W umeishia season ya ngapihivi vikings itaendelea kweli au ndo imeisha.nimemkumbuka sana FLOKI a christian hater
Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
Jericho sijaichek,revolution sijaiona then missing hata siikumbuki vzr niambie kuhusu JerichoOdyssey, The Event, Jericho, The Missing, Revolution .... Ziliuma vibayaaaaas series kali sana afu chaaaaaa KA-TA
Kali kama the last ship??Babu six ya action kiviiile ila ni kali sana asee in story moja na matukio matata ambayo itakufanya usitake kuacha kuangalia kinachofata... Niliidharau Muda sana... Nimeanza nimestuka nipo season 4 ndani ya kama siku 10...
Six ipi?? Aseeh kwel nipoteze mb zngu kupakua six?Kali kama the last ship??
Mkuu naona last ship imekukamata vibaya!Kali kama the last ship??
Ni nzuri sana mkuu, ni nzuri saaaanaaa.Mkuu naona last ship imekukamata vibaya!
Angalia na queen of the south ipo poa piaNi nzuri sana mkuu, ni nzuri saaaanaaa.
Hapana maudhui tofauti.... Kwa aina yake in nzuri... Labda uwe mtu wa suspense sana.. Hizo utazikuta kwa strike back, the unit, Blindspot, 24 matukio Muda wote.... Hii yenyewe matukio machache ila story na matukio yenyewe ndio inakupa kimuhemuhe cha kutamani kinachoendelea..Kali kama the last ship??
Sijasema six.... Nilitaka kusema sio ya action kivile ikaandika six kivile ukisoma vizuri utaelewa nilimaanisha nini.... Maana tulikuwa tunaongelea breaking bad....Six ipi?? Aseeh kwel nipoteze mb zngu kupakua six?
Nisamehe kwa kukuelewa vbaya mtoto wa inziSijasema six.... Nilitaka kusema sio ya action kivile ikaandika six kivile ukisoma vizuri utaelewa nilimaanisha nini.... Maana tulikuwa tunaongelea breaking bad....
Nimeangalia season ya kwanza,hii ya pili nasubiri iendelee kdgo.Angalia na queen of the south ipo poa pia
Duh!!! The unit kitambo aiseeeHapana maudhui tofauti.... Kwa aina yake in nzuri... Labda uwe mtu wa suspense sana.. Hizo utazikuta kwa strike back, the unit, Blindspot, 24 matukio Muda wote.... Hii yenyewe matukio machache ila story na matukio yenyewe ndio inakupa kimuhemuhe cha kutamani kinachoendelea..
Ndicho ninacho ipendea zaidi, hii na designated survivor hazina upenzi mapenzi kama zingine za hollywood. Unaweza kaa na familia ukazitazamaNimeangalia season ya kwanza,hii ya pili nasubiri iendelee kdgo.
Uzur wa last ship wanafanya kaz kwa maelewano sana,jamaa anatumia akil nying mno na anaingia pasipoingilika,ana wapa morali sana vijana wake,na uzur kuliko vyote hakuna scene za mapenz kijinga jinga,wanaheshimu kazi na wanapendana sana.
Nilianza kuichek, mambo yakaingiliana nikaikacha. Lakini nilioanga kuitazama tenaAngalia na queen of the south ipo poa pia
Sikujuga kabsa kwamba ww ni me/leo ndio nmejuaNilianza kuichek, mambo yakaingiliana nikaikacha. Lakini nilioanga kuitazama tena