asaprichie
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 297
- 238
Apa mnagusa mahalaa palee mzeee![]()
![]()
noma sanaaaa
samahn mkuu naomba nikukosoe unapomuita jamaa mbabe umerefer kwny series ganiii?? km ni kwny 24 legacy bc ubabe wke ni wa kawaida pia na utajir wake ni wa kawaida kwsbbu kuu moja...wkt wametekwa yy na yule demu ake sterring walivotolewa yule demu alikua anamsihi jamaa arud ili akamuokoe braza ake (sterring) lakini jamaa alikua ana cta japo badae alirud kumuokoa (kwa fact km iyo cdhn km anapaswa kuitwa mbabe)...kwny case ya utajir alishindwa kumpa kaka yke (sterring) pesa kwa ajili ya kwnda kuikomboa flash iliokua kwa rafk ake (mwanajesh mwenzake) so kwa upande wng cdhn km jamaa ni mbabe....labda muhuniii ila sio mbabe