Mkuu kuna hii nafuatilia sasa inaitwa The Americans"Banshee.. My fav
Full intelligensia za kutosha kama homeland??Mkuu kuna hii nafuatilia sasa inaitwa The Americans"
Nikuhusu underground KGB spies in America.
Kama unapenda vitu hivyo utaenjoy mno .
Ipo kwenye "lightbox".
Homeland wame film kwenye nchi nyingi tofauti na pia Homeland ni ya miaka hii ya karibuni . Nikimaanisha kuanzia mwaka 2000.Full intelligensia za kutosha kama homeland??
Series za int. Zitakuja nyingi but none like 24, Jack Bauer himself. Nlikua napenda sana akipiga simu na kauli yake kuntu," CTU has been compromised.."Homeland wame film kwenye nchi nyingi tofauti na pia Homeland ni ya miaka hii ya karibuni . Nikimaanisha kuanzia mwaka 2000.
The Americans ni tofauti sababu is based in America and Russia only . Say that , I have only watch two seasons, labda seasons nyingine zitakuwa tofauti. Pia ni kuhusu KGB. KGB ilianzishwa 1950s. The American jinsi ilivyo tengenezwa ni kama vile mid 60s .
Kwa hiyo technology yao ilikuwa nyuma ukilingaisha na jinsi Homeland ilivyo tengenezwa.
... damn it Chloe..Series za int. Zitakuja nyingi but none like 24, Jack Bauer himself. Nlikua napenda sana akipiga simu na kauli yake kuntu," CTU has been compromised.."
Hahah damn it chloe, I need access to ctu servers but I dont have access... damn it Chloe..
The legendary jack in 24Hahah damn it chloe, I need access to ctu servers but I dont have access
Ila 24 was the best series I ever watched na huwa nairudia mara Kwa maraHahah damn it chloe, I need access to ctu servers but I dont have access
Kipindi hicho tunanunua Cd kufuatiliaIla 24 was the best series I ever watched na huwa nairudia mara Kwa mara
"...damn it, Lee has escaped! Sijaoma series la kitaalamu kama 24 hours! Jack na players walijipanga vzr kila season!!! Kuna siku niliangalia kuanzia saa 5 asubuhi mpaka saa 12 asubuhi kesho yake....Ila 24 was the best series I ever watched na huwa nairudia mara Kwa mara
Zile seeds sijui watazipataje tena? Halafu kifo cha yule dogo connor kimenisikisha sanaKitu cha last ship chazidi kunogaaaaa
Mi nataka niianze upya aisee kule ndio kuna intelejensia yenyeweIla 24 was the best series I ever watched na huwa nairudia mara Kwa mara
Mimi sijawahi choka kuangalia hii kitu ya 24 aiseee... huwa naangalia zingine nyingi lakini kwa 24 aisee nimenyoosha mikonoMi nataka niianze upya aisee kule ndio kuna intelejensia yenyewe
fafanua vizurii ...na bei gani?Wadau sasa najipanga nianze kucheck hiyo salvation Naona mmeisifia sana
Ila kuna good news nataka niwashilikishe hasa kwa wadau wanaotumia mtandao wa halotel mmeona hapo wadau
Hapa mwenzunu najipatia gb5 za internet kwa gharama nafuu kabisa na nimecheki movies na series za kutosha.
NB: unapata kwanza bando(ninahakikisha umepata kwanza bado) kisha unalipia