mzee alpha
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 711
- 264
Jamani empire season 4 kesho rasmi
Pm mkuu am interestedWadau sasa najipanga nianze kucheck hiyo salvation Naona mmeisifia sana
Ila kuna good news nataka niwashilikishe hasa kwa wadau wanaotumia mtandao wa halotel mmeona hapo wadau
Hapa mwenzunu najipatia gb5 za internet kwa gharama nafuu kabisa na nimecheki movies na series za kutosha.
NB: unapata kwanza bando(ninahakikisha umepata kwanza bado) kisha unalipia
Nimekupata mdau sasa mbali na gb5 za net utapata 600dk to halotel na 100dk to all network kwa siku 30(30 days) kwa tzsh 5000fafanua vizurii ...na bei gani?
Pm mkuu am interested
sawa mkuu...10000 je?0758477251 namba yangu waweza nipigia au waweza kunibip au kuntumia meseji
Hapo kikiisha unaongeza kingine mdausawa mkuu...10000 je?
Nakerwa na ushoga wake,niliamua kuiacha,naomba kujuzwa any series mpya ya masuala ya intelijensia design ya akina HomelandJamani empire season 4 kesho rasmi
Umecheki salvation??Nakerwa na ushoga wake,niliamua kuiacha,naomba kujuzwa any series mpya ya masuala ya intelijensia design ya akina Homeland
Duh, we hujaendelea, au sio fun wa mziki,, Empire for lifeNakerwa na ushoga wake,niliamua kuiacha,naomba kujuzwa any series mpya ya masuala ya intelijensia design ya akina Homeland
Serial number. . . .My name is Capt. TOM CHANDLER
Nimeendelea,nimeaingalia tangu inaanza na nyimbo zake nnaz,linapokuja suala la ushoga kwangu niDuh, we hujaendelea, au sio fun wa mziki,, Empire for life







DAH ILA HAPO DIRECTOR. Alizingua sana nataman jamal asingekuwemoNimeendelea,nimeaingalia tangu inaanza na nyimbo zake nnaz,linapokuja suala la ushoga kwangu ni
Wazungu wanatuchezea akili,kutuonesha scenes za ushoga ni kututeka kisaikolojia tuone kitu cha kawaida sana,ushoga ni jambo baya sana mbele za Mungu si wa kuu entertain![]()
Okee ngoja niishushe hiiKwa wale wapenda historia ya KGB na CIA angalieni The Assets ni nzuri sana ina Episods 8 tu
Series hii nzuri sanaNimeashusha leo episode one ya THE BRAVE ni nzur kwa wazee wa intelijensia
Kuna kitu kipya kinaitwa The Brave kimetoka leo niNakerwa na ushoga wake,niliamua kuiacha,naomba kujuzwa any series mpya ya masuala ya intelijensia design ya akina Homeland

Nnayo nimeishusha leo mchana bado sijaiangalia,ntaiangalia kesho in shaa AllahKuna kitu kipya kinaitwa The Brave kimetoka leo ni![]()
![]()
![]()
Nashukuru sijakosea,ntaendelea nayo sasaSeries hii nzuri sana
Hapana mkuu,naona kama ipo mbali sana.Umecheki salvation??