Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 33,624
- 40,189
Akiwa Bostwana pamoja na mama yake, Kijana mwana sayansi Jackon Oz anajaribu kutafuta solution kuhusu wanyama ku attack people. Sehemu zote ulimwenguni walipo wanyama pamoja na ndege wa Aina zote, kijana uyo anazunguka kila kona akiwa na rafiki yake Ibrahim Kenyata kutafuta solution..... Baadae wanafanikiwa kukutana na doctor wa viumbe Mitch Morgan na mwandishi wa habari miss Jamie Campbell na Chloe Tousign....Inahusu Nini??
Nimemaliza kuangalia "Narcos" Season 3. Baada ya kufa Pablo Escobar series haiwezi kuwa sawa na kabla ya kubwa la maadui lenyewe kufarikia.
Kama hujaiangalia itafute Season 1 and 2, inaonyesha maisha ya Colombia na biashara ya madawa ya kulevya enzi za Pablo Escobar.
Hiz znahusu nini mkuu nami nkaztafute maana spend kabsa za kkoreaWewe kuna muvi za kikorea ambazo ziko safi sana. Hebu jaribu kuangalia kitu kinaitwa Athena au IRIS, ni za kitambo ila ni balaa. tofauti na hapo labda tu useme wewe ni mvivu wa kusoma subtitles
Shukrani mkuu subiri nizijaribuHizo zipo nyingi sana labdanikupe za mwaka 2017
1. S.W.A.T under siege
2. Kidnap
3. Baby Driver
4. Instant Death
5. The Vault
6. Security - It's going to be a long night
mkuu zipo nyingi sana ila ziangalie hizo hapo juu kwa kuanzia
ilikua inasema ukweli wamezuga tuu. ilikua kama issue za irak hadi sadam wamemuua hamna nyuklia wala gesi ya sumu
Iibukie terrarium TV au o2tvseries Mzee baba.Hi!
Naomba site ya kudownload the last ship kutimia simu please!
Thanks
Big Jim,ilinifanya mpaka nikamsave mtu big Jimusikose na under the dom umuone big Jim
but season zilizoendelea sijazipenda nikaipiga chini after season 1 kuisha.Sana.Wakuu hii last ship hatari
Weka mbali na watoto iyo kitu inakuja kama GHOST hhhhPower
Power
Power
Yani season 1 hadi ya 4 ilotoka juzi sijawahi juta kuiangalia
si sisiemu si sidiem ila ni MKEREKETWA
Ishatoka, inaanza season 2 mwezi huu.

Banshee ni balaa.PERSON OF INTEREST
BANSHEE
ALLIAS
SHOOTER
Hizo zinakutosha mzee ni hatarii sana
Sent using Jamii Forums mobile app
