Shooterwakuu nimeangalia series kama the last ship na prison break nimependa sana jinsi akili zilivyotumika mule je ningependa kujua ni series gan nyingine ina mission za kutumia akili kama izo
Nipe mwongozo mkuu nimeingia huko naona maluelue tuI gia terrerium tv dakika 0 tu
Unahitaji nini mkuu?Nipe mwongozo mkuu nimeingia huko naona maluelue tu
Hapa tuna subiri episode ya 3 tuone kama still jamaa ata win kutoroka maana plan ili baki moja tu mpango ukamilike.Prison break imerudi tena kivingine, hatar sana
Za kijasusi tafuta The blacklist, Crisis, 24 itafunika zote hapo, Person of interest..
Maruweruwe gan mkuu,,maana ukishaipakua ile app ukiifungua tu zinakuja tv series kibao,,au ukitaka unaandika juu pale mf Prison break zinakuja season one mpka five,,unaangalia unataka kuipakua ipi,,then km ni season 5 unaifungua inakujia episod gan unataka then unaiclik hyo zitakuja ukubwa tofaut tofau utaangakia uwezo wa mb zakNipe mwongozo mkuu nimeingia huko naona maluelue tu
(natania)Breaking bad naitafuta piaNa kwenye breaking bad....
Chilax take easyHabari nyingine Kama ipi??kwani hilo halihusu series??wangapi Hapo juu wamesema,wamikacha empire kwa sababu ina mambo ya kishoga!!!did you bark over them??or u just want to find a place cooling your tamper?? I'm sorry,you are barking under the wrong tree na ni afadhali uendelee kupiga kimya hivyo hvyo
Mwehu tu huyo achana nae, ID yenyewe inaonesha hata mwezi haina...Chilax take easy
Mkuu hebu jaribu ku google waweza pata dawnload link, maana nimechek kwenye app ya terrarium, ipo lakini haina data.Msaada kupata TV show Del cuerpo del deseo, maarufu kama the second chance. Natanguliza shukrani.
Mkuu nashukuru sana nimefanikiwaMaruweruwe gan mkuu,,maana ukishaipakua ile app ukiifungua tu zinakuja tv series kibao,,au ukitaka unaandika juu pale mf Prison break zinakuja season one mpka five,,unaangalia unataka kuipakua ipi,,then km ni season 5 unaifungua inakujia episod gan unataka then unaiclik hyo zitakuja ukubwa tofaut tofau utaangakia uwezo wa mb zak
Mfano inaweza kuja hiv pcha ya kwanza![]()
ukimaliza hii unakuja hapa
then baadae ukifungua huo mshale hapo chini itakuja hiv
then kwenye display yako kutakua na maandish haya
ukimaliza unabinyeza size unayotaka nadhan ukishindwa tena unaweza kua kilaza![]()
![]()
![]()
(natania)
au ndo mablack hatupendani mkuuYule star wa 24 legacy-anafanya naichukia hii series sijui kwa nini?? Najikuta simpendi!!
me carter nilimpenda toka straight outta compton aliact kama dr. dre so sikupata shida kumzoea kweny 24 legacyau ndo mablack hatupendani mkuu
Hii nasubiri ikamilike niiangalie yote. At the moment naangalia American Odyssey, ni nzuri pia, mambo ya conspiracies.Kuna moja nimeanza kuiangalia recently inaitwa "Designated Survivor". Hii naona inaenda kuzipiku hizo hapo juu.