Asante Maserati....nimesoma hii comment nikaangalia kifua cha Avatar yako!!!! Joking!Kama unapenda mofo kibao zinatajwa huko. Na kwich kwich za kila dakika
NB:usiitazame na mtu unae muheshimu
Ha ha ha ha. Una makusudi wewe loh!!Asante Maserati....nimesoma hii comment nikaangalia kifua cha Avatar yako!!!! Joking!
I like actions na scenes zenye kutumia akili sana. If it lacks intelligence parties nitaiacha nisubirie Last Ship...huku nikiendelea kuifuga Queen of the North!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Makusudi kabisaaa
Makusudi kabisa hayo.
Ha ha haaa, ningesema kakitu!! Ila mmmh, hata PM napaogopa ati!!!Ha ha ha ha. Una makusudi wewe loh!!
Uyo manz ni mkali sana. Halafu anajua kinoma!Ooh, mimeshapata acha nimwangalie Raven
Duuuuuh!! Maybe itokee sina cha kuangalia nitaifikiria.
Ngoja nitakapokosa cha kuangalia, nitaifikiria.Nakushauri angalia japo episode 4 katka season ya 1...hutokuja kujuta.
Wakati unaianza, Breaking Bad inaweza kukuboa, especially episode ya kwanza! Hata hivyo, iki-take off, unless uwe allergic na series mzuri ndipo unaweza usiipende!kwahiyo unanishauri niendelee kuangalia?? as ndio nilianza jana nikaona sijaelewa halafu nikawa naiona kama ya kitambo hivi nikalala zangu...
GoT ina mapungufu yake kv too many characters kiasi kwamba wengine wanaweza kupotea kwenye episode zaidi ya moja kisha wanakuja kuibuka tena baadae kiasi kwamba unaweza ukasahau waliishia wakifanya nini! Hata mimi GoT awali ilinishinda lakini nilikuwa na kazi ambayo ilikuwa LAZIMA niiangalie! Hapo ndipo nilipokuja kufahamu kwamba kumbe nayo ni one of the best series hivi sasa!!!Poa. Yaani hiyo GOT yao mie aaaghaaaaaaa
Mkwe naomba nikukaribisheNiliiangalia na mtu na bado sikushawishika mkwe!! Labda wewe utanishawishi.
My name is Thomass Chandler, Commander, United States Navy Serial number 4242022634..Wakuu hii THE LAST SHIP nilikuwa naidharau nimeanza kuangalia najikuta nimemaliza season 1 sasa hivi nimeanza season ya 2..utamu wazidi kunoga..
Hutajutia my dear...!