pacesetter
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 255
- 306
yeah ingawa ni drama ,il ina story nzuriMi naiangalia ina story nzuri
yeah ingawa ni drama ,il ina story nzuriMi naiangalia ina story nzuri
tupo pamojaYeah iko fresh
Ni mpya..imesimama sanaTaken n mpya au ya kitambo
Unakosa uhondo mkuu..komaa nayoTaken niliicheki s01e1,-4 nikaona ya kufikirika sanaaaa nikaona sio typ yangu....nikaachana nayo.
Hv iko vzr??
The Punisher nimeikubali..marvel nawakubali sana.Hii hapa ndugu yangu inaitwa THE PUNISHER, imezalishwa na MARVEL nadhani unajuaga MARVEL mambo yao pia imetoka under NETFLIX so unapata episodes 13 zote ambazo ni complete season 1.
Hii series niliona juzi inatrend huko Twitter ndipo nikaipa concentration kidogo nimekuja kugundua sasa ni series Bora kabisa, hapo chini Kuna picha inaonyesha ratings zake zimematch na GAME OF THRONES na BREAKING BAD ya 9.5
![]()
Episodes guide: mnaona hapo chini episodes zina ratings za 9 out of 10,haya mambo hutokea kwenye GAME OF THRONES, STRANGER THINGS labda na HOUSE OF CARDS kwa series ambazo zinarushwa kwenye kizazi hiki nawashauri wote hii kitu ni tatizo itafteni alafu mtarudi na mrejesho hapa.
![]()
Mi nimeichek,ijaribu inaweza kuku convincewadau kuna yeyote anaeanbalia 'Valor' ? , ipo poa
Team Ivar !!Vikings season 5 returns Tomorrow
![]()
Nimeangalia. Nimeipenda ni nzuri.wadau kuna yeyote anaeanbalia 'Valor' ? , ipo poa
Hodi! Hodi! Wenyeji.
Naomba kukaribishwa rasmi. Walevi wakuu katika hiki kigenge ni nani? Kwa fasta fasta nimewaona man of steel na espy.
Karibu sana.Hodi! Hodi! Wenyeji.
Naomba kukaribishwa rasmi. Walevi wakuu katika hiki kigenge ni nani? Kwa fasta fasta nimewaona man of steel na espy.
Kati Ya Series Ambayo Kila Nikiangalia Huwa Natabasamu Na Sijajua Kwa Nini,Ilifikia Hatua Mpaka Niliimisi, Nilivyosikia Inarejea Tena Nikajikuta Natoa Tabasamu La Nguvu Yaaani, Kati Ya Series Ninazo Zikubari Sana Sana..Vikings season 5 returns Tomorrow
![]()
Uko Vizuri...Kumbe Huwa Unapitiaga Uku Tuko Wengi...Hodi! Hodi! Wenyeji.
Naomba kukaribishwa rasmi. Walevi wakuu katika hiki kigenge ni nani? Kwa fasta fasta nimewaona man of steel na espy.
Hahhahaaha! Mkuu hata nawe pia?Uko Vizuri...Kumbe Huwa Unapitiaga Uku Tuko Wengi...
Chige, kazi ya producer ni kuhakikisha anatengeneza script ya tukio huu ndo msingi mkuu wa maproducer wote,ndo maana nimekutolea mfano wa JJ Abram ambaye mm namkubali kuliko hata wale waliotengeneza 24 na Prison break maana ni km waliziotea zile na hawakuproduce series angalau zilizoendana na zile za awali.
Ukweli kabisa.. Waongozaji, waandishi ..na cinematographers wakibadilika..hasa waongozaji kunauwezekano filamu zikakua. Itabidi nijitose some day..tusijeonekana tunaongea tu.Mkuu chuma cha reli... hili la waigizaji hata mimi nimeshalisema mara kadhaa hapa jamvini... tatizo la msingi la filamu zetu ni kweli sio waigizaji. Tukiacha technical issues ambazo ni zipo juu ya uwezo wa wengi lakini tatizo la msingi... la kwanza ni story/script na pili ni directors. Na kama tutataka kwenda mbali zaidi kufahamu tatizo kuu ni nani hapo kati ya Director na Mwandishi, wala sitasita kusema kwamba tatizo kuu kati ya hao wawili ni mwandishi. Story ndie base ya filamu... nimekuwa nikisema hili mara kwa mara kwamba, ukishakuwa na stori mbaya basi hata ukichukua A-List Actors kutoka Hollywood bado filamu itakuwa mbaya tu kwa kuwa wao watacheza according to story! Kwenye movie kuna kitu kinaitwa Characterization... hii characterization ndiyo inamtofautisha kati ya msanii mmoja na mwingine! Tunapoangalia tabia zisizotabirika na maamuzi yenye utata ya Jack Baeur lakini yakiwa constant hii ni part of characterization. Hata hivyo muigizaji anaivaa characterization kama ilivyo kwenye stori... hapa kazi ya muigizaji ni kuuvaa uhusika huku Director akihakikisha kwamba Mwigizaji anauvaa uhusika lakini msingi wa yote hayo ni stori! Tunapoangalia movie huku tukiwa hatufahamu what will happen next ni kwavile stori yenyewe haiku-reveal nini kitatokea! Kazi ya muigizaji ni kuhakikisha kwamba hata kama sekunde kumi zijazo kuna kitu cha hatari kitatokea kwenye scene husika lakini asianze kuivaa hofu kama maandalizi ya tukio linalokuja hivi punde na Director anahakikisha kwamba Muigizaji anakuwa kwenye mood ya kawaida lakini msingi wa yote haya upo kwenye stori!
So, to make story short... kwa waigizaji hawa hawa tulionao endapo wanapata story bora na directors wanaoweza kufanya coordination kati ya story na waigizaji, basi unaweza kushangaa unapata filamu bora kabisa kwa kuangalia. Technical issues ni secondary problem lakini kama stori imesukwa vizuri na ikasukika... director akatengeneza coordination mzuri basi suala la technical issues wala huwezi kuliona! Isitoshe, technical issues/problems ni suala la kitaalamu zaidi ambalo mtazamaji wa kawaida wala hawezi kuligundua kama filamu inavutia! If you're above 25 years then I bet umeshawahi kuangalia movie kupitia VHS! Pamoja na kwamba quality ilikuwa very poor huku kunasa nasa ilikuwa ni jambo la kawaida lakini watu walikuwa wanakuwa excited na movie... unakuta mtu anakusimulia movie ya Rambo ya kwenye VHS kuliko unavyoweza kuisimulia Bongo Movie iliyo kwenye DVD!
Hii ilikuwa bonge la series alipokuwepo Ragnar RothbrokKati Ya Series Ambayo Kila Nikiangalia Huwa Natabasamu Na Sijajua Kwa Nini,Ilifikia Hatua Mpaka Niliimisi, Nilivyosikia Inarejea Tena Nikajikuta Natoa Tabasamu La Nguvu Yaaani, Kati Ya Series Ninazo Zikubari Sana Sana..