE WALL STREET e.t.c
Ana kale ka style kake kakufuta kisogo na mkono... ukiona hivyo ujue kimenuka...
Top 3 ya actors wenye kutoa kipondo haswa HOLLYWOOD basi huyu siwezi kumuacha... bila kumsahau JASON STATHAM.
Hakikisha una ipakua hii Series in full 13 episodes zote imetoka jana chini ya MARVEL.
Nakushauri u download 720p HD au 1080p HD ili uweze ku enjoy huu mzigo.
![]()
![]()
![]()
Kipenzi changu, upo!!Kuna mindhunter netflix wameiachia complete season