gentlemanx
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 2,375
- 7,217
Hivi kuna TV show gani ambayo ni horror na tamu??
Hivi Kuna horror tamu kweli..... 😀😀😀😀Hivi kuna serious gani ambayo ni horror na tamu??
Ndio hapo sasa!!!Hivi Kuna horror tamu kweli..... 😀😀😀😀
Maana zile unakaa mguu pande pande flani.....Ndio hapo sasa!!!
Maana zile unakaa mguu pande pande flani.....
Yani inayotisha kweli kweli mkuuHivi Kuna horror tamu kweli..... 😀😀😀😀
Yani kitu ambacho ukiangalia hadi mwili unasisimkaNdio hapo sasa!!!
Sasa taabu yote ya nini!!!Yani kitu ambacho ukiangalia hadi mwili unasisimka
duuh mkuu kuna mtu unataka kumtisha niniYani kitu ambacho ukiangalia hadi mwili unasisimka
Ha ha ha ha..ilnikomesha saw. Mtoto Nina weweseka usiku,ikifika mchana saw kama kwa,usiku Nina weweseka na kuota na makelele kibao.![]()
![]()
![]()
![]()
Mie ndio hataaaa sina habari nazo.
sitosahau

Stranger thingsHivi kuna TV show gani ambayo ni horror na tamu??
Hapo nimeangalia sleep horror, the preacher,outcast,na penny dreadfully nazikubar,ngoja nikacheki hizo nyingineStranger things
Ash vs Evil Dead
Outcast
The Mist
Salem
Penny Dreadful
The Returned
The Whispers
Sleepy Hollow
Wayward Pines
Preacher
Brain Dead
Kazi kwako hapo mkuu.
Ha ha ha ha..ilnikomesha saw. Mtoto Nina weweseka usiku,ikifika mchana saw kama kwa,usiku Nina weweseka na kuota na makelele kibao.
Ikaja wrong turn,weeeeeee!!!!makelele usiku naota,mama akaona huu ujinga akahamisha deki peleka chumbani kwake. Nikaanza kwenda kutazama kwa watu,usiku na makelele yangu nilishitukia nabalaswa makofi![]()
![]()
![]()
sitosahau
Final destination sasa![]()
![]()
![]()
![]()
una balaa wewe, pamoja na kuweweseka bado tu ukazikomalia!!!American horror storyHivi kuna TV show gani ambayo ni horror na tamu??
Yaani mi kawaida mPaka kesho Nina tabia za kuzikomalia![]()
![]()
![]()
![]()
una balaa wewe, pamoja na kuweweseka bado tu ukazikomalia!!!
Sijawahi kuzipenda wala kuzitazama kwakweli. Mie na mambo ya kutisha tisha mbali mbali kabisaaaaa.
We basi tena!!!Yaani mi kawaida mPaka kesho Nina tabia za kuzikomalia
Ina jisave ndugu,angalia kwenye downloud list utazikuta,mm siwez kutumia kitu kingine cchte zaid ya terrerium tv jombaaa,yaan najichagulia tu HD moja na mb 300 au 400 safiii then naiweka kwa laptopWakuu kwanin niki download series hasa kupitia terrarium huwa haijisave kwenye simu? Maana natumia sim ..sasa kwa wanaotumia hii app naomben mnisaidie. Nime uninstall na ku install upya lakin bado iko vile vile.
Sent using Jamii Forums mobile app