xav bero
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 5,133
- 7,352
WameicancelYa pili, ndio twangojea s3.
WameicancelYa pili, ndio twangojea s3.
Ooooh kumbe!!! Shukrani kwa taarifa.Wameicancel
Nimemaliza the last ship...Ooooh kumbe!!! Shukrani kwa taarifa.
Duh!!! Hapo kwenye genre ndio pamenichosha. Space, sizipendagi hizo.
Hata mm sipend sana mambo ya space ila story yake ni tam sanaDuh!!! Hapo kwenye genre ndio pamenichosha. Space, sizipendagi hizo.
Asante
Ehe lete habari, umeipenda?Nimemaliza the last ship...
Hatari
SanaEhe lete habari, umeipenda?
Mi hata zile movie za galaxy nini sijui, sijawahiHata mm sipend sana mambo ya space ila story yake ni tam sana
Kiukwel mm sijaangaliaga last ship,naisikia sikia kwenu tu,nipen dondoo kabla sijamaliza mb zangu bure,ina mambo ya kispy,mahuckers wpo,ni ya kiintelegensiaSana
Acha kabiaa.Kiukwel mm sijaangaliaga last ship,naisikia sikia kwenu tu,nipen dondoo kabla sijamaliza mb zangu bure,ina mambo ya kispy,mahuckers wpo,ni ya kiintelegensia
jitahidi cna asee uicheki ulikuwapi muda wote.cheki kutana na akili nyingi za captain chandler na dr bingwa SCOTTKiukwel mm sijaangaliaga last ship,naisikia sikia kwenu tu,nipen dondoo kabla sijamaliza mb zangu bure,ina mambo ya kispy,mahuckers wpo,ni ya kiintelegensia
Chandler, green, taylor na miller katoto ka mama. Master chief katika ubora wakejitahidi cna asee uicheki ulikuwapi muda wote.cheki kutana na akili nyingi za captain chandler na dr bingwa SCOTT
Kuna watu wamesema ni nzuri, lakini mimi sijaipenda kwa kweli. Movie zenye uongo mwingi usio wa kufikirika siuhitaji kabisa...Kuna mtu kaiona American Gods anijulishe kama ni nzuri au mbaya kabla sijaidownload.?
Natanguliza shukrani.

Season 3.Last ship ipo season ngp?
Acha niitafute shukranSeason 2 imetoka na kuisha, ila bahat mbaya ni kwamba wameifuta haitaendelea
Msije isifia kama lile li series la kipuuz kama six au shooter?? Maana ni moja ya series mbov kabsa kuangaliaSeason 3.
Season 1 eps 10
Season 2 eps 13 the same to season 3 as season 2
Nakushauri, download eps 3 za mwanzo, ikikuboa achana nayo.Msije isifia kama lile li series la kipuuz kama six au shooter?? Maana ni moja ya series mbov kabsa kuangalia