Series (Special thread)

Series (Special thread)

Hello wadau. kwa Ambazo mim nimecheki zifuatazo zipogo kichwani mpaka kesho. Kama umeiskiaskia mojawapo na unajifkiria usisite.
1.Breaking bad
2.Game of thrones
3.Jumong
4.House of cards
5.Into the badlands
6.Shameless
7.13 reasons why
8.Peaky blinders
9.Taboo
10.Walking dead
11.Westworld
12.Power




Jay
1.GOT
2.WestWorld
3.Taboo
Mtu mwenye kucheki hizi ni Master haswa.
 
Haitokaa itokee, usi force unachokielewa wewe na mwingine akielewe. That's why wazungu wakaweka different genre, unadhani hawakujua kama zitatofautiana ladha??
Ndio hapo sasa,alafu GOT inapendwa na wanaume zaidi, sijui kwanini. Mie yaani walaaaa hata hainivutii!!
 
Ndio hapo sasa,alafu GOT inapendwa na wanaume zaidi, sijui kwanini. Mie yaani walaaaa hata hainivutii!!
Umeona hilo eeh. Yaani wanaume wanaipenda kweli. Halafu usipoipenda sasa wanavokuona wa ajabu.
Kwani genre ni moja tu jamani,kila mtu na favour yake.
 
Umeona hilo eeh. Yaani wanaume wanaipenda kweli. Halafu usipoipenda sasa wanavokuona wa ajabu.
Kwani genre ni moja tu jamani,kila mtu na favour yake.
Hii ni ile mtu anamsifia mtu wakeee alafu wewe huzioni hizo sifa kabisa, acha tu waipende ila mimi kwakweli hapana jamani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom